Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Ni wazi kuwa hata ungefanya mema mangapi kwa wanadamu kamwe usitegemee kupata sifa,pongezi au kutiwa moyo na wote, NASEMA KAMWE.

Tumeshuhudia viongozi kama Gaddafi licha ya kuwapenda sana watu wake na kutumia rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi, lakini wapi mwisho wa siku alichukiwa hadi kuuwawa kinyama, LEO WANAJUTA na mifano mingine lukuki kama hiyo.

Kwa Tanzania kama ilivyo kwa nchi za wanadamu wengine wenye hulka fanani,usitegemee fadhila wala pongezi kutoka kwao hata kidogo.Ila ukweli ni kuwa:

- Mengi mazuri rais ameyafanya na wote ni mashahidi ila kwa sababu ya UCHAMA basi hakuna anayeona kitu chochote kimefanyika.

-Ni nani aliyeweka mwiko mkubwa huu wa vyama pinzani kutosifia utendaji wa rais hata kwa yale yanayolenga maslahi ya kizazi chetu na kijacho?.au chama tawala kutosifia upinzani hata pale wanapofanya mema yanayohusu maslahi mapana ya nchi hii?

Je huu uzalendo unaoimbwa kuchwa kutwa una maana gani ikiwa yale yanayoguza maslahi ya taifa yanabezwa na kutupwa kama vitu visivyofaa.Kwa hali hii napata kigugumizi ikiwa wale wale wanaoimba uzalendo ,hawayataki yahusuyo uzalendo .Je si unafiki huu?.

Basi nasema ikiwa uzalendo ndio nguzo ya maendeleo ya taifa letu, MH.MAGUFULI KAZA UZI HISTORIA ITAKUKUMBUKA.
ITAMKUMBUKA KAMA DIKITEITA ALIYETOKEA TANZANIA KAMA ILIVYO HISTORIA YA AMINI HAITAFUTIKA
 
I like Magufulification. Nakumbuka tulihitaji mtu kama Mhe. Magufuli. I can even "feel his presence" as a president and a real son of Africa.
Hizi emotional feeling will give us damn bad result,we need to think,hivi baada ya Dangote ni mwekezaji gani alieingia nchini ili kutumia gesi kuleta bidhaa za gesi,inabidi tujiulize ni nani anafaidika na kufungwa midomo kwa wapinzani au washindani wa siasa nchini,inakuaje vikao vya chama vifanyike ikulu,na pia tunaomba kujua kama kweli anapenda demokrasia kwanini anapenda kujiweka mbele kwa kila jambo linalofanyika nchini,ni kweli kuliibuka kelele tunahitaji mtu mfuatiliaji na sio mwenye roho mbaya,
Kuna wakati ilisemekana kuwa uchumi unashuka wakaja watetezi wake wakasema sio kweli lakini Mpango kasema uchumi unakua kwa 6.1 % badala ya 7.7 % na kwa sababu nchi hii watu wengi hawaoni kwa jicho la tatu huo utofauti ilitakiwa serikali iwajibike,sasa mtu anatupigia kelele uchumi unakua kumbe kazi yake ni kupeleka takwimu fake tume ya maadili ilihali anapima ni kiasi gani ameathili watu.
Hebu tuwe wawazi ni nani mwenye hekima anamsifu mkubwa huyu kama sio vimeo wa Lumumba kizazi kipya wasiojua hasara ya aina ya uongozi wa Magufuli!
Time is a great factor,numbers never lie.
 
Najua povu litawatokasana ila vyovyote iwavyo ukilinganisha na hali tuliyofikia kama nchi, uyu ndiye Rais anaye tufaa kututoa katika hali tuliyofikia.
Nasema Asante Mungu kwakusikia maombi ya watanzania na kutuletea JPM. Kwakizazi tulichonacho ata ungetuletea malaika atuongoze baadhiyetu wangemtukana na kumdhihaki hivyo ndivyo walivyo wanadamu.
 
