Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

Afadhali wewe umeshajua status yako, kuna waathirika kibao hawajijui na wanaogopa kupimwa.
Kuna MTU aliniuliza swali nilishindwa kumjibu maana sikuwa na uhakika,

Aliuliza hivi, " hivi kama mbu akumung%ata MTU kwenye HIV na akaning'ata mm ambae sina HIV je anaweza kuniambukiza?

Nilimjibu hapana ila sina uakika, kama kuna kwenye jibu naomba
 
Mimi naona bado sana elimu kuhusu ugonjwa huu na ndio maana watu waoga kupima,
Mimi mwenyewe nilikuwa naogopa sana kupima na nilisema kama ninao nitakutana nao kwenye kuumwa lkn sio kupima
Lkn niliobeba mimba ilikuwa lazima kupima na nilipima kwa kuwa nilitaka nimuweke mwanangu salama na nikakutwa ok
Sasa inabidi serikali ikazanie elimu zaidi ili watu wasiogope kupimwa,maana ukienda ocean road hospital ndio utasema kweli cancer ndio ugonjwa unaotisha na kuogopesha,una mateso kuliko tunavyoufikiria ukimwi
 
Swali je? Umeambukiza wangapi mpaka sasa? Tishio likoje jinsi unavyoona huko muendako kuchukua dawa?
 
Stay blessed mkuu... This world needs Hero ones like you..

Huwezi juwa.. Lakini hapa utakuwa umewagusa wengi sana kuwapa ujasiri.. Maana wengi wetu tunaogopa kupima tukifikiria kupima ndio mwanzo wa kuanza kuumwa.. Lakini sio kweli..


Fikiria umeathirika lakini hujui unaambukiza na wengine.. Pengine hata ndugu zako kwa Ku share Sharp stuffs n.k

Kiukweli wengi wetu tunaogopa sana kupima lakini tukiwa na upendo wa kutosha tutakua tayari kupima kwa faida yetu wapendwa wetu pia..
 
Hongera sana kutia watu Moyo na kushare uzoefu wako!Kweli kabisa naafikiana na wewe yeyote muda wowote aweza kuwa ktk hali hii!Ni Mungu tu anaamua kutuepusha nyakati zingine!Cha muhimu ni kupima kila Mara na kuchukua tahadhari ili kujiepusha na kukubali hali yako endapo utagundulika uko positive! Natamani upitie pande hii usome uelewe hapa![emoji849]
 
Kupima muhimu sana maana watu wengi wanapima baada ya afya kuyumba so inakua ngumu hata kuwaanzishia dawa na hata wakianza dawa wanapata ma compilations ya ajabu..kujua mapema stutus yako na kuanza dawa ukiwa ngangari ni nzuri zaidi...But HIV is dangerous haina kupepesa macho kuna so many details kwenye Hiv sio rahsi kuandika kila kitu but virus yule ni mtata japo na watu tunatofautiana kwenye immune system zetu...tusiufanye ukimwi kama issue ndogo nooo nooo its a problem tunaofanya hzo kazi tunajua ila kuwahi ni bora kuliko kuchelewa...[emoji111]️
 
Nilishawahi kumpima demu flan kabla ya kumgegeda akawa POSITIVE daah ilibidi nimfiche majibu yake na ghafla ashki iliyeyuka ubbooo ukawa kama kifutio nikatafuta bajaj nikamrudisha kwao
 
Hivi bado vipimo vyetu vinaonesha maambukizi baada ya miezi mitatu?
 
Swali je? Umeambukiza wangapi mpaka sasa? Tishio likoje jinsi unavyoona huko muendako kuchukua dawa?
Kuambukiza?! No! Pengine Yes, Maana pengine sindano ilionichoma mimi ikamchoma na mwenzangu bahati mbaya bila kujua.... Hapo ni kwakua akili ya wengi inapokuja swala la HIV wanafikiria ngono tu, kuhusu tishio, best! Tishio as in how?! Maana kwanza hadi tunapitiana kabisa clinic au tunachukuliana, au unatukuta tunacheka nje ya clinic wala habari hatuna.... Tishio as in how?....
 
