Maisha ya mtu mzima na urafiki unaobadilika polepole

Maisha ya mtu mzima na urafiki unaobadilika polepole

Kiufupi ,mtu akiwa na familia anakuwa mbinafsi,wengine hata kuwa online wanapotea kabisa kama alikuwa anajipost anaacha kabisa ... Wengine hata kwenye magroup ya Whatsapp wanakuwa kimya ,unaona dp kaweka picha ya watoto wake au harusi yake.

Ndoa na kazi almost zinamfanua mtu kuwa mbinafsi kupitiliza.
Kwa kweli sio ubinafsi, mbona anakuwa busy na kuwatafutia familia yake?

Hapo jawabu ni umri tu
Mimi washikaji sina kabisa kwa sasa
Nina marafiki wa utotoni ambao wapo nchi tofauti nao huwa tunaonana kwa kutembeleana mara moja moja kwa miaka kadhaa

Ila ndio maisha yalivyo hata rafiki zangu wa karibu sana walipooa, wakaanza kupotea taratibu ila sikuona la ajabu kwani ni kawaida sana

Huwezi kukaa na washkaji masaa yote wakati una mke na watoto nyumbani wanakusubiri

Unafanya kazi una familia huo mda wa kukaa na mtu unaupata wapi?

Labda lunch mara moja moja sana tena masaa machache
Na kama kuna mambo ya biashara sawa
 
Kwa kweli sio ubinafsi, mbona anakuwa busy na kuwatafutia familia yake?

Hapo jawabu ni umri tu
Mimi washikaji sina kabisa kwa sasa
Nina marafiki wa utotoni ambao wapo nchi tofauti nao huwa tunaonana kwa kutembeleana mara moja moja kwa miaka kadhaa

Ila ndio maisha yalivyo hata rafiki zangu wa karibu sana walipooa, wakaanza kupotea taratibu ila sikuona la ajabu kwani ni kawaida sana

Huwezi kukaa na washkaji masaa yote wakati una mke na watoto nyumbani wanakusubiri

Unafanya kazi una familia huo mda wa kukaa na mtu unaupata wapi?

Labda lunch mara moja moja sana tena masaa machache
Na kama kuna mambo ya biashara sawa
Ni ubinafsi ila ni mfumo halisi wa maisha ,mpaka mtu anaondoka kwao na kwenda kwingine.
 
Nipo katika stage ambayo sitaki interaction kabisa na watu naona naboreka tu.....tuonane tusalimiane dakika tatu kila mtu aondoke.

Muda mwingi nainjoi kukaa mwenyewe kupanga mambo yangu
Mi pia naenjoy sana kukaa pekee yangu. Mtu akija mahali nilipo nakuwa totally bored huwa natamani nije kupata mke wa kariba yangu
 
Back
Top Bottom