britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,192
- 41,701
- Thread starter
- #121
🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥

Magufuli amefifia machoni kwa wazungu baada ya kuwakamata wezi wa dhahabu na makinikia pale bandarini. ndio walipoanza kumchukia na kutumika kwa vibaraka wa ndani (Mbowe, Zito, Tundu Lissu n.k.) kumchafua zaidi ili mataifa yamuone hafai.
wachafu ni nyinyi mnaompakaa uchafu wenu.kazi yake tunaiona vizuri sana.Visingizio. Uchafu wake unaonekana wazi.


Mkuu The Retired, kwanza naomba kukiri ushallow kwenye reasoning. Nchi zote zilizopata maendeleo makubwa, maendeleo hayo yameletwa na viongozi madikiteta, angalia Tiger nations, no gain without pain.
Madikiteta wako wa aina nyingi, na Magufuli kweli ni dikiteta, hilo halina mjadala, ila huyu ni dikiteta mzalendo, anafanya udikiteta kwa nia njema na dhamira safi ya kulisaidia taifa.
Tanzania tulipofika, tulihitaji mtu kama Magufuli ili tuweze kusonga mbele.
P![]()
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Wanabodi, Angalizo. Neno dikiteta sio neno baya kama lengo la matumizi yake ni lengo jema. Tukisema Rais Magufuli ni dikiteta, hatumaanishi ni dikiteta katili kama Hitler, Musolini, au Iddi Amini, no way, Magufuli ni dikiteta mwema au dikiteta mzalendo anayeitwa a Benovelent Dictator!, kama...www.jamiiforums.com
Umeishatoka Karagwe?Ushahidi upo nikikaa ntakuletea , naishi huku nakutana na magazines mbali mbali najua nalosema mkuu
KipiHapa hatuna mtu!!!huyu ni roboti!!!ni mtambo unaoendeshwa tu na kidhibiti mbali!!!
Si kila Mwamba ni imaraMtajaribu kushindana nae lakini JPM ni mwamba. Moto wake hauzimi. Hadi 2025 mtaisoma namba .
Unategemea kabisa nchi za Ulaya na US zitoe sifa kwa rais mzuri wa Afrika? Rais mzuri ni kama akina Mobutu, wale wanaoruhusu makampuni kupitisha makinikia. Ukiona rais wa Afrika anapewa sifa, ujue hakuna rais hapo!Mwanzoni Rais wetu alipendwa sana na mpaka baadhi ya nchi zikatamani kumuazima akatawale kule kwa siku kadhaa au miezi kadhaa, hii ilileta picha kwamba ama Magufuli alikuwa anafanya vema mwanzoni au aliazna na vipaumbele ambavyo ni matataizo sugu ya nchi nyingi duniani mfano rushwa na uwajibikaji,
Tuwe wakweli Mpaka wapinzani wa hapo Tanzania akina mbowe na Lipumba walisema kwamba Magufuli anatekeleza ilani yao hafanyi ya kwake,
Zitto kabwe akafika hatua akasema sasa nchi ina rais kwa kweli,
Pale Kenya na nchi baadhi zilizoedesha uchaguzi baada ya Magufuli kuingia madarakani walitamani hata wale wanaenda kuwachagua wawe katika viatu vya Magufuli,
Pro Lumumba mpaka akaanzisha neno maarufu la Magufulification of Africa
Pale Autralia na Madagascar ilikuwa maandamano yakitaja kwamba tunataka kuwa na kiongozi kama Magufuli,
Ulaya walisema kuna kanchi kameibuka huko afrika kana Rais anaitwa Magufuli,
Magufuli Magufuli Magufuli aal over the world then
Je kuna jinsi alitafsiriwa vibaya mwanzoni baadae wakagundua kwamba siyo, au labda ameyafanya mazuri wakayazoea ikaonekana jambo la kawaida?
Au bado anakubalika kwa wale mnaotembea tembea huko?
BADO DUNIA INAMUONA MAGUFULI KAMA MWANZO? KAMA SIYO UNAHISI NINI KIMESHUSHA UMAARUFU HUO? NA JE ANGEFANYA NINI ILI ANEDLEEE KUAMINIKA KWA KILA MTU?
R.i.pKwa hili umetia chumvi!
HakikaBaada ya Matukio ya watu kutekwa na kupotea, Lissu kushambuliwa mchana kweupe, na watu kukatazwa hata kukamatwa kwa kumuombea dua Lissu Dunia sasa imepata picha halisi ya huyo unaye mtaja.
Urembo wa kuchonga haudumu