Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,023
- 61,924
- Thread starter
- #21
Hali ya hewa ya huku safi sana, hasa kwa yale mambo yetu
Hali ya hewa ya huku safi sana, hasa kwa yale mambo yetu
Zile huwa ni imani tu za kupandikiza chuki kwa watu, ila kila kijiji kina mila/tamaduni zake na ni vizuri kuzifuata.Hujazungumza chochote kuhusu wale wabibi wachawi wa kijijini...
Tofauti ya shamba na kijiji ni nini?
Wazee wa huku hawana msongo wa mawazo kabisa, ukilinganisha na wale wa mijiniKijijini kuna raha yake kwanza unapata vitu oji kuku oji mayai oji nyama oji hewa oji mpaka wanawake oji
Anhaa! Ruvuma, siyo?Hii mikoa yenye ardhi yenye rutuba
Hao ni matapeli, wamesababisha vijana wengi wasitimize ndoto zao na kutengeneza wazee wa hovyo.
KaskaziniAnhaa! Ruvuma, siyo?
Ni vizuri kuwekeza vijijini, naona vijana wengi wa kenya waliopata mwanga wa kukaa nje na kukutana na watu wa mataifa tofauti, wanafanya maajabu vijijini.Kila mtu achague anako kupenda
Nazungukia vijiji vyoteUpo Kilimanjaro sehemu gan
Ipo muhimu umeme tuKuna access ya kuangalia
EPL?
Hapo ni karibu na pale Rau madukaniKilimanjaro.
Pale kwa Rafaeli 😂
Hameni huko mjini, mnapoteza mudaUmenitamanisha sana