Macho ya Wanaume

Macho ya Wanaume

Mkuu hamuoni hata aibu daah.
Aibu ya nn ujue hujazoea tu ukizoea wewe mwenyewe utakuwa unamstua mshkaji wako aangalie vifungashio huku mnafurahi pamoja maana unajua tu ni fahari ya macho hawezi fanya kitu
 
Punguzeni basi aisee. Au na sie ambao hatuna mizigo muwe mnatuangalia basi angalau na sie tufarijike.
Ujue tunatamanigi kuwaangalia sema nyie mnakua mko fasta sana kwenye kutembea, alafu mnakutaga mko na wanaowamiliki, kiukweli nundu nyingi unakutaga ziko zenyewe alafu ziko slow sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom