Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,777
- 24,089
Ndo nimemuulisa msee kaoa kwa kina mboro cc SupapawaAkina mama ndo mamboro; akina baba ni Mboro au Maembe. Ni ukoo mkubwa ulioenea.
Ndo nimemuulisa msee kaoa kwa kina mboro cc SupapawaAkina mama ndo mamboro; akina baba ni Mboro au Maembe. Ni ukoo mkubwa ulioenea.
Ebu tupe ushuhuda, umeweza vipi kupambana na mazingira ya kijiji?Sahihi kabisa. Maisha ni popote.
Waw! Mm nipo kijijini tayari mkuu.
Wazungu waliokuja zamani hizo(achana na hawa wanaokuja kuhamia) waliwaaminisha wazawa eti kwao Ulaya/Amerika etc. ni kuzuri na wamekuja huku kwetu kutustaarabisha i.e. kutuondoa kwenye Ushenzi (Civilisation). Mbaya zaidi wakachanganyamo na Dini. Sasa swali tunalotakiwa tujiulize linakuja hv: Kama kwao kweli ni kuzuri; mbona wao wanakuja kuhamia huku kwetu ambako wanasema ni kubaya? Kwani wao wanapenda mahali pabaya?Uko sahihi, kuna vitu vya kujifunza, kama mzungu anatoka huko kwao kuzuri nakuja kuishi huku vijijini, inakuwaje sisi wazawa hatuko hivyo?
ni kweli mkuu kuna kijiji lienda kipo kanda ya ziwa duuuh picha linaanza kijijin usiku paka na mbwa chaganya fisi wanapinga kelele kuanzia saa 3 usiku yaan kero kero keroInategemea na vijiji vyenyewe, sio kila kijiji.
Lakini sisi tunapakimbia kijijini, kuna baadhi ya vijiji vina watu wachache.Wazungu waliokuja zamani hizo(achana na hawa wanaokuja kuhamia) waliwaaminisha wazawa eti kwao Ulaya/Amerika etc. ni kuzuri na wamekuja huku kwetu kutustaarabisha i.e. kutuondoa kwenye Ushenzi (Civilisation). Mbaya zaidi wakachanganyamo na Dini. Sasa swali tunalotakiwa tujiulize linakuja hv: Kama kwao kweli ni kuzuri; mbona wao wanakuja kuhamia huku kwetu ambako wanasema ni kubaya? Kwani wao wanapenda mahali pabaya?
Tafakari.
Wanaosema kijijini maisha ni magumu hakuna hela, unawapa ushauri upi?Hata mimi maisha yangu yote napenda kuishi kijijini. Mjini na mimi ni mbingu na ardhi.
Kama una nguvu na ukazitumia vizuri kijijini, hakuna haja ya kuwa na hela nyingiLengo ni lilelile kupata hela nyingi na kutimkia shamba
Sawa mkuu, naheshimu maoni yakoKama una nguvu na ukazitumia vizuri kijijini, hakuna haja ya kuwa na hela nyingi
Mkuu; huku vijijini hakuna kupambana hata kidogo. Mapambano yapo huko mjini. Maisha ya kijijini yanahitaji mabo madogo sana ili uyamudu e.g.Eu tupe ushuhuda, umeweza vipi kupambana na mazingira ya kijiji?
Ni kweli. Kijijini kuna ardhi na ukilitambua hilo, wahenga walishasema-Ardhi haijawahi kumtupa mtu. Kwa mfano (Kisayansi na kimahesabu) mtu mmoja(1) mzima anahitaji magunia mawili ya mahindi safi kwa mwaka mmoja. i.e. atahitaji walau robo eka kulima mahindi hayo. Kweli mtu na nguvu zako utashindwa kuyazalisha hayo eti ni mpaka ukanunue sokoni??? Shida inakuja watu wanadhani kula chips mayai kunywa soda baridi,n.k.n.k ndo maisha Inasikitisha tunajijazia sumu mwilini halafu tunatamba.Kama una nguvu na ukazitumia vizuri kijijini, hakuna haja ya kuwa na hela nyingi
Tumia hiyo mikono kwa kazi za shamba na kung'oa visiki, usichukulie hiyo mikono hapo ilipo kama pambo la mwiliSawa mkuu, naheshimu maoni yako
Kwa hizo sababu hutaki kwenda kijijini?Mkuu; huku vijijini hakuna kupambana hata kidogo. Mapambano yapo huko mjini. Maisha ya kijijini yanahitaji mabo madogo sana ili uyamudu e.g.
1. Huku kijijini usitake makuu e.g. kujitutumua (pomposity) au kuonesha dharau kwa wenyeji uliowakuta hapo. Heshimu watu wa rika zote.
2. Usijichanganye-changanye hovyo i.e. Uwe na mipaka yako.
3. Usiingilie mambo ya wengine au kuropoka hovyo esp. juu ya yale yasiyokuhusu na epuka kabisa "kudandia" wake za watu au kujionesha ww ni kidume. Fanya shughuli zako halali -kilimo, biashara, ufugaji n.k. Epuka kudhulumu au kushabikia mambo ya Husda, fitina n.k. baina ya watu
4. Kumbuka na zingatia ukweli kwamba Uchawi upo lakini usiwachokoze au kuchokonoa habari za wachawi. Achana nao na puuzia habari zao.
Hivyo vijiji ndo Fursa zenyewe.Lakini sisi tunapakimbia kijijini, kuna baadhi ya vijiji vina watu wachache.
Narudia tena. Nipo kijijini tayari mkuu. Ninaishi kijijini kabisa sio mjini wala shanti-town broo.Kwa hizo sababu hutaki kwenda kijijini?
Hao ni wavivu tu. Kijijini kilimo hakimtupi mtu. Ukivuna mazao yako, na hela nazo zinakuja.Wanaosema kijijini maisha ni magumu hakuna hela, unawapa ushauri upi?
Dogo ni chasaka haelewi anacheka tuu mseeKwani alikujibu vipi.