Maisha ya mtu mzima na urafiki unaobadilika polepole

Maisha ya mtu mzima na urafiki unaobadilika polepole

Ni uoga tu wa maisha na kutojipanga
Wengi wamaanza kujipanga wakiwa 40 au 50 huko

Kama mipango ya hela bado ipo why nisitoke na rafiki zangu hata glosary ya chini ya mwembe.
 
Nikiwa 0s nilikuwa napenda sana kucheza na watoto wenzangu,kuimba nyimbo na babu anaposafisha miti ya mikahawa shambani

10s kucheza na marafiki wa kiume mpira wa miguu,sarakasi kwa kulazimisha maana mama alikuwa hapendi nizururure

20s Mimi na mambo yangu mambo yangu na mimi....no friends.... upweke wa kuishi maisha ya pekeyangu ukanifanya miaka ilivyosonga niangukie kwa penzi bovu

30s...Mimi na Mimi,jf, tweeter,wanangu,mdogo wangu na mama yangu.Nikitoka job tukionana shukuru.

40s sijui itakuwaje

Nadhani ni maisha ya kawaida tu
 
The older i becomes, the fewer friends i have
Ni kweli, kadri umri unavyokwenda marafiki wanapingua. Sababu ni:-
1. Majukumu na mtawanyiko ktk kutafuta maisha.
2. Vifo vya age mates. Watu wa miaka 60+ unakuta agemates wao wengi washatangulia mbele za haki.
3. Magonjwa. Watu wenye umri mkubwa mara nyingi afya zao hutetereka.

Ndiyo maana kule Ulaya wazee hulelewa kwenye vituo, kwasabb huwa wanakosa hata wakuwasalimia including watoto wao.
 
Ni kweli, kadri umri unavyokwenda marafiki wanapingua. Sababu ni:-
1. Majukumu na mtawanyiko ktk kutafuta maisha.
2. Vifo vya age mates. Watu wa miaka 60+ unakuta agemates wao wengi washatangulia mbele za haki.
3. Magonjwa. Watu wenye umri mkubwa mara nyingi afya zao hutetereka.

Ndiyo maana kule Ulaya wazee hulelewa kwenye vituo, kwasabb huwa wanakosa hata wakuwasalimia including watoto wao.
Kabisa yaani.
 
Mtu anaingia kwenye gari peke yake anaenda kazini, akifika kazini chumba cha kazini anakaa peke yake, jioni anarudi tena nyumbani akirudi nyumbani yupo bize na simu na nyumba ina fence la umeme hiyo depression hapo haielezeki.

Ndio maana una kuta mtu ana kazi ana gari ana cheo lakini analalamika hayupo happy. Hyo yote inasababishwa na watu kuacha kuwa social na kukimbilia kwenye usasa na virtue community watu wana sonono inawatafuna.
 
njoo uwanjani ukutane na wenzako, ni furaha tu,, uyu anavuta sigara , yule anapga energy drink, alafu pembeni wajuba wanapuliza😄,, si lazima ucheze mpira, njoo unione navosakata kabumbu,,

au kacheze draft ukutane na kila aina ya vituko,, utasikia "Hili nakuua kabisa hutoki kenge wewS
Hahhah sasa wale wa mikoani mfano lets say anakaa Busokelo huko huo uwanja unatoka wapi mkuu 😃😃😃
 
Ndio maana una kuta mtu ana kazi ana gari ana cheo lakini analalamika hayupo happy. Hyo yote inasababishwa na watu kuacha kuwa social na kukimbilia kwenye usasa na virtue community watu wana sonono inawatafuna.
sio kweli, happiness starts within yourself
hata ka uwe na watu kumi elfu kama huna furaha ndani yako huwezi kua nayo
 
Mtu anatoka kazini, anarudi nyumbani.

Anafanya shughuli zake. Labda aende dukani.Akiwa njiani, salamu kwa majirani—hakuna mazungumzo marefu.Ni maisha ya kawaida, ya utulivu.

Ule urafiki wa “buda niko base, pita” umeisha.

Sasa ni “tupange weekend” lakini weekend ikifika kila mtu ana shughuli.
Sio kwa ubaya. Ni maisha tu yanavyojipanga.

Ile energy ya kukutana kila siku, kukaa hadi usiku, kuzungumza mambo yote ya dunia—imepungua.
Sio kwamba watu hawapendani tena. Ni kwamba priorities zimebadilika.

Ule bestie wa kila siku, sasa mnachat maybe mara moja kwa wiki.

Mkiambiwa mkutane, ni plan ya siku mbili kabla—na bado inaweza ikaghairika. Lakini bado, ukimuona, mnacheka kama zamani.

Connection haijapotea, imebadilika tu.

Na hiyo nayo ni aina fulani ya grace—mazingira yakibadilika lakini moyo ukiendelea kupenda.


upo phase ipi?
The only friends that I easily make these days are side chicks, and even them are very temporary as everyone I meet tend to keeps their eyes in my wallet.
 
1: teknologia imepunguza sn watu kukutana,simu or video call mnamaliza kl kitu
2: kua watu wakimkakati zaidi kuliko kupoteza muda,cku hizi hela yakuharibu haipo kuna hela ya mipango ya ma mdeleo na maisha tu ya majumbani
3:bize wa Kazi za nje ya ofisini aka biashara zinachukua muda mrefu wa watu
 
Back
Top Bottom