GE2025 Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe

GE2025 Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Sio shida, wafanye maamuzi haraka, kama ni kwenda mahakama kuu, kesi ipelekwe, hukumu itolewe ili tuendelee na hatua zingine.
 
..Jaji ameamua mashahidi ambao ni raia ndio watafichwa.

..mashahidi toka vyombo vya dola hao hawatafichwa.

..sheria imetoa nafasi kwa mashahidi kufichwa lakini kuna mstari mwembamba sana kati ya kuficha mashahidi na kutokumtendea haki mtuhumiwa.
Hizi zote ni hisia zako mkuu,mahaka ni sehemu ya haki kama kamanda wetu Lissu akufanya jinai atakua tu huru
 
Kivipi kwa mfano? Watu wapuuzi kama huyu na wenzake wanaofanana wanastahili kujibiwa tena zaidi ya hivyo
Ndiyo maana nimesema kuna watu mmetumwa kuichafua CAHADEMA kwa kutamka matusi ili tuonekane sisi hatuna maana
 
MTANYOOKA TU WAHUNI NYIE MANATAKA KUHARIBU TAIFA MUANGALIWE TU MTU ANAHAMASISHA UASI AANGALIWE TU? LISSU NI MUHAINI ANYONGWEEE
Kama ni kuku au mbuzi, nakuunga mkono kwani baada ya kumnyonga tunakula nyama!
 
Hiyo pia ni kete sahihi ya kusukuma ili kesi iende mbio aache kesi isikilizwe upande mmoja. Hao mashahidi wa siri watajulikana tu hata wajifiche vioi huo ndiyo ukweli....
Na nini kinatokea kama kesi ikisikilizwa upande mmoja, athari na faida zake zipoje
 
Hizi zote ni hisia zako mkuu,mahaka ni sehemu ya haki kama kamanda wetu Lissu akufanya jinai atakua tu huru

..mahakama zetu sio mahali pa haki kwa wapinzani.

..mahakama ingekuwa mahala pa haki kwa wapinzani serikali ya ccm isingekuwa inawashtaki wapinzani huko.
 
Na nini kinatokea kama kesi ikisikilizwa upande mmoja, athari na faida zake zipoje
Kesi itaondolewa kwenye hiyo mahakama kwa haraka au kufutwa au kuamishiwa kwenye mahakama yenye mamlaka kamili ya kusikiliza kesi za uhaini ..maana akutakuw na marumbano ya hoja na kupoteza muda
 
..mahakama zetu sio mahali pa haki kwa wapinzani.

..mahakama ingekuwa mahala pa haki kwa wapinzani serikali ya ccm isingekuwa inawashtaki wapinzani huko.
Mbona kuna kesi nyingi tumeshinda kamanda.Cha muhimu ndugu zangu ni kutii na kuheshimu sheria zetu ,ndiyo maana ata nasisi tuliwafukuza hakina Mdee na Catherine Ruge kwakua walienda kinyume na itikadi na utaratibu wetu.
 
Kila siku ya Mungu aliye juu tunazidi tu kuprove unyani wetu kwa dunia wabongo! Hii ni aibu nyingine kwa kuionyesha dunia kwamba tanzania ni mbuga tu wote wanaoishi humo hawana tofauti, akina shabani, juma, john nk kaka na dada zao ni nyumbu, tembo, ngedere, swala so watu wanakuja tu kutazama wanyama na kuchukua vitoweo na kwenda zao!

RIP Mtikila baba...




 
Jaji Mkuu Mâsaju alisema yeye ni MSABATO na na kwamba atatenda haki :Mbona hatuoni haki ititendeka?
We unadhani hao watu wanadini.Mimi sina hofu hata kidogo na hizi kesi zsa Lisu. Kwani najua ni vitu vya kupikwa wakitaka watamfunga wasipotaka watamuacha ila wajaribu kumnyong'onyeza ili kama ikiwezejkana hata wakimwachia akimbie nchi kama ulimboka.
 
Back
Top Bottom