Elfu ishirini ishirini zenu mnazotoa haziwezi kufanya tunayoambiwa na vyombo vya habari! nyuma yake kuna hela zaidi ya hizo elfu ishirini ishirini zenu! na si nyingine bali ni hela za MOU! shame on you!Acha unafiki, mimi binafsi huwa nachangia ujenzi wa shule,makanisa,hospitali na vyuo kwenye harambee nyingi sana zinazoendwa na wakirsto hata kama natofautiana nao imani.
jana nimechangia mchango kwa ajili ya kuendesha semina ya malezi bora kwa vijana inayoandaliwa na wakirsto, nalazimika kuchangia sababu naona ni positive initiatives badala ya kulalamika lalamika na kutoa visingizio visivyokuwa na msingi kama mtoto mdogo.
utanishawishi vipi nikuelewe kwamba ni fedha za MOU wakati na mimi nimechangia? na zaidi waislamu kutokupewa pesa na serikali sio sababu ya wao kuacha kufanya shughuli za maendeleo.
Nchi hii ina rasilimali za kutosha kabisa bila ya kuomba msaada wa wazungu, ni nyie Wakristo ndio mnaozifuja na kuziweka pesa za wizi kwenye akaunti za Switzerland na kwengineko! sasa kuna ubaya gani tukidai hilo fungu za pesa zetu tunazorudishiwa kwa aina fulani kutoka kwa Wazungu?Sangarara said:Fungukeni macho bwana, haya, bajeti yetu inaonyesha kwamba fedha zinazotengwa kwa ajiri ya maendeleo ni zile zinazotegemewa kutoka kwa nchi wahisani, wewe si unajua kwamba nchi wahisani karibia zote ni za kizungu, za kikirsto kwa mujibu wa tafsiri zenu za kulalamika lalamika, na nyie mnataka portion kutoka kwenye pesa hizo??.
Ubaya wenyewe ni kuwa hata hizo nazo hatuzioni!