Macho ya Wanaume

Macho ya Wanaume

Hivyo mtu akiwa peke yake kuosha macho ruksa. Ila kuna wengine hata hawawi peke yao ila lazima wageuke wasome matangazo. Lol
Hayo matangazo ya kuwekwa kwenye miti bora yapigwe ban, yabaki ya mtindo wa hewani kama Jaza Ujazwe
 
Aisee. Kaka masai saa nyingine sinaga jinsi tena ikibidi kama hujageuka naweza kwambia geuka kule uone lol.

Unadhani tutafanyaje sasa wakati nyie ndio ishakuwa tabia yenu tena.
 
Hahaa. Ndio ipo tena unadhani wafanyeje na haifichiki.
Naomba nikusahihishe kdgo.
Rudia kusema unadhani tufanyeje na haifichiki ulivyosema sivyo.

Eti unajitoa

msambwanda unavutia ivi unajua inafikaga wakati tunaanza kutamba kwa kumiliki mtu mwenye kichuguu?
 
Aisee kaka masai sikuwezi. Yaani hivyo ukisafisha macho moyo wako unakuwa burudani kabisa.

Ila vibaya hivyo mjue.
Hatushafishag macho tukaishia hapo, macho yetu n kama X ray yanaona mpk ndan, inafanywa tathim fupi nifuate au niache?? jibu likipatikana linafanyiwa kazi
 
Usiogope bhana ukiona tunaangalia sana unakuta tunajiuliza "hivi njia ya kwenda Mbinguni si nyembamba sasa yeye na hili zigo lote atapitaje?" Tunaishia kutikisa kichwa na kuendelea na safari
Hahaaa. Nimecheka aisee. Muwe mnaangalia basi hadi wale wenzangu na mie kwa kuwawazia shida watakayoipata huko waendako kwa wembamba wao. Teh teh.
 
Wengi watadhani jamaaa anaaangalia misabwandaaa kumbe ni kawaida yetu y kusomaga matangazo
 
Hahaaa. Nimecheka aisee. Muwe mnaangalia basi hadi wale wenzangu na mie kwa kuwawazia shida watakayoipata huko waendako kwa wembamba wao. Teh teh.

Mbona tunaangaliga wote wote sema umakini unakua zaidi kwa wenye zigo sababu hata wawe safi bado kuingia Mbinguni bado itakua shida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom