Polepole athibitisha unafiki wa urafiki ndani ya CCM! Yaani mtu ambaye mlikuwa karibu hutaki hata kujua hali yake hata baada ya Mama mzazi wake kuongea hujali hata kuuliza na hata kusema basi unamuombea na kumuombea shinikizo aachaliwe. Yaani muongeaji pekee ni Heche!!!! huko CCM kuna binadamu kweli!!!
Watu hawajali hata ubinadamu wako! yaani huyu kijana anapoteza maisha kwa lipi hasa??? tujiulize kama jamii ? kama wewe unanyamaza je wewe umechangia huyu kijana kufa? kutokujali kwako kunaweza kuuwa wengi
Watu hawajali hata ubinadamu wako! yaani huyu kijana anapoteza maisha kwa lipi hasa??? tujiulize kama jamii ? kama wewe unanyamaza je wewe umechangia huyu kijana kufa? kutokujali kwako kunaweza kuuwa wengi