Maisha ya nyumbani raha

Maisha ya nyumbani raha

Sitaki ugomvi na mashost zangu... Mwana wa mwanaume mwenzio sijafunzwa kupigana wala kusutana....

Copy to: Kipipi, Remmy na Amyner....
Hao wote zilipendwa na nimeamua zangu kuhamia Digital maana wao naona wameamua kubaki Kilimo Kwanza wakati hata mvua hakuna sijui wanategemea nini!
Usiwawaze coz Remmy taraka tayari Kipipi alikuwa wa mkataba na tushamalizana nae! Amyner sio mgomvi.
Kazi ni kwako!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa aisee kweli jamaa hana shida ndio raha ya kuwa na dingi aloenda shule tena sio za kata lol za tarafa!

Subutu.... Nani kakwambia daddy angu ana shida na vusenetor vyenu...mwajipa moyo wenyewe lol... "Hampati kitu hapa, hata mtoe chapaa"
 
Hao wote zilipendwa na nimeamua zangu kuhamia Digital maana wao naona wameamua kubaki Kilimo Kwanza wakati hata mvua hakuna sijui wanategemea nini!
Usiwawaze coz Remmy taraka tayari Kipipi alikuwa wa mkataba na tushamalizana nae! Amyner sio mgomvi.
Kazi ni kwako!

Sidanganyiki ng'o!!!!
 
Last edited by a moderator:
Jg Jg Jg... Utasutwa mwanaume wewe... Shaurilo au ndo kampeni manager wa Erickb52... Nina mashaka na wewe huenda umepewa takrima!
Halafu nawewe unataka kuwa kama wale wanawake wa Analogia yan wanaona kumzungusha mwanaume rahaaaaa
Hebu achana na hayo mambo vunja ukimya faster ili C6 apate uncle.
 
Last edited by a moderator:
Subutu.... Nani kakwambia daddy angu ana shida na vusenetor vyenu...mwajipa moyo wenyewe lol... "Hampati kitu hapa, hata mtoe chapaa"
Hahahahaaaa
Unajifanya mjanja eeeh ngoja nihamie zangu Airtel ntarudi.
 
Daddy umeona eehh.... Huyu Mr. Lundenga ana lake jambo. Haiezekani atake ninyi muondoke ati sisi tubaki pekeyetu. Anataka kutufanzaje???????

charminglady kila mtu si anakwao,ding yako watu8 ana kwako maza wako ana kwao wewe unakwendi ndio hapo ulipo,sasa mkibaki pekeyenu mnafanya siku ya uhuru wa viongo vikaavyo mafichoni,yaan mnavifungulia mnaviweka wazi ili kuupa mwili afya zaidi,unapika ukiwa huru unazunguka ndani kama ulivyo had raha
 
Last edited by a moderator:
bahati yako dadii wako anakuendekeza. mzee Mtambuzi alishatangaza kwao, kwa babu na mababu hajawahi kuachika .tu. full kugangamala hapa!
 
Last edited by a moderator:
Weekend umekaaje wanaCC ... mamboz....

Yaani tangu nimetoka kwa my hezbend C6 naenjoy maisha ya nyumbani.... Kula kulala rahajeeeeeee.... Kha kumbe nilikuwa nabanwa lol!!!!! Sitamani tena kuolewa... Jamani nyumbani raha kweli naenjoy sana na my lovely daddy watu8 na my lovely mummy measkron mpaka na my sis sweetlady anaona wivu...
sweetlady:Maisha ya nyumbani raha.Maisha ya unyumba karaha??
 
Last edited by a moderator:
Ha:shut-mouth:Ha:shut-mouth:Ha:shut-mouth:Ha:shut-mouth:Ha:shut-mouth:haaaaaaa

Naona mwajidanganya wewe na huyoo Judgement... Hamumhafamu.daddy angu. Nyie songesheni pua zenu muone kama hamjarushiwa kitu chenye ncha kali kitokeacho mahali pasipojulikana!!!!!
 
Last edited by a moderator:
charminglady kila mtu si anakwao,ding yako watu8 ana kwako maza wako ana kwao wewe unakwendi ndio hapo ulipo,sasa mkibaki pekeyenu mnafanya siku ya uhuru wa viongo vikaavyo mafichoni,yaan mnavifungulia mnaviweka wazi ili kuupa mwili afya zaidi,unapika ukiwa huru unazunguka ndani kama ulivyo had raha

Wewe sie ukoo wetu umeanzia hapo hapo kwa wazazi wetu... Mababu washarudi kwao walikotoka... Daddy na mummy hawawezi kuondoka kwani hawana kwao tena!!!
 
Last edited by a moderator:
bahati yako dadii wako anakuendekeza. mzee Mtambuzi alishatangaza kwao, kwa babu na mababu hajawahi kuachika .tu. full kugangamala hapa!

Shost cha kufanywa ngoma na ukaye ni nini ilhali nina kwetu lolest!!!!"

Mwanaume mwenyewe kutwa kucha kilabuni, ana wanawake kama Twiga Star, kwetu sijaua mwaya... Napendwa kuliko mabinti wooote!

"Maisha ya nyumbani raha" Sitokaa nijute!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom