britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,644
- 30,007
- Thread starter
- #21
hili laweza kuwa jibu piaKwakweli alianza vizuri sana ukitilia maanani kwamba uadilifu ndio karata iliyomuibua kutoka kusikojulikana
Ila nadhani kuna watu wanamshauri vibaya kwamba anaweza tatua matatizo ya wananchi kutumia shortcuts za maneno ya kisiasa badala ya kuyatatua matatizo kama yalivyo
Kuna uwezekano vile vile hali ya kutoaminiana (wenye mikia na waliokatwa)na makundi ktk chama kumemfanya sasa ajenge usuhuba na watu ASIOFANANA NAO
Mengi yanakuja