Magufuli duniani Leo

Kwakweli alianza vizuri sana ukitilia maanani kwamba uadilifu ndio karata iliyomuibua kutoka kusikojulikana
Ila nadhani kuna watu wanamshauri vibaya kwamba anaweza tatua matatizo ya wananchi kutumia shortcuts za maneno ya kisiasa badala ya kuyatatua matatizo kama yalivyo
Kuna uwezekano vile vile hali ya kutoaminiana (wenye mikia na waliokatwa)na makundi ktk chama kumemfanya sasa ajenge usuhuba na watu ASIOFANANA NAO

Mengi yanakuja
hili laweza kuwa jibu pia
 
Magufuli amefifia machoni kwa wazungu baada ya kuwakamata wezi wa dhahabu na makinikia pale bandarini. ndio walipoanza kumchukia na kutumika kwa vibaraka wa ndani (Mbowe, Zito, Tundu Lissu n.k.) kumchafua zaidi ili mataifa yamuone hafai.
Cyo kweli,ni utawala usio wa sheria ndiyo unamwangusha. Hayo mengine ni kutafuta pakujifichia tu.
 
Fatilia kipindi cha Dr Mumbi anavyotembelea miradi mikubwa kwenye youtube channel yake na angalia comments za watu wa mataifa mbalimbali wanavyo iongelea Tanzania na Rais Magufuli in a positive way
 
Kuna watu walidhani ni nguvu ya soda, hii ngoma iko vile vile hadi 2025, Magufuli ni yule yule juzi, jana, leo na hata...

Mimi nimeshauri hivi
P
Shallow reasoning Mr. P, (nisamehe rafiki mwema, nimekosa neno rahisi la kuweka) huyu ni dictator, madictator huwa hawapoi! Tafuta historia ya dictators wote, huwa ni ukatili mwanzo mwisho mpaka anapinduliwa au anakufa madarakani! Kwenye demokrasia and therefore no dictatorship, sheria , katiba vitakupunguza kasi ya kutaka kufanya anayoyafanya ya kuvunja sheria na Katiba!
 
Shallow reasoning Mr. P, (nisamehe rafiki mwema, nimekosa neno rahisi la kuweka) huyu ni dictator, madictator huwa hawapoi! Tafuta historia ya dictators wote, huwa ni ukatili mwanzo mwisho mpaka anapinduliwa au anakufa madarakani! Kwenye demokrasia and therefore no dictatorship, sheria , katiba vitakupunguza kasi ya kutaka kufanya anayoyafanya ya kuvunja sheria na Katiba!
Mkuu The Retired, kwanza naomba kukiri ushallow kwenye reasoning. Nchi zote zilizopata maendeleo makubwa, maendeleo hayo yameletwa na viongozi madikiteta, angalia Tiger nations, no gain without pain.

Madikiteta wako wa aina nyingi, na Magufuli kweli ni dikiteta, hilo halina mjadala, ila huyu ni dikiteta mzalendo, anafanya udikiteta kwa nia njema na dhamira safi ya kulisaidia taifa.

Tanzania tulipofika, tulihitaji mtu kama Magufuli ili tuweze kusonga mbele.

P
 
Mwanzoni Rais wetu alipendwa sana na mpaka baadhi ya nchi zikatamani kumuazima akatawale kule kwa siku kadhaa au miezi kadhaa, hii ilileta picha kwamba ama Magufuli alikuwa anafanya vema mwanzoni au aliazna na vipaumbele ambavyo ni matataizo sugu ya nchi nyingi duniani mfano rushwa na uwajibikaji,

Tuwe wakweli Mpaka wapinzani wa hapo Tanzania akina mbowe na Lipumba walisema kwamba Magufuli anatekeleza ilani yao hafanyi ya kwake,

Zitto kabwe akafika hatua akasema sasa nchi ina rais kwa kweli,

Pale Kenya na nchi baadhi zilizoedesha uchaguzi baada ya Magufuli kuingia madarakani walitamani hata wale wanaenda kuwachagua wawe katika viatu vya Magufuli,

