nimesoma gazeti la nipashe linasema kuwa serikali itgharamia mafunzo yatakofanyika nje ya nchi kuhusiana
na namna ya kuendesha mahakama ya kadhi ikanishangaza sana nikajiuliza huku sio kutumia kodi za wananchi
ku establish/promote one religion wakati huo huo ikijitangaza kuwa haina dini.
Binafsi nataka kuwepo na mahakama ya kazi lakini sitaki serikali iwe na mkono wa fedha kwa sababu ya kuepuka
kuwa controlled na serikali kwa sababu ukishakubali pesa ya serikali basi umeuza uhuru wako kama ambavyo
imetokea kwa bakwata. naomba ujadili hoja iliyopo mezani ya serikali kutumia kodi za wananchi kugharamia
mafunzo ya kidini ya dini moja na siyo kumjadili mtu.
na namna ya kuendesha mahakama ya kadhi ikanishangaza sana nikajiuliza huku sio kutumia kodi za wananchi
ku establish/promote one religion wakati huo huo ikijitangaza kuwa haina dini.
Binafsi nataka kuwepo na mahakama ya kazi lakini sitaki serikali iwe na mkono wa fedha kwa sababu ya kuepuka
kuwa controlled na serikali kwa sababu ukishakubali pesa ya serikali basi umeuza uhuru wako kama ambavyo
imetokea kwa bakwata. naomba ujadili hoja iliyopo mezani ya serikali kutumia kodi za wananchi kugharamia
mafunzo ya kidini ya dini moja na siyo kumjadili mtu.