Kwahiyo sheria huwezi kuwapata na hatia unless izungumze vinginevyo! Mtu anaweza kukuambia hata kuogelea nako kunahatarisha maisha ya mtu; je itumike hiyo sheria kuwapeleka mahakamani watu wanaoogelea? Wajibu wa serikali ni kutoa tahadhali na pale inapobidi kutumia hata nguvu lakini wananchi wenyewe nao wanatakiwa kuwa responsible na maisha yao badala ya kuwasikiliza wanasiasa! Wanasiasa walivyo wapumbavu usishangae kukuta kuna wengine wanaenda pale na kuwaambia msitoke hadi serikali iwaoneshe mahali pengine pa kujenga utafikiri hapo walioneshwa na serikali huku wakisahau kwamba yakija mafuriko wanaoumia ni wao![
/
hasante, mkuu kwa tatizo hili la kuishi mabondeni kama pale jangwani naona serekali inatakiwa ifanye kitu zaidi ya kuwashawishi kwa maneno, wapuuzi kama wale wanao kataa kuhama alafu wakumbwapo na matatizo wanarudi na kuitaka selekari iwasaidie!,ikibidi hata sheria dhidi yao itungwe kama kwa sasa haipo, ni vyema ikamhusisha hata huyo anaye watetea. Nikuulize kidogo, kuna kipindi pale jangwani walipewa viwanja na vifaa vya ujenzi kule Mabwe pande,ilikuwaje wakarudi?,inakuwaje nguzo za umeme na maji viwafikie?,huu sio uzembe wa serekali kweli?