Hata mimi naungana na mtoa mada unajua jamaa amefanya walevi mbwa kuacha pombe na wakati ule walikuwa wanasema kuacha pombe ni vigumu.Jamaa kafanya watu wanaenda church na wakati walikuwa wanajiita wapagani.Jamaa kastaafisha waganga wa kienyeji watu wanajua kabisa hawajalogwa ni jpm kabana
 
Ni wazi kuwa hata ungefanya mema mangapi kwa wanadamu kamwe usitegemee kupata sifa,pongezi au kutiwa moyo na wote, NASEMA KAMWE.

Tumeshuhudia viongozi kama Gaddafi licha ya kuwapenda sana watu wake na kutumia rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi, lakini wapi mwisho wa siku alichukiwa hadi kuuwawa kinyama, LEO WANAJUTA na mifano mingine lukuki kama hiyo.

Kwa Tanzania kama ilivyo kwa nchi za wanadamu wengine wenye hulka fanani,usitegemee fadhila wala pongezi kutoka kwao hata kidogo.Ila ukweli ni kuwa:

- Mengi mazuri rais ameyafanya na wote ni mashahidi ila kwa sababu ya UCHAMA basi hakuna anayeona kitu chochote kimefanyika.

-Ni nani aliyeweka mwiko mkubwa huu wa vyama pinzani kutosifia utendaji wa rais hata kwa yale yanayolenga maslahi ya kizazi chetu na kijacho?.au chama tawala kutosifia upinzani hata pale wanapofanya mema yanayohusu maslahi mapana ya nchi hii?

Je huu uzalendo unaoimbwa kuchwa kutwa una maana gani ikiwa yale yanayoguza maslahi ya taifa yanabezwa na kutupwa kama vitu visivyofaa.Kwa hali hii napata kigugumizi ikiwa wale wale wanaoimba uzalendo ,hawayataki yahusuyo uzalendo .Je si unafiki huu?.

Basi nasema ikiwa uzalendo ndio nguzo ya maendeleo ya taifa letu, MH.MAGUFULI KAZA UZI HISTORIA ITAKUKUMBUKA.
Fact
 
Ni wazi kuwa hata ungefanya mema mangapi kwa wanadamu kamwe usitegemee kupata sifa,pongezi au kutiwa moyo na wote, NASEMA KAMWE.

Tumeshuhudia viongozi kama Gaddafi licha ya kuwapenda sana watu wake na kutumia rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi, lakini wapi mwisho wa siku alichukiwa hadi kuuwawa kinyama, LEO WANAJUTA na mifano mingine lukuki kama hiyo.

Kwa Tanzania kama ilivyo kwa nchi za wanadamu wengine wenye hulka fanani,usitegemee fadhila wala pongezi kutoka kwao hata kidogo.Ila ukweli ni kuwa:

- Mengi mazuri rais ameyafanya na wote ni mashahidi ila kwa sababu ya UCHAMA basi hakuna anayeona kitu chochote kimefanyika.

-Ni nani aliyeweka mwiko mkubwa huu wa vyama pinzani kutosifia utendaji wa rais hata kwa yale yanayolenga maslahi ya kizazi chetu na kijacho?.au chama tawala kutosifia upinzani hata pale wanapofanya mema yanayohusu maslahi mapana ya nchi hii?

Je huu uzalendo unaoimbwa kuchwa kutwa una maana gani ikiwa yale yanayoguza maslahi ya taifa yanabezwa na kutupwa kama vitu visivyofaa.Kwa hali hii napata kigugumizi ikiwa wale wale wanaoimba uzalendo ,hawayataki yahusuyo uzalendo .Je si unafiki huu?.

Basi nasema ikiwa uzalendo ndio nguzo ya maendeleo ya taifa letu, MH.MAGUFULI KAZA UZI HISTORIA ITAKUKUMBUKA.
Mshaurini tu Ujinga!
 
Ni wazi kuwa hata ungefanya mema mangapi kwa wanadamu kamwe usitegemee kupata sifa,pongezi au kutiwa moyo na wote, NASEMA KAMWE.

