Maisha mema yanapatikana kijijini

Maisha mema yanapatikana kijijini

Uwe umejipata na mifumo yako ya hela iwe vizuri.
Kijijini hela ni ngumu
Kijijini ni nguvu zako tu, utapata nyama toka bandani, utapata matunda toka bustani n.k kama utaishi kijijini na kuleta uvivu wa mjini ata mchicha ushindwe kuotesha, itabidi upambane upate hela ili uweze kununua mahitaji yako kwa watu wengine.​
 
Tangu niamie huku kijijini, sizeeki kihasara hasara
  • Napata maji safi,
-Original. Hakuna kuyapitishapitisha kwenye machuma ya wale jamaa ambayo machuma mengine yana kutu.
  • Hewa safi,
Isiyo na Microbial load 60% na Floating Chemicals/Gases(Polluted/Adulterated free air)
  • Kelele nzuri za ndege,
Za kiasili -sio zile za AI eti ni sauti ya kunguru kumbe ni lirobot.
  • Hakuna msongo wa mawazo,
Ume-relax zako, unaongea 2-3 na majirani wenye utulivu pia sio wapiga vizinga.
  • Napata mayai, nyama, maziwa muda wowote ninaotaka,
  • Napata vitu vingi bustanini,
Vitu Truly Organic na purely Original - hakuna mambolea ya viwandani, booster au matumizi ya ERV kukuza mazao ya mifugo.
  • Matumizi ya hela ni madogo sana kutokana na vitu vingi kupatikana shambani na kwenye mifugo,
  • Ngozi ya mwili inang'aa haina mabakamabaka,
Exactly. Mwili wako ni majibu ya kile unachokula. Garbage in, Garbage out.
  • Hakuna uchafuzi wa hewa unaosababishwa na msongamano wa watu,
  • Na mika 73 lakini naonekana kama kijana wa miaka 20,
  • Koti la suti limenikaa vizuri halijanizidi mwili kama wa huko mjini,
Kweli maisha mema, yanapatikana huku kijijini

View attachment 3659541
Kweli umechagua fungu lililojema.
 
-Original. Hakuna kuyapitishapitisha kwenye machuma ya wale jamaa ambayo machuma mengine yana kutu.

Isiyo na Microbial load 60% na Floating Chemicals/Gases(Polluted/Adulterated free air)

Za kiasili -sio zile za AI eti ni sauti ya kunguru kumbe ni lirobot.

Ume-relax zako, unaongea 2-3 na majirani wenye utulivu pia sio wapiga vizinga.


Vitu Truly Organic na purely Original - hakuna mambolea ya viwandani, booster au matumizi ya ERV kukuza mazao ya mifugo.

Exactly. Mwili wako ni majibu ya kile unachokula. Garbage in, Garbage out.

Kweli umechagua fungu lililojema.
Karibu kijijini
 
Inategemea na vijiji vyenyewe, sio kila kijiji.
Ni kweli, baadhi ya vijiji vina changamoto mfano ukame n.k, lakini si lazima kuishi kwenye kijiji ulichozaliwa, unaweza kuvutiwa na kijiji ambacho kiko mkoa tofauti na ulipozaliwa,ukawekeza makazi yako ya uzeeni n.k
 
Kijijini ni nguvu zako tu, utapata nyama toka bandani, utapata matunda toka bustani n.k kama utaishi kijijini na kuleta uvivu wa mjini ata mchicha ushindwe kuotesha, itabidi upambane upate hela ili uweze kununua mahitaji yako kwa watu wengine.​
Kipindi cha mvua yapo yale yanayojiotea yenyewe e.g. mciha, mnavu, nyanya zile ndogo-ndogo lakini pia nguvu haitumiki mfululizo. Kwa mfano ukiotesha migomba, maembe, mafenesi n.k huna sababu ya kuotesha kila mwaka. Ni vitu kama mahindi,maharage,karanga etc ambavyo ni kwa miezi mitatu unavuna na hiyo miezi 7 ni yakujipumzikia na kufanya ukarabati wa miundo-mbinu tu. Tofauti na mjini tangu asb - jioni ni pilika pilika hadi unachanganyikiwa.
 
Ni kweli, baadhi ya vijiji vina changamoto mfano ukame n.k, lakini si lazima kuishi kwenye kijiji ulichozaliwa, unaweza kuvutiwa na kijiji ambacho kiko mkoa tofauti na ulipozaliwa,ukawekeza makazi yako ya uzeeni n.k
Kuweza kuishi kwenye kijiji ambacho hujazaliwa ni vigumu kama sio muwekezaji, mfanyabiashara au mtumishi wa umma.
 
Ni kweli, baadhi ya vijiji vina changamoto mfano ukame n.k, lakini si lazima kuishi kwenye kijiji ulichozaliwa, unaweza kuvutiwa na kijiji ambacho kiko mkoa tofauti na ulipozaliwa,ukawekeza makazi yako ya uzeeni n.k
Sahihi kabisa. Maisha ni popote.
Karibu kijijini
Waw! Mm nipo kijijini tayari mkuu.
 
Kuweza kuishi kwenye kijiji ambacho hujazaliwa ni vigumu kama sio muwekezaji, mfanyabiashara au mtumishi wa umma.
Uko sahihi, kuna vitu vya kujifunza, kama mzungu anatoka huko kwao kuzuri nakuja kuishi huku vijijini, inakuwaje sisi wazawa hatuko hivyo?
 
Kuweza kuishi kwenye kijiji ambacho hujazaliwa ni vigumu kama sio muwekezaji, mfanyabiashara au mtumishi wa umma.
Kuna ka-ukweli fulani, lakini mbona wastaafu wengi huendelea kuishi pale walipostaafia? Iwe mjini au Kijijini (Village centers)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom