Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,381
Blablabla
Kwasababu Magufuli mwenyewe keshasema muda wake ukifika, haongezi hata sekunde, ili kuilinda hii kazi nzuri ya Magufuli asije kuingia mtu ambae sio, tumeanza kutafuta watu ambao ni kama Magufuli, miongoni mwao ni huyu dogo.Tena baada ya kumaliza muda wake kikatiba aje mwingine wa mfano wake.
Nafikiri miaka 20 baada ya 2015 Tanzania itaendelea sana kiuchumi sababu ya udikteta wa Magufuli na misimamo yake dhidi ya rasilimali za taifa.
Sio ilo tu..ata kupandisha watu mishahara,kutoa ajira,kupaisha Uchumi. na kuendeleza Demokrasia ..yote yamemfanya wazungu wamchukieMagufuli amefifia machoni kwa wazungu baada ya kuwakamata wezi wa dhahabu na makinikia pale bandarini. ndio walipoanza kumchukia na kutumika kwa vibaraka wa ndani (Mbowe, Zito, Tundu Lissu n.k.) kumchafua zaidi ili mataifa yamuone hafai.
Umerogwa WeweKuna watu walidhani ni nguvu ya soda, hii ngoma iko vile vile hadi 2025, Magufuli ni yule yule juzi, jana, leo na hata...
Mimi nimeshauri hivi
P![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Huwa napenda unavyo react hata kwa wanaokukashfuMkuu The Retired, kwanza naomba kukiri ushallow kwenye reasoning. Nchi zote zilizopata maendeleo makubwa, maendeleo hayo yameletwa na viongozi madikiteta, angalia Tiger nations, no gain without pain.
Madikiteta wako wa aina nyingi, na Magufuli kweli ni dikiteta, hilo halina mjadala, ila huyu ni dikiteta mzalendo, anafanya udikiteta kwa nia njema na dhamira safi ya kulisaidia taifa.
Tanzania tulipofika, tulihitaji mtu kama Magufuli ili tuweze kusonga mbele.
P![]()
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Wanabodi, Angalizo. Neno dikiteta sio neno baya kama lengo la matumizi yake ni lengo jema. Tukisema Rais Magufuli ni dikiteta, hatumaanishi ni dikiteta katili kama Hitler, Musolini, au Iddi Amini, no way, Magufuli ni dikiteta mwema au dikiteta mzalendo anayeitwa a Benovelent Dictator!, kama...www.jamiiforums.com
Kasi ipi yenye manufaa kwa umma?Kuna watu walidhani ni nguvu ya soda, hii ngoma iko vile vile hadi 2025, Magufuli ni yule yule juzi, jana, leo na hata...
Mimi nimeshauri hivi
P![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Mkuu Britanicca, mimi ni mtu peace sana, hata watu wakinitukana humu, mimi nawakongolia kitufe cha like.Huwa napenda unavyo react hata kwa wanaokukashfu
I am withdrawing this (above) statement anyway.kwanza naomba kukiri ushallow kwenye reasoning
Hahaaaa Pascal Mayalla naona mahaba yamerudi kwa kasi ya kimbunga!! Kuna ka teuzi umekanusa nini? Kila la heri mkuu! Naamini utaendelea kuwa nasi hapa jukwaani hata hapo utakapo Pakwa mafuta! Usije kuwa kama Juliana Shonza aliyetukacha soon baada ya kula uteuziKuna watu walidhani ni nguvu ya soda, hii ngoma iko vile vile hadi 2025, Magufuli ni yule yule juzi, jana, leo na hata...
Mimi nimeshauri hivi
P![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Ni hapa JF peke yake anaonekana hafai lakini kwingine nyota yake i palepale. Nigeria wanataka awe kiongozi wao Ghana wanataka Rais wao ajifunze kitu kutoka kwa Tanzania. Rejea thread ya Nyani Ngabu ukiona maandishi ya humu JF utadhani huko mitaani pia anachukiwa wskati ukweli ni kinyume chake.Amechemka kwenye 'angle' ya demokrasia na utawala bora. Angefaulu hapo,believe me Tanzania na Africa ingemuimba Magufuri forever
Mtu ambaye ni verified user, lazima aandika kama Pascal otherwise one risks tragedies!Hahaaaa Pascal Mayalla naona mahaba yamerudi kwa kasi ya kimbunga!! Kuna ka teuzi umekanusa nini? Kila la heri mkuu! Naamini utaendelea kuwa nasi hapa jukwaani hata hapo utakapo Pakwa mafuta! Usije kuwa kama Juliana Shonza aliyetukacha soon baada ya kula uteuzi
Leta ushahidi!Ni hapa JF peke yake anaonekana hafai lakini kwingine nyota yake i palepale. Nigeria wanataka awe kiongozi wao Ghana wanataka Rais wao ajifunze kitu kutoka kwa Tanzania. Rejea thread ya Nyani Ngabu ukiona maandishi ya humu JF utadhani huko mitaani pia anachukiwa wskati ukweli ni kinyume chake.
Ingia youtube channel ya Dr Mumbi ukaso.e comments za waafrika wanavo comment kuhusu Jiwe ndiyo ujue hili ni Jiwe japo hatulipendi sisi wenyewe. Ni hulka ya watanzania kubeza viongozi wetu hata Nyerére ilikua hivyo mpaka alipofariki lakini nje ya nchi aliheshimiwa.
ACHANA NA VICOMMENTS UCHWARA HAPA JF JAMAA BADO ANA NAFASI MPAKA VISIWANI CARRIBIAN
Yote sawaMbio bado hazijafika ukingoni ndio maana watu wanalia alegeze vyuma fedha irudi mitaani.
mbona kafeli kw korosho?Tena baada ya kumaliza muda wake kikatiba aje mwingine wa mfano wake.
Nafikiri miaka 20 baada ya 2015 Tanzania itaendelea sana kiuchumi sababu ya udikteta wa Magufuli na misimamo yake dhidi ya rasilimali za taifa.
Mwanzoni na Mimi nilikuwa naye,in fact bado ana nafasi ya kuwa role model hasa kama ataruhusu Uhuru wa kujieleza na democracy kwa ujuma. Kiongozi lazima awe na ngozi ngumu,lazima akubali kukisolewa. Pale sasa ndiyo tutampa big up.Ni hapa JF peke yake anaonekana hafai lakini kwingine nyota yake i palepale. Nigeria wanataka awe kiongozi wao Ghana wanataka Rais wao ajifunze kitu kutoka kwa Tanzania. Rejea thread ya Nyani Ngabu ukiona maandishi ya humu JF utadhani huko mitaani pia anachukiwa wskati ukweli ni kinyume chake.
Ingia youtube channel ya Dr Mumbi ukaso.e comments za waafrika wanavo comment kuhusu Jiwe ndiyo ujue hili ni Jiwe japo hatulipendi sisi wenyewe. Ni hulka ya watanzania kubeza viongozi wetu hata Nyerére ilikua hivyo mpaka alipofariki lakini nje ya nchi aliheshimiwa.
ACHANA NA VICOMMENTS UCHWARA HAPA JF JAMAA BADO ANA NAFASI MPAKA VISIWANI CARRIBIAN