Tumeshuhudia viongozi kama Gaddafi licha ya kuwapenda sana watu wake na kutumia rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi, lakini wapi mwisho wa siku alichukiwa hadi kuuwawa kinyama, LEO WANAJUTA na mifano mingine lukuki kama hiyo.

Kwa Tanzania kama ilivyo kwa nchi za wanadamu wengine wenye hulka fanani,usitegemee fadhila wala pongezi kutoka kwao hata kidogo.Ila ukweli ni kuwa:

- Mengi mazuri rais ameyafanya na wote ni mashahidi ila kwa sababu ya UCHAMA basi hakuna anayeona kitu chochote kimefanyika.

-Ni nani aliyeweka mwiko mkubwa huu wa vyama pinzani kutosifia utendaji wa rais hata kwa yale yanayolenga maslahi ya kizazi chetu na kijacho?.au chama tawala kutosifia upinzani hata pale wanapofanya mema yanayohusu maslahi mapana ya nchi hii?

Je huu uzalendo unaoimbwa kuchwa kutwa una maana gani ikiwa yale yanayoguza maslahi ya taifa yanabezwa na kutupwa kama vitu visivyofaa.Kwa hali hii napata kigugumizi ikiwa wale wale wanaoimba uzalendo ,hawayataki yahusuyo uzalendo .Je si unafiki huu?.

Basi nasema ikiwa uzalendo ndio nguzo ya maendeleo ya taifa letu, MH.MAGUFULI KAZA UZI HISTORIA ITAKUKUMBUKA.
Hata Mobutu seseko historia inamkumbuka
 
historia hukumbuka hata mbwa na mashoga..
moja ya mashoga wanaokumbukwa na historia ni shoga wa adolf hitler !!
 
Ni wazi kuwa hata ungefanya mema mangapi kwa wanadamu kamwe usitegemee kupata sifa,pongezi au kutiwa moyo na wote, NASEMA KAMWE.

Tumeshuhudia viongozi kama Gaddafi licha ya kuwapenda sana watu wake na kutumia rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi, lakini wapi mwisho wa siku alichukiwa hadi kuuwawa kinyama, LEO WANAJUTA na mifano mingine lukuki kama hiyo.

Kwa Tanzania kama ilivyo kwa nchi za wanadamu wengine wenye hulka fanani,usitegemee fadhila wala pongezi kutoka kwao hata kidogo.Ila ukweli ni kuwa:

- Mengi mazuri rais ameyafanya na wote ni mashahidi ila kwa sababu ya UCHAMA basi hakuna anayeona kitu chochote kimefanyika.

-Ni nani aliyeweka mwiko mkubwa huu wa vyama pinzani kutosifia utendaji wa rais hata kwa yale yanayolenga maslahi ya kizazi chetu na kijacho?.au chama tawala kutosifia upinzani hata pale wanapofanya mema yanayohusu maslahi mapana ya nchi hii?

Je huu uzalendo unaoimbwa kuchwa kutwa una maana gani ikiwa yale yanayoguza maslahi ya taifa yanabezwa na kutupwa kama vitu visivyofaa.Kwa hali hii napata kigugumizi ikiwa wale wale wanaoimba uzalendo ,hawayataki yahusuyo uzalendo .Je si unafiki huu?.

Basi nasema ikiwa uzalendo ndio nguzo ya maendeleo ya taifa letu, MH.MAGUFULI KAZA UZI HISTORIA ITAKUKUMBUKA.
Usisahau watu ambao historia aita wasahau pia wape heshima zao na watakie dua njema Mungu awarehemu kama Pharao,Musolin,Hitler kabla yakuombea mwingine aweke historia .
 
