Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,907
- 28,075
Wewe ni single mama??30s...Mimi na Mimi,jf, tweeter,wanangu,mdogo wangu na mama yangu.Nikitoka job tukionana shukuru.
Wewe ni single mama??30s...Mimi na Mimi,jf, tweeter,wanangu,mdogo wangu na mama yangu.Nikitoka job tukionana shukuru.
mmh sure?Hua sio majukumu wala muda unaotutenganisha, bali ni ule ushindani wa kimya kimya. Kila mtu anataka aonekane yuko juu zaidi ya mwenzie. Hii hujitokeza sana kwa watu ambao mlikuwa washkaji tu si marafiki wa kweli. Kwenye angle hiyo life is always about competing not connecting.
kweli kabisa 👏🏾👏🏾👏🏾Kuamini watu wengine ndio watakupa furaha ni Ujinga na kutojielewa
U-loner jau, wengine tunapambana tutoke huko, wengine wanaona sifa.mie sio loner
scope ya uzi wangu umejikita kwa lifestyle ya mtu mzima.
WAtu wa namna hii siku akipata watu wakaendana, stori huwa nyingi sanaa lakini hii moment kuipata tena ni safari mnoo....umeandika uhalisia kabisa mkuu, hapa ndio pale inakuja hata mambo ya kutembeleana kama ilivyokua zamani imeishaaa....kutembea kwa mjomba sijui baba mdogo ni nadra sanaa....wengi haswa huenda kwa mama zao au baba zao kupeleka wajukuu tuu😀Mtu anatoka kazini, anarudi nyumbani.
Anafanya shughuli zake. Labda aende dukani.Akiwa njiani, salamu kwa majirani—hakuna mazungumzo marefu.Ni maisha ya kawaida, ya utulivu.
Ule urafiki wa “buda niko base, pita” umeisha.
Sasa ni “tupange weekend” lakini weekend ikifika kila mtu ana shughuli.
Sio kwa ubaya. Ni maisha tu yanavyojipanga.
Ile energy ya kukutana kila siku, kukaa hadi usiku, kuzungumza mambo yote ya dunia—imepungua.
Sio kwamba watu hawapendani tena. Ni kwamba priorities zimebadilika.
Ule bestie wa kila siku, sasa mnachat maybe mara moja kwa wiki.
Mkiambiwa mkutane, ni plan ya siku mbili kabla—na bado inaweza ikaghairika. Lakini bado, ukimuona, mnacheka kama zamani.
Connection haijapotea, imebadilika tu.
Na hiyo nayo ni aina fulani ya grace—mazingira yakibadilika lakini moyo ukiendelea kupenda.
upo phase ipi?
Sina dem.mshamba_hachekwi ushikaji wetu una kufa kabisa Kama uzi unavyo sema, toka upate Dem kazi sana 😂.
ahh basi nime kusoma, I mean no malice to nobodySina dem.
Na nimefikiria hapa kama nimewahi kuwa na "mshikaji" sipati majibu.
Tangu mwaka uanze wewe ndio mtu wa tatu nakusikia ukiongea ujinga .Mara kumi kuvizia wake za watu uwalombe kuliko urafiki wa kijinga kijinga huu wa wanaume wanaoshea pombe na bhange