Tatizo ndugu zangu mnashindwa kutambua kua sheria inaruhusu ushahidi au shahidi asionekane. Ilo sio kinyume na sheria
..Ni kweli kuna sheria ya kulinda mashahidi.
..Je, ni sahihi kwa utaratibu huo kutumika katika kesi dhidi ya Tundu Lissu?
..Ndio maana tukakumbusha kwamba ktk kesi ya uhaini ya mwaka 1984 kulikuwa na mashahidi wengi lakini waliolindwa ni wawili tu, shahidi X, na shahidi Y, ambao walikuwa wakuu wa idara ya usalama.
..Je, kwa kuzingatia mashahidi, na nature ya ushahidi, ktk shauri dhidi ya Tundu Lissu kuna uhalali wa mahakama kutumia sheria ya kulinda mashahidi.