Pro Lumumba mpaka akaanzisha neno maarufu la Magufulification of Africa
Pale Autralia na Madagascar ilikuwa maandamano yakitaja kwamba tunataka kuwa na kiongozi kama Magufuli,

Ulaya walisema kuna kanchi kameibuka huko afrika kana Rais anaitwa Magufuli,

Magufuli Magufuli Magufuli aal over the world then

Je kuna jinsi alitafsiriwa vibaya mwanzoni baadae wakagundua kwamba siyo, au labda ameyafanya mazuri wakayazoea ikaonekana jambo la kawaida?
Au bado anakubalika kwa wale mnaotembea tembea huko?

BADO DUNIA INAMUONA MAGUFULI KAMA MWANZO? KAMA SIYO UNAHISI NINI KIMESHUSHA UMAARUFU HUO? NA JE ANGEFANYA NINI ILI ANEDLEEE KUAMINIKA KWA KILA MTU?
Wewe jamaa sometimes ni boya hasa, maneno ya vijiwe vya kahawa unaamisha watu, yaani mataifa yaache kuwatamani kina Obama, Clinton na Angalau Kenyatta ,Rais mwingi wa hekima, wamtamani mtu katili asiye hata na hekima eti awaongoze, akaue uchumi wao kama alivyoua uchumi wetu.
 
Wewe jamaa sometimes ni boya hasa, maneno ya vijiwe vya kahawa unaamisha watu, yaani mataifa yaache kuwatamani kina Obama, Clinton na Angalau Kenyatta ,Rais mwingi wa hekima, wamtamani mtu katili asiye hata na hekima eti awaongoze, akaue uchumi wao kama alivyoua uchumi wetu.
Siyo maneno yangu, Alafu uboya unajua kuutambua?
 
Mkuu The Retired, kwanza naomba kukiri ushallow kwenye reasoning. Nchi zote zilizopata maendeleo makubwa, maendeleo hayo yameletwa na viongozi madikiteta, angalia Tiger nations, no gain without pain.

Madikiteta wako wa aina nyingi, na Magufuli kweli ni dikiteta, hilo halina mjadala, ila huyu ni dikiteta mzalendo, anafanya udikiteta kwa nia njema na dhamira safi ya kulisaidia taifa.

Tanzania tulipofika, tulihitaji mtu kama Magufuli ili tuweze kusonga mbele.

P
Ni kweli nakumbuka hili bandiko
 
Magufuli amefifia machoni kwa wazungu baada ya kuwakamata wezi wa dhahabu na makinikia pale bandarini. ndio walipoanza kumchukia na kutumika kwa vibaraka wa ndani (Mbowe, Zito, Tundu Lissu n.k.) kumchafua zaidi ili mataifa yamuone hafai.
Magufuli amefifia baada ya kuunda kundi lake la wasio julikana linalo teka, ua, poteza, piga risasi,............pia amefifia baada ya kuzuia wapinzani wasifanye siasa, kauli zake juu ya uzazi wa mpango, wanafunzi wanao pata mimba,.......
 
Mkuu The Retired, kwanza naomba kukiri ushallow kwenye reasoning. Nchi zote zilizopata maendeleo makubwa, maendeleo hayo yameletwa na viongozi madikiteta, angalia Tiger nations, no gain without pain.

Madikiteta wako wa aina nyingi, na Magufuli kweli ni dikiteta, hilo halina mjadala, ila huyu ni dikiteta mzalendo, anafanya udikiteta kwa nia njema na dhamira safi ya kulisaidia taifa.

Tanzania tulipofika, tulihitaji mtu kama Magufuli ili tuweze kusonga mbele.

P
Tena baada ya kumaliza muda wake kikatiba aje mwingine wa mfano wake.

Nafikiri miaka 20 baada ya 2015 Tanzania itaendelea sana kiuchumi sababu ya udikteta wa Magufuli na misimamo yake dhidi ya rasilimali za taifa.
 
Back
Top Bottom