Mahakama ya Kadhi "Ruksa" - Pinda

Status
Not open for further replies.
Hata Pinda jana kasema wazi kabisa kwamba Serikali haitazigharamia Mahakama hizo.

Si kitu, tutapata njia ya kuziendesha tena kwa ufanisi mkubwa sana. Bakhresa kisha jitolea budget ya miaka 5 kwa mahakama moja kila mkoa, hapo sasa!

Oilcom anasema atajenga mahakama 30 kwa fedha yake.

Hao wawili tu, mambo ndio hayo, ngoja wafumke na wengine.

Tunamsubiri Lowassa kwa kutaka kura za Waislaam 2015 sijui atatoa ngapi. Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
WAISLAM WENGI WATAHAMIA UKRISTO. We Ngoja Uone.

Una maana tumeruhusiwa Mzinzi apigwe mawe mpaka kufa? je hii ikitekelezwa, mahakama yenu haitatuambia kuwa tunajichukulia sheria mkononi? na je! atakapokutwa mkristo anazini na mwisilamu, na yeye ruksa kupigwa mawe mpaka kufa? aiseeeee, kama uislamu ndiyo huo, basi uislamu mugumu, mimi leo nahama. naomba niitwe petro.
 
Pinda muislam??? By the way uki-google 'mahakama ya kadhi' unapata fulu data, hapo nchi jirani ya zanzibar wanaye kadhi mkuu, fuatilia mshahara wake analipwa na nani, na kwa nini serikali ya tanganyika inatia ngumu!!!

Hivi sikukuu ya ed-liftr na maulid lini maustadh wenzangu ili tukakifinye kipunga cha pilau.
 
tatizo si uislamu bali hapa kwetu umechanyika na uswahili, hata wakristo wakwere ukiwaangalia sana waweza kufikiri kama tunavyoffikiri hawa wenzetu! uislamu ni ustaarabu lakini hapa kwetu ni mbeleko ya wasiotaka kufanya kazi na kushinda misikitini wakilalama.
 
Hii mbona sio jipya...ilisharuhusiwa siku nyingi na mlikuwa hamtaki kuanzisha...sijui nini kimewafanya mkubali matapishi yenu...yetu macho kwa kweli...
 
Hivi sikukuu ya ed-liftr na maulid lini maustadh wenzangu ili tukakifinye kipunga cha pilau.

Kama una hamu ya Pilau njoo tu kila siku ipo si lazima Sikukuu, nyumba ya Muislaam hanyimwi mtu kula.
 
Si kitu, tutapata njia ya kuziendesha tena kwa ufanisi mkubwa sana. Bakhresa kisha jitolea budget ya miaka 5 kwa mahakama moja kila mkoa, hapo sasa!

Oilcom anasema atajenga mahakama 30 kwa fedha yake.

Hao wawili tu, mambo ndio hayo, ngoja wafumke na wengine.

Tunamsubiri Lowassa kwa kutaka kura za Waislaam 2015 sijui atatoa ngapi. Kwi kwi kwi teh teh teh!

sasa mbona shule na vyuo hamjengi mnabaki kulalama na kutegemea hela za waarabu wanaotumia kafara za majini.
 
Kama wameshindwa hata shule za chekechea,hospital n.k

ngoja tuone mahakama ya kadhi
 
Hii mbona sio jipya...ilisharuhusiwa siku nyingi na mlikuwa hamtaki kuanzisha...sijui nini kimewafanya mkubali matapishi yenu...yetu macho kwa kweli...

Mambo mazuri hayataki haraka, kidogo kidogo, tutapata na budget kamili Serikalini.

Najua jamaa zetu tatizo lenu, nyie kanoni hazikamiliki kutoa hukumu ya mirathi, maana ukiifata hiyo, mwanamke harithi chochote, wala haolewi tena mumewe akifa wala haachiki akiolewa, anakuwa ni mtumwa tu wa mwanamme. Kwetu hiyo NO!
 
Mahakama ya Kadhi ilisha kubaliwa muda mrefu na serikali ilishasema kuwa ni ruksa ili mradi Waislamu wenyewe wagharamie. Kwa hiyo hakuna jipya.

Btw unaweza ukatupa nukuu ya alicho kisema Pinda? Maana kama mnavyo fahamu serikali kunena na kutamka ni vitu viwili tofauti.
 
KIKWETE ALISEMA HIVI
Alisema kimsingi Serikali
imekubali ushauri huo na
kwamba mchakato ulianza
kwa kuunda Kamati ya
pamoja iliyojumuisha Serikali
na BAKWATA na kwamba nia ya Serikali ni kujihakikishia
kuwa hicho kitakachoundwa
hakiendi nje ya masuala ya
kidini yaani ndoa, takala,
mirathi na wakfu kwa mujibu
wa dini ya Kiislamu.

"Katu si Mahakama ya
kushughulikia masuala ya jinai
au madai.Haitajihusisha na
masuala ya wizi na kutoa
adhabu kama vile za kukatwa
mikono. Haitahusika na kesi za fumanizi na hivyo kutoa
hukumu ya kuuawa mkosaji
kwa kupigwa mawe.
La
hasha !!

Narudia kuwa
mamlaka yake yatahusu ndoa,
takala, mirathi na wakfu,"alisisitiza Kikwete.

SOURCE: MWANANCHI
 
Mambo mazuri hayataki haraka, kidogo kidogo, tutapata na budget kamili Serikalini.

Najua jamaa zetu tatizo lenu, nyie kanoni hazikamiliki kutoa hukumu ya mirathi, maana ukiifata hiyo, mwanamke harithi chochote, wala haolewi tena mumewe akifa wala haachiki akiolewa, anakuwa ni mtumwa tu wa mwanamme. Kwetu hiyo NO!
Utasubiri sana mpka Yesu atakaporudi...Bwana Yesu akabariki sana.....
 
Mahakama ya kadhi mlisharuhusiwa kuanzisha siku nyingi tu, ni uzembe wenu na kutegemea muanzishiwe kwa gharama za walipa kodi wote wa tz ndiyo ulichelewesha uanzishaji huo. Kwa hiyo iwapo sasa mmeafiki kuanzisha kwa gharama zenu hakuna anayewazuia au atakayewazuia hata kidogo.
kama wanashindwa kuendesha hata shule ya msingi,wataweza kuendesha mahakama na kulipa wafanyakazi wa mahakamani?...wanajitwisha mzigo wa mawe tu hadi nawaonea huruma.
 
Sideeq ulitaka kwenye Mikataba ya MOU waislamu washirikishwe alafu iweje? jengeni zenu nanyie ili msamehewe kodi nafasi ipo siyo kulalamika tu.Serikali hii bila hospital za makanisa khali ya uduma za afya itakuwa mbovu sana zaidi ya hii.wewe Thread yenyewe hapa ni Mahakama ya kadhi, lkn kwa chuki zako dhidi ya WAkristo ukabidi uingize MOU, mkijadili maswala yenu bila kuwataja wakristo mambo yenu ayaendi? Mwende mkatibiwe wote Aghakhani sasa na wao siwanapewa misamaha?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom