johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Mkuu hata Singasinga humuoni?!!wahutumiwa wa ufisadi waliopo lupango ni akina nani??
Mkuu hata Singasinga humuoni?!!wahutumiwa wa ufisadi waliopo lupango ni akina nani??
Chief Accountant wa Takukuru!!........... imebidi nikupe mfano wa jikoni ili uelewe hii vita si lelemama!Tupe mfano wa fisadi mmoja tu ambaye yuko lupango?
Tungekuwa na katiba iliyo strong huyu Magufuli leo hii angekuwa lupango ananyea ndoo kwa ufisadi wa kivuko cha Bagamoyo pamoja na ufisadi wa nyumbani za serikali alizouza na kuwagawia awala na ndg zake.Wakati fulani tunaweza kusema tatizo la ufisadi na uporaji wa rasilimali zetu linatokana na mianya ya kikatiba na kisheria, hivyo tunahitaji Katiba mpya. Lakini ukitafakari kwa makini utagundua mbona sasa mafisadi na wabadhirifu wanakiona cha " mtema kuni" na Katiba ni ile ile, kumbe tatizo halikuwa Katiba bali aina ya uongozi. Basi mwaka huu 2018 tuunganishe nguvu zetu kumsaidia Rais Magufuli kuyatokomeza mafisadi na majizi yote na kuifanya ile hadithi ya shamba la bibi kubakia historia. Najua watuhumiwa wengi wa ufisadi wako lupango kwa sasa, lakini kuna wachache wamefichamia pahala fulani na wanatetewa kweli, basi watanzania kwa umoja wetu hima tuushinde ufisadi. Nawasilisha!
Yaani waliotoa wakampa zile hela za kifisadi wako huru! Lakini aliyepokea hizo hela ndio yuko lupango! Hii ni kichekeshoMkuu hata Singasinga humuoni?!!
Singasinga kiini macho tu huyo. Hana kesi. Kwani alivunja benki ipi? Waliotetea huo upuuzi kudai zile ni hela za IPTL mbona hawajakamatwa? Aliyeruhusu hizo hela zichotwe Benki kuu mbona hajakamatwa? It is just a matter of time Ruge na Singa watatoka tu maana hawana kesi. Ili kesi iwe binding lazima uianze kwenye mzizi sio matawi. Hawa wawili ni matawi tu. Kuna watu walisuka hilo deal na kuruhusu hizo pesa zitoke. Wako wapi?Mkuu hata Singasinga humuoni?!!
Hapa ndipo pa kujiuliza wako wapi hawa wenye jukumu la Authorisation juu ya malipo hayo:Singasinga kiini macho tu huyo. Hana kesi. Kwani alivunja benki ipi? Waliotetea huo upuuzi kudai zile ni hela za IPTL mbona hawajakamatwa? Aliyeruhusu hizo hela zichotwe Benki kuu mbona hajakamatwa? It is just a matter of time Ruge na Singa watatoka tu maana hawana kesi. Ili kesi iwe binding lazima uianze kwenye mzizi sio matawi. Hawa wawili ni matawi tu. Kuna watu walisuka hilo deal na kuruhusu hizo pesa zitoke. Wako wapi?
Ndiyo maana kila kesi ikitajwa prosecutor anadai uchunguzi haujakamilika. Mara ya mwisho ruge aliwaambiwa atawasaidia kuwambia nani alichota hizo pesa. Hawa wawili ni mbuzi tu wa kafara.Hapa ndipo pa kujiuliza wako wapi hawa wenye jukumu la Authorisation juu ya malipo hayo:
Gavanna Wa Benki kuu.
Waziri wa Fedha
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
Waziri wa Nishati na Madini
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini
Paymaster General
Rais wa nchi (ili mabilioni hayo yatoke lazima ruhusa ya rais itoke)
Ndiyo mkuu nasali na kutibu!Wewe unasali na kutubu?. Au ndio ule ule ujinga wa halaiki?
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.