Kuambukiza?! No! Pengine Yes, Maana pengine sindano ilionichoma mimi ikamchoma na mwenzangu bahati mbaya bila kujua.... Hapo ni kwakua akili ya wengi inapokuja swala la HIV wanafikiria ngono tu, kuhusu tishio, best! Tishio as in how?! Maana kwanza hadi tunapitiana kabisa clinic au tunachukuliana, au unatukuta tunacheka nje ya clinic wala habari hatuna.... Tishio as in how?....
Namaanisha umati wa huko clinic , idadi ya vijana, warembo mahandsome na weny hela na nyazfa zao ukoje? Tutapona kweli?
 
Kabla ya upatikanaji wa ARV ni kweli Ngoma ili kuwa inaogofya sana ,lakini kwa sasa ukipima na ukagundulika kuwa umeathitika unaanzishiwa dose ya ARV Mara moja na maisha ya nana songa Mbele na Kama haujajitangaza mwenyenyewe unaweza ishi miaka mingi na afya yako,isiteteleke Wala hakuna mtu anayeweza kukutambua kama unakula dawa au umeathirika, cha msingi ni kuachana na badhi ya starehe ikiwa ni pamoja na unywaji wa pombe uliokithiri unaweza gonga hata walau Serengeti tatu Mara moja kwa wiki kwa ajili ya Afya yako tu,mambo mengine ni mutatis mutandis tu
 
Uh Nashindwa kureply every text... Ila asanteni wapenzi....

All in All..... Cha muhimu na cha kuchukua kwa ambao mpo -, play safe na jilindeni na all other ways ambazo zinaweza sababisha maambukizi, na pia ni vizuri kucheck afya kila baada ya muda flani..

Na kwa walio positive, cool down, make peace with it.. Live your life.... Take your dawaz on time, chunga cd4 zako so well kwa kufata masharti then enjoy life..... Maisha yenyewe ndo haya haya!
 
Candlelight hongera sana kwa kujitambua.
Naomba nikuulize kdg samahn kama ushaulizwa tena.

Una umri gani?

Una mpenzi/mume? Kama bado una mpango huo? Na unaishije kwa sasa....namaanisha hawa wahongaji unawakataa au unafumba macho?

Una mtoto?
 
Namaanisha umati wa huko clinic , idadi ya vijana, warembo mahandsome na weny hela na nyazfa zao ukoje? Tutapona kweli?
Anyone can test Positive..... Many test positive, na unaweza kuishi na mtu ndani na usijue unless aamue kukwambia mwenyewe, idadi ni kubwa kulingana na kituo na kituo. Usiogope HIV, kama upo negative, jilinde tu
 
Kabla ya upatikanaji wa ARV ni kweli Ngoma ili kuwa inaogofya sana ,lakini kwa sasa ukipima na ukagundulika kuwa umeathitika unaanzishiwa dose ya ARV Mara moja na maisha ya nana songa Mbele na Kama haujajitangaza mwenyenyewe unaweza ishi miaka mingi na afya yako,isiteteleke Wala hakuna mtu anayeweza kukutambua kama unakula dawa au umeathirika, cha msingi ni kuachana na badhi ya starehe ikiwa ni pamoja na unywaji wa pombe uliokithiri unaweza gonga hata walau Serengeti tatu Mara moja kwa wiki kwa ajili ya Afya yako tu,mambo mengine ni mutatis mutandis tu
True! " Very True!.....
 
Anyone can test Positive..... Many test positive, na unaweza kuishi na mtu ndani na usijue unless aamue kukwambia mwenyewe, idadi ni kubwa kulingana na kituo na kituo. Usiogope HIV, kama upo negative, jilinde tu
Naweza nikasex na ww na nisipate?
 
Back
Top Bottom