Acha unafiki, mimi binafsi huwa nachangia ujenzi wa shule,makanisa,hospitali na vyuo kwenye harambee nyingi sana zinazoendwa na wakirsto hata kama natofautiana nao imani.
jana nimechangia mchango kwa ajili ya kuendesha semina ya malezi bora kwa vijana inayoandaliwa na wakirsto, nalazimika kuchangia sababu naona ni positive initiatives badala ya kulalamika lalamika na kutoa visingizio visivyokuwa na msingi kama mtoto mdogo.
utanishawishi vipi nikuelewe kwamba ni fedha za MOU wakati na mimi nimechangia? na zaidi waislamu kutokupewa pesa na serikali sio sababu ya wao kuacha kufanya shughuli za maendeleo.
Fungukeni macho bwana, haya, bajeti yetu inaonyesha kwamba fedha zinazotengwa kwa ajiri ya maendeleo ni zile zinazotegemewa kutoka kwa nchi wahisani, wewe si unajua kwamba nchi wahisani karibia zote ni za kizungu, za kikirsto kwa mujibu wa tafsiri zenu za kulalamika lalamika, na nyie mnataka portion kutoka kwenye pesa hizo??
Mjifunze kujisimamia kwa mambo ya msingi hasa ya maendeleo, dunia nzima imewachoka sasa, project mnazozifanya kwa umakini na ufanisi ni zile za mauaji ya haraiki ya watu tu basi. shame on you. Good Bye.