THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,042
- 4,645
Namba za simu mkuu umesahau kuweka.
Tunakumbushana tu
Tunakumbushana tu
Maneno ya Kakobe yapi aliyoyasema yanaweza kuliingiza taifa kwenye machafuko?Anapopatia tuseme na atakapokosea pia tuseme!! kuna njia nzuri sana za kumkosoa kiongozi yaani kutumia maneno ya hekima na kuepuka maneno ambayo yanaweza kuliingiza taifa ktk machafuko kama vile maneno ya kakobe
Ndugu, serikali hii haijawahi kuua na wala haitafanya mauaji yoyote kwa watu wake ambao ni raia wema na wanaoitakia mema nchi yao. Sidhani kama unaweza kuwa na ushahidi wowote ambao utaonyesha Serikali hii ilifanya huo uuaji unao usema hapo. Ndugu usilazimishe nyeupe kuwa nyeusi, sijajua wewe unayetaka ipaka tope Serikali hii una lengo gani....... Kwa sababu kila kitu kiko bayana na yawezekana hata ww ulizisema tawala zilizopita kwa kutaka yafanywe haya yanayofanywa na JPM sasa yanafanywa bado unapinga tukueleweje?Kama unasapoti yote yanayofanywa na Serikali hii huenda wewe ukawa muuaji
Wenzako huwa wanaacha namba zao za simu.Habari zenu wana jf
Kwanza nitoe salam za pongezi kwenu nyote kwa kusherekea sikukuu ya Christmas na pia pole kwa wote walioshindwa kusherekea kutokana na sababu mbalimbali kama vile ugonjwa, safari, vyuma kubana, n.k.
Kuanzia sasa nimeona itakuwa ni busara zaidi kusapoti kile kinachofanywa na mh. Rais Magufuli kutokana na kutenda vile nchi ilivokuwa ikitakiwa kwenda, hakika kila sehemu imekuwa ikienda vile inavyotakiwa kwenda. Pongezi za dhati zimfikie mh. Rais popote alipo mimi nipo naye na nitafanya kazi ili nisimuangushe rais wangu. Sijaona angle ambayo ninaweza mpinga kwa nia njema mh. Rais, na kwa aliyoyafanya hadi sasa inatakiwa kila mwananchi aseme kwa sauti moja tena iliyo kuu kuwa RAIS WANGU NAKUUNGA MKONO PIGA KAZI.
mimi nipo na JPM ww je?......
Achana na akili ya kufikri kwa ushabiki, Kakobe kosa lake liko kwenye maneno gani?Anapopatia tuseme na atakapokosea pia tuseme!! kuna njia nzuri sana za kumkosoa kiongozi yaani kutumia maneno ya hekima na kuepuka maneno ambayo yanaweza kuliingiza taifa ktk machafuko kama vile maneno ya kakobe
Upo vizuriNamba za simu mkuu umesahau kuweka.
Tunakumbushana tu
Mkuu nikusihi na tena wala usjidanganye kuwa yupo atakaye tokea akaleta hoja eti ya kupnga kile kinachofnywa na rais wananchi wenye akiri timamu hatutomwelewa na zaidi tutampinga yeye....... Taifa letu lazima lisonge mbele kwa namna yoyote ile.... Bado tupo nyuma sana na tukisema tuwasikilize nyny wapangaj na wapiga domo tutabaki nyuma mda wote....Umesahau kuweka namba ya simu
Habari zenu wana jf
Kwanza nitoe salam za pongezi kwenu nyote kwa kusherekea sikukuu ya Christmas na pia pole kwa wote walioshindwa kusherekea kutokana na sababu mbalimbali kama vile ugonjwa, safari, vyuma kubana, n.k.
Kuanzia sasa nimeona itakuwa ni busara zaidi kusapoti kile kinachofanywa na mh. Rais Magufuli kutokana na kutenda vile nchi ilivokuwa ikitakiwa kwenda, hakika kila sehemu imekuwa ikienda vile inavyotakiwa kwenda. Pongezi za dhati zimfikie mh. Rais popote alipo mimi nipo naye na nitafanya kazi ili nisimuangushe rais wangu. Sijaona angle ambayo ninaweza mpinga kwa nia njema mh. Rais, na kwa aliyoyafanya hadi sasa inatakiwa kila mwananchi aseme kwa sauti moja tena iliyo kuu kuwa RAIS WANGU NAKUUNGA MKONO PIGA KAZI.
mimi nipo na JPM ww je?......
Hata kama ungekuwa haumsaport ungelazimishwa kumsaport.Habari zenu wana jf
Kwanza nitoe salam za pongezi kwenu nyote kwa kusherekea sikukuu ya Christmas na pia pole kwa wote walioshindwa kusherekea kutokana na sababu mbalimbali kama vile ugonjwa, safari, vyuma kubana, n.k.
Kuanzia sasa nimeona itakuwa ni busara zaidi kusapoti kile kinachofanywa na mh. Rais Magufuli kutokana na kutenda vile nchi ilivokuwa ikitakiwa kwenda, hakika kila sehemu imekuwa ikienda vile inavyotakiwa kwenda. Pongezi za dhati zimfikie mh. Rais popote alipo mimi nipo naye na nitafanya kazi ili nisimuangushe rais wangu. Sijaona angle ambayo ninaweza mpinga kwa nia njema mh. Rais, na kwa aliyoyafanya hadi sasa inatakiwa kila mwananchi aseme kwa sauti moja tena iliyo kuu kuwa RAIS WANGU NAKUUNGA MKONO PIGA KAZI.
mimi nipo na JPM ww je?......
Mkuu kwenye post nliyoiweka hapo juu hakuna sehemu nlipozungumzia suala la mimi kupata au kutopata kazi, nashindwa kukuelewa kuwa na ww unalengo gani hasa la kuleta hiyo hoja au unataka kututoa kwenye maada...?, kikubwa nikukaribishe uzalendoni mkuu... Taifa linakuhitaji ili kusonga mbele.Ulishapata kazi kwanza? Maana kuna Uzi wako wa juzijuzi ulikuwa ukitafuta kazi. Au umeajiriwa kitengo cha Lumumba? Maana hata Troll JF alianzaga kuhangaika kutafuta kazi humu miaka ya 2015 baadae aliibukia Lumumba baada ya kazi kupiga Chenga
Kwanza heshima yako bujibuji, lakini nikuombe angalau kwa Serikali hii toa msimamo wako na itapendeza kama utaiunga mkono kwa kipndi chote itakapokuwa madarakani, lakin baada ya hapo unaweza rudi kuwa neutral. Hii ni kwa sababu Serikali inakuhitaji kwenye kuharakisha maendeleo ukiwa hivyo neutral unaweza ukawa kikwazo.. Hata mungu anakataza huo uvuguvugu bora uwe baridi au moto.mi ntaendelea kuwa neutral, akikosea tutamsema, akipatia tutampongeza