Hizi emotional feeling will give us damn bad result,we need to think,hivi baada ya Dangote ni mwekezaji gani alieingia nchini ili kutumia gesi kuleta bidhaa za gesi,inabidi tujiulize ni nani anafaidika na kufungwa midomo kwa wapinzani au washindani wa siasa nchini,inakuaje vikao vya chama vifanyike ikulu,na pia tunaomba kujua kama kweli anapenda demokrasia kwanini anapenda kujiweka mbele kwa kila jambo linalofanyika nchini,ni kweli kuliibuka kelele tunahitaji mtu mfuatiliaji na sio mwenye roho mbaya,
Kuna wakati ilisemekana kuwa uchumi unashuka wakaja watetezi wake wakasema sio kweli lakini Mpango kasema uchumi unakua kwa 6.1 % badala ya 7.7 % na kwa sababu nchi hii watu wengi hawaoni kwa jicho la tatu huo utofauti ilitakiwa serikali iwajibike,sasa mtu anatupigia kelele uchumi unakua kumbe kazi yake ni kupeleka takwimu fake tume ya maadili ilihali anapima ni kiasi gani ameathili watu.
Hebu tuwe wawazi ni nani mwenye hekima anamsifu mkubwa huyu kama sio vimeo wa Lumumba kizazi kipya wasiojua hasara ya aina ya uongozi wa Magufuli!
Time is a great factor,numbers never lie.
Kusifu au kukosoa ni mtazamo wa mtu. Nakushangaa kama unalaumu emotional feelings wakati na wewe ukiwa humohumo ila kwa mtazamo tofauti! Huoni chochote chema alichokifanya Mheshimiwa Raisi ila mapungufu??? Utendee haki ubongo wako tafadhali.
 
Awe mzalendo namba moja azuie uhalifu na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na dola. historia inaweza kumkumbuka kwa mabaya.
Hakuna uhuru usiokuwa na mipaka,wala hakuna haki bira wajibu,km unataka haki zako ziheshimiwe timiza wajibu wako kuziheshimu sheria za nchi
 
Ni wazi kuwa hata ungefanya mema mangapi kwa wanadamu kamwe usitegemee kupata sifa,pongezi au kutiwa moyo na wote, NASEMA KAMWE.

Tumeshuhudia viongozi kama Gaddafi licha ya kuwapenda sana watu wake na kutumia rasilimali za nchi kwa manufaa ya wananchi, lakini wapi mwisho wa siku alichukiwa hadi kuuwawa kinyama, LEO WANAJUTA na mifano mingine lukuki kama hiyo.

Kwa Tanzania kama ilivyo kwa nchi za wanadamu wengine wenye hulka fanani,usitegemee fadhila wala pongezi kutoka kwao hata kidogo.Ila ukweli ni kuwa:

- Mengi mazuri rais ameyafanya na wote ni mashahidi ila kwa sababu ya UCHAMA basi hakuna anayeona kitu chochote kimefanyika.

-Ni nani aliyeweka mwiko mkubwa huu wa vyama pinzani kutosifia utendaji wa rais hata kwa yale yanayolenga maslahi ya kizazi chetu na kijacho?.au chama tawala kutosifia upinzani hata pale wanapofanya mema yanayohusu maslahi mapana ya nchi hii?

Je huu uzalendo unaoimbwa kuchwa kutwa una maana gani ikiwa yale yanayoguza maslahi ya taifa yanabezwa na kutupwa kama vitu visivyofaa.Kwa hali hii napata kigugumizi ikiwa wale wale wanaoimba uzalendo ,hawayataki yahusuyo uzalendo .Je si unafiki huu?.

Basi nasema ikiwa uzalendo ndio nguzo ya maendeleo ya taifa letu, MH.MAGUFULI KAZA UZI HISTORIA ITAKUKUMBUKA.
Uzi unatakiwa ukazwe kwa viwango kwa maana ya kufuata taratibu na sheria ambapo kwa kesi yake ni kuzingatia katiba aliyoapakuilinda vinginevyo kukaza uzi tu mwishowe uzi utakatika. Hakuna mtu anapinga mema afanyayo lakini hiyo siyo tiketi ya kupuuzia kasoro anazozifanya. Lakini pia si vyema kulazimisha watu wakusifu kwa mema na kukubaliana na wewe kwa kila kitu. Unapokosea unakiri na KUTUBU!
 
Back
Top Bottom