Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,702
Kwenye wanaofahamu biashara za hapa mjini, lazima atoe shikamoo kwa mtu mwenye jiko! Nini Sinza, hata ukiwa nalo pande za Temeke bado huwezi kumlinganisha na mfanyakazi hata wa kima cha kati! Jamaa wanapiga pesa ndefu, ukijifanya msomi na tai yako unaweza kuwaona jamaa kama mafa'la kumbe fa'la ni wewe na tai yako!
Nlikua corner bar sinza/kijitonyama siku moja na marafiki tunapiga vyombo (beer) na nyama......usiku kama wa saa 2 au 3 hvi......tukawa tumeface lile jiko from a distance kdgo tukiwa kwenye kunywa na kupiga hadithi na marafiki, mawazo yangu yote nlikua nime focus activities zinazoendelea pale jikoni......aisee wale majamaa wanauza sio kifala....alaf bosi wao yupo pale pale anaangalia vijana wake.....
Kuna mmoja akaniambia wanauza mbuzi si chini ya wa 3 kila siku, bado viazi, mishkaki, kuku....vibarua ni kama wa 3 unawalipa buku 2 au buku 3 daily...rent ni buku 10 kwa siku.....nyingine yote faida alaf huyo mchagga boss wao ana majiko mengine....ubungo, kinondoni, sinza, makumbusho, mwenge.
Jamaa ana supply material viazi, nyama, na pick up yake kwenye hzo biashara plus ana mifugo nnje ya mji. Yule jamaa kwenye hzo biashara tu roughly kwa mwezi hakosi Million 60... Sasa piga hesabu wa mwaka alaf kwa mtu ambaye msomi anayejua finance imagine hyo hela ukaamua wekeza kwenye nyumba za biashara i.e guest house huko huko nnje kidogo ya mji. After 5 years utakua wapi ??
TRA halipi hata 100.
Ajira ni useng* basi tu watu hawajui.