Macho ya Wanaume

Macho ya Wanaume

Mkuu utakua mzoefu wa shingo feni si unacheki zigo la upande mmoja lilivyofurukuta.

07ab82671d9f833144c4982bbc86112b.jpg
ni vizuri kwa afya ya macho.
 
Ujue tunatamanigi kuwaangalia sema nyie mnakua mko fasta sana kwenye kutembea, alafu mnakutaga mko na wanaowamiliki, kiukweli nundu nyingi unakutaga ziko zenyewe alafu ziko slow sana.

Hahaaa. Hivyo tupunguze haraka ili muwe mnatutizama na sie. Ila hamjui mkuu hizo unazosema ziko slow zinakuwa slow ili kuwahadaa tu.
 
Mimi mama Wegesa hanikamati ki-zembe hivyo aisee! Macho yangu huwa nageuza ki-shushushu ile mbaya. Ukinishtukia nakupa zawadi. That's how the big baba does!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom