Hakuna namna mkuu tujichanganye hivyohivyo haijalishi utu Uzima tuliinaonjoo uwanjani ukutane na wenzako, ni furaha tu,, uyu anavuta sigara , yule anapga energy drink, alafu pembeni wajuba wanapuliza😄,, si lazima ucheze mpira, njoo unione navosakata kabumbu,,
au kacheze draft ukutane na kila aina ya vituko,, utasikia "Hili nakuua kabisa hutoki kenge wewe"
Nilidhani hii shida ni yangu tu, conversing na mtu kwa masaa naumwa, naboreka sana.Kitu ambacho kimenishinda kukaa na kuongea na mtu lisaa lizima
Ndio maana uzee ukiingia wengi hukimbilia makanisani, kuna nafasi ya kukutana na watu, kubadilishana mawazo nk.Siyo urafiki tu Hadi undugu unapotea kidogo dogo,the way unavyozeeka ukaribu wako na watu hupungua,Hadi watoto wako baadae watakuwa bize na maisha Yao, kama ulikuwa Mume/Mke Bora utabakia na mke wako au Mume wako tu uzeeni.
Umenikumbusha mbali Kuna mzee wakuitwa BabuJomo alikuwa mitaa ya Sinza mapambanomzee anakula tungi Bange ndio usiseme muda wote ako furahanjoo uwanjani ukutane na wenzako, ni furaha tu,, uyu anavuta sigara , yule anapga energy drink, alafu pembeni wajuba wanapuliza😄,, si lazima ucheze mpira, njoo unione navosakata kabumbu,,
au kacheze draft ukutane na kila aina ya vituko,, utasikia "Hili nakuua kabisa hutoki kenge wewe"
30's..... hapo kuna kitu hujasema.Nikiwa 0s nilikuwa napenda sana kucheza na watoto wenzangu,kuimba nyimbo na babu anaposafisha miti ya mikahawa shambani
10s kucheza na marafiki wa kiume mpira wa miguu,sarakasi kwa kulazimisha maana mama alikuwa hapendi nizururure
20s Mimi na mambo yangu mambo yangu na mimi....no friends.... upweke wa kuishi maisha ya pekeyangu ukanifanya miaka ilivyosonga niangukie kwa penzi bovu
30s...Mimi na Mimi,jf, tweeter,wanangu,mdogo wangu na mama yangu.Nikitoka job tukionana shukuru.
40s sijui itakuwaje
Nadhani ni maisha ya kawaida tu
Hii ni nature atuwezi kuiepukaSiyo urafiki tu Hadi undugu unapotea kidogo dogo,the way unavyozeeka ukaribu wako na watu hupungua,Hadi watoto wako baadae watakuwa bize na maisha Yao, kama ulikuwa Mume/Mke Bora utabakia na mke wako au Mume wako tu uzeeni.
Pronoun "I" must be in capitalThe verb "becomes" should be "become" to match the subject "I." Everything else is structured well!
Ndiyo ukubwa na pia mtu unavyozidi kukua na ndiyo u-muhimu wako unazidi kupungua kwa baadhi ya watu wanaona kama unaelekea kuzeeka zama zako zimepita hasa ukiwa huna hela ndo tatizo zaidi...
Kiufupi ,mtu akiwa na familia anakuwa mbinafsi,wengine hata kuwa online wanapotea kabisa kama alikuwa anajipost anaacha kabisa ... Wengine hata kwenye magroup ya Whatsapp wanakuwa kimya ,unaona dp kaweka picha ya watoto wake au harusi yake.Kuna siku nilichangia uzi,
Mtu analalamika ooh marafiki wanakukimbia.
Nikaandika urafiki wa kweli ni ule mda bado mdogo tu.
Mkisha kua basi hakuna urafiki tena
Hapa nilipo hata majirani hatujuani na wengine hatujawahi kusalimiana kabisa kwa miaka.
Hakuna rafiki wala nini
Utakutana na watu kwenye vilio na Harusi tu
Na wengine hamjaonana hata miaka 10
Hakuna kupeana hata namba za simu kwani tunajua hakuna wa kumuhitaji mwenzie
Namba ya nini? Wakati hamjaonana miaka 10?
Ni kweli kabisaa.Hakika, umeandika uhalisia kabisa. Cycle inapungua sana, unabaki na watu wachache kwa ajili ya mambo muhumu. Kukutana kila mara ni kama kunakufa, ni umri, ni majukumu, ni kubadilika hobbies, ni kufocus na mahusiano na familia.
FACTNdio maana uzee ukiingia wengi hukimbilia makanisani, kuna nafasi ya kukutana na watu, kubadilishana mawazo nk.
Nao watafikia stage watatuacha na uzee wetu peke yetu, uwe na bahati tu kuwa na watoto wanaojali.Ni kweli kabisaa.
With this life, nimekuja kuamini ndugu WA dhati kabisa ni watoto wetu.
AiseeNao watafikia stage watatuacha na uzee wetu peke yetu, uwe na bahati tu kuwa na watoto wanaojali.
Age GOHakuna cha forever young kuna namna unakuwa forced kubadilika unajikuta tu tayari
ndio ukweli huo mkuu"Eti nimekubali yaishe" dahh😁😁😁
Acha bangi umezeeka😃njoo uwanjani ukutane na wenzako, ni furaha tu,, uyu anavuta sigara , yule anapga energy drink, alafu pembeni wajuba wanapuliza😄,, si lazima ucheze mpira, njoo unione navosakata kabumbu,,
au kacheze draft ukutane na kila aina ya vituko,, utasikia "Hili nakuua kabisa hutoki kenge wewe"
Sana mkuu, walau kutupa airtime tu, kututembelea na kutujali kihisia.Aisee
Hawa jamaa wakituacha itakuwaje??
Tuwaandae waje kutulea
😂😂😂😂😂njoo uwanjani ukutane na wenzako, ni furaha tu,, uyu anavuta sigara , yule anapga energy drink, alafu pembeni wajuba wanapuliza😄,, si lazima ucheze mpira, njoo unione navosakata kabumbu,,
au kacheze draft ukutane na kila aina ya vituko,, utasikia "Hili nakuua kabisa hutoki kenge wewe"