Maisha mema yanapatikana kijijini

Maisha mema yanapatikana kijijini

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,982
Reaction score
61,808
Tangu niamie huku kijijini, sizeeki kihasara hasara
  • Napata maji safi,
  • Hewa safi,
  • Kelele nzuri za ndege,
  • Hakuna msongo wa mawazo,
  • Napata mayai, nyama, maziwa muda wowote ninaotaka,
  • Napata vitu vingi bustanini,
  • Matumizi ya hela ni madogo sana kutokana na vitu vingi kupatikana shambani na kwenye mifugo,
  • Ngozi ya mwili inang'aa haina mabakamabaka,
  • Hakuna uchafuzi wa hewa unaosababishwa na msongamano wa watu,
  • Na mika 73 lakini naonekana kama kijana wa miaka 20,
  • Koti la suti limenikaa vizuri halijanizidi mwili kama wa huko mjini,
Kweli maisha mema, yanapatikana huku kijijini

koma.webp
 
Tangu niamie huku kijijini, sizeeki kihasara hasara
  • Napata maji safi,
  • Hewa safi,
  • Kelele nzuri za ndege,
  • Hakuna msongo wa mawazo,
  • Napata mayai, nyama, maziwa muda wowote ninaotaka,
  • Napata vitu vingi bustanini,
  • Matumizi ya hela ni madogo sana kutokana na vitu vingi kupatikana shambani na kwenye mifugo,
  • Ngozi ya mwili inang'aa haina mabakamabaka,
  • Hakuna uchafuzi wa hewa unaosababishwa na msongamano wa watu,
  • Na mika 73 lakini naonekana kama kijana wa miaka 20,
  • Koti la suti limenikaa vizuri halijanizidi mwili kama wa huko mjini,
Kweli maisha mema, yanapatikana huku kijijini

View attachment 3659541
always mfa maji.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom