Magufuli duniani Leo

Mkuu Subira the Princess, sijatishwa na yeyote.
Soma tarehe ya bandiko hili
P
 
K

Kuna watu sio wa kuwaamini ni wanafiki na wanapenda kujipendekeza, inawezekana ndio mkono uende kinywani. Wengi wanalipwa kusifia buku saba, wako wengi sana JF.
 
Au bado anakubalika kwa wale mnaotembea tembea huko?

BADO DUNIA INAMUONA MAGUFULI KAMA MWANZO? KAMA SIYO UNAHISI NINI KIMESHUSHA UMAARUFU HUO? NA JE ANGEFANYA NINI ILI ANEDLEEE KUAMINIKA KWA KILA MTU?
Kama uliweza kuyaona, kuyasikia yote uliyoandika huko juu dunia ikimsifu, utashindwa kweli kujua kama dunia hiyo hiyo bado inaendelea na msimamo huo huo au la mpaka ikulazimu kuleta maswali hayo hapa JF upate msaada?

Sawa, ngoja nami nitoe mchango wangu huu:

Kama ilivyo kwa kila jambo, hata liwe zuri kiasi gani, likizidi kiasi linakuwa shida,kero, au linaudhi.
Utasikia njaa sana. Ukiletewa chakula ukipendacho, utakula kiasi chako, lakini kitabaki. Ukilazimisha tutakupeleka Mnazi Mmoja.
Ni hivyo hivyo na kiu ya maji, n.k.

Alipoanza kuhimiza watu wamwombee mara kwa mara, najua hata akina Britanicca na akina Paskali, na sisi sote tuliitikia wito huo kwa uwezo wetu wote. Tukaomba---.

Sababu ndio hiyo. Iwe bado anasifika sana huko duniani au hapa nyumbani au vinginevyo. Sala zilizidi kiasi.

Haya ndio maoni yangu kwa kujibu maswali yako.
 
Mtu ambaye ni verified user, lazima aandika kama Pascal otherwise one risks tragedies!
Anaiporomosha hadhi yake sana. Binafsi nimekuwa nikimuheshimu kwa mada zake na namna ambavyo anachukua muda na kutafiti kabla ya kuziweka hapa jukwaani. Siku za hivi karibuni mada zake nyingi zimekuwa za kumsifia na kumpamba magufuli kana kwamba yeye anaishi ughaibuni hatambui changamoto zilizopo katika jamii. Sio vibaya kusifu kwa sababu wote tunaona mazuri kadhaa anayofanya magufuli ila linapokuja suala la kujitia upofu hata kwa yale maovu ya wazi yanayofanyika basi inatupa mwanya wa kutafakari kama imani/heshima aliyokua akiipa anastahili au la.
 
At nn sasa na ile ishu ya chet itakuwaje?au atarudia mtihan?
 
Sala ndo zilizidi, ni Sala za kuabudu yeye au Mungu? Maana .....
 
Kwani kumpamba au kumsifia mtu ni kosa?
 
Maana hakuna namma nyingine.....Magu mbele kwa mbele.....hata iweje
 
Ni baada tu ya kumteua mtu mmoja tu ndiyo akazorota,kumbuka alikaa bila wasaidizi kwa muda mrefu,hapo ategue tu kitendawilinya aliyempotosha baaaasssss.
Baada ya Kumteua Nani sasahuyo Makamba au Majaliwa?
 
Tuachane na hizo nchi tuangazie, Germany ,Italy, China and others
 
Wewe Paskali hueleweki kabisa!
Mkuu Tzcountry You Love, sio sieleweki bali ni kiwango tuu cha uelewa wako, wale wa kiwango cha uelewa wa mada zangu mbona wananielewa vizuri tuu, tatizo langu ni moja tuu, mimi ni mkweli daima, kwenye mazuri napongeza, kwenye makosa nakosoa na kwenye mapungufu nashauri.

Kuna kundi humu kazi yao ni kupinga kila kitu, kukosoa kila jambo, kulaumu, kulalamika na kutukana. Siku ukikosoa, watu hawa watakuwa wako na wewe na watakusifu, lakini siku wakikusikia unasifu, kusupport au kupongeza, wananuna utawasikia Pasco hueleweki, mara anajipendekeza kusaka uteuzi etc.

Kwako wewe uko kundi gani na mimi hunielewi wapi?.
P
 
Ukikosoa utafuatwa, acha kutudanganya! You are a verified user, ukijitia kusema ukweli unapotea! Acha hizo labda kama wewe vile vile ni TISS member! jana ulisema JPM ni dictator, lakini pale pale ukaupamba udikiteita wake kuwa sasa tunakwenda kuwa kama Sweden withi 5 yrs of his forst term brutal rule!
 
Tuachane na hizo nchi tuangazie, Germany ,Italy, China and others
Ukiacha China ambayo inaendeshwa nateckology ya kuazima, , ulizo zitaja dictators wake walikuwa nchi hizo tayari ni industrialized!
 
Asante sana. nami nilikuwa nampenda sana Pascal kwa uandishi na uchambuzi wake, lkn of recent ameniacha hoi. Yaani utekaji, mauaji, upotezaji watu, wafanyakazi kunyimwa haki zao, kuvunja katiba na sheria etc hayaoni kweli! Pascal Mayalla
 
Ukiacha China ambayo inaendeshwa nateckology ya kuazima, , ulizo zitaja dictators wake walikuwa nchi hizo tayari ni industrialized!
Mkuu angalia tawala zote za Mwanzo za nchi zote zilizoendelea, usiiangalie Uk kwenye muda wa kina Brown au Thereza,usiangalie US ya trump, Bush au Obama , angalia mwanzo wake
 
Asante sana. nami nilikuwa nampenda sana Pascal kwa uandishi na uchambuzi wake, lkn of recent ameniacha hoi. Yaani
  1. utekaji,
  2. mauaji,
  3. upotezaji watu,
  4. wafanyakazi kunyimwa haki zao,
  5. kuvunja katiba na sheria etc hayaoni kweli! Pascal Mayalla
Mkuu the Retired
Angalia tarehe za mabandiko haya
1.Nimeishaandika sana sio tuu kuhusu utekaji na hadi kutaja aina za wasiojulikana, bali nimeishaeleza namna ya kuisaidia serikali yetu kuwabaini wasiojulikana. https://www.jamiiforums.com/threads...ojulikana-ambao-kamwe-hawatajulikana.1320071/


2.Mauaji nimezungumza humu na nina threads zaidi ya 10.

3.Upotezwaji watu nimeuzungumza humu nina threads zaidi ya 10

4.Haki za Wafanyakazi, soma tarehe ya hii thread

5. Katiba tumeisha izungumza sana.

Kuna issues zinajirudia, huwezi kila siku kurudia tuu kila tukio linapojirudia, Pasco ni yule yule juzi, jana, leo na hata...
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…