Macho ya Wanaume

Macho ya Wanaume

Aisee kaka masai sikuwezi. Yaani hivyo ukisafisha macho moyo wako unakuwa burudani kabisa.

Ila vibaya hivyo mjue.
Tuliambiwa enendeni mkavitawale vyote..sasa utavitawalaje kama hauvijui...

Emmy siku hizi na nyie naona hampo nyuma kugeuka?
 
Tuliambiwa enendeni mkavitawale vyote..sasa utavitawalaje kama hauvijui...

Emmy siku hizi na nyie naona hampo nyuma kugeuka?
Aisee. Kaka masai saa nyingine sinaga jinsi tena ikibidi kama hujageuka naweza kwambia geuka kule uone lol.

Unadhani tutafanyaje sasa wakati nyie ndio ishakuwa tabia yenu tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom