Mabalozi wapuuza onyo la Balozi Mulamula kutohudhuria kesi ya Mbowe

Pale wanapogundua kua you are weak, na huwezi wafanya chochote...
 
Pale wanapogundua kua you are weak, na huwezi wafanya chochote...
Hiyo ndo kazi mojawapo kuu ya ujasusi.

Ni kugundua mfumo wa siasa na wa kijeshi wa nchi mwenyeji.

Mwisho, kugundua aina ya utawala, nguvu na udhaifu.

Ukikalimisha wapeleka report kwa Cable makao makuu na kazi yaanza.

Hayo mambo sie bado sana ni nchi kama Russia na China wakikugundua ubalozi wako wapewa masaa 24 au 48 uwe umeondoka.
 

In the abundance of water a fool is thirsty....naona jamaa wameshalewa na mali wanazozoa Africa, wachukue na jua, mwezi, mvua na nyota basi

Mkuu wacha wauze nchi mwishoni watakuja kugundua hawawezi kula pesa

A good man is never honored in his own country..REST IN PEACE JPM
 
Mulamula Yuko weak Hana ubavu wa kufokea mabalozi kuzingatia mkataba wa Vienna Convention

Kumtoa Profesa Kabudi mama Samia alichemka
Mulamula ana uraia wa Marekani ndio maana ambassadors hawamuogopi

Kiukweli huwa binafsi sipendi mtu aged kupewa madaraka kana kwamba hakuna wengine....eti Kisngizio Uzoefu....
Uzoefu fani??? Alikuwa anafanya Kazi Peke yake?
Mtu yupo Over 60! Eti mzoefu acheni hizo kubania watu nafasi!
Yaani Mambo Mengine yanaudhi basi tuu!
Eti hakuna wazoefu yeye ndio alikuwa a-z.
Eti arudishe uhusiano wa nje

Mambo mengine bana,Au kumpa ulaji tuu!
 
Mhhh what a comment but very many thanks for such and your comment has been partly understood so now what do you do on the issue of foreigners or ambassadors attending the court room proceedings?,,, When you see them kind of things happenings in your country you should know that there is no government in your country ,,,there is no president or whatsoever rule in place and when it comes to the so called mchango wa hiari or "tozo" she ,the president got it wrong but she has purposely done it to impress wawekezaji by not taxing them reasonably,, Mungu atamlaani kwa kuwatoza kodi masikini na kwa jinsi hiyo kunahitajika mapambano ya ndani kwa ndani CCM,,, huyu aondoke lakini kwa kuwa ni mbaya kwa masikini atadumu
 
Wew Kibwetele unafikiri kwa nini hawahudhurii kesi ya Kihiyo mwenzako Sabaya na wameamua kuhudhuria hii kesi ya Mbowe?Mtu akiwa Mburula kama wew ndio utaandika uharo kama ulio andika hapo. Hivi unafikiria hizo nchi unazizidi wew kwa teknolojia gani ya upelelezi na ujasusi?
 
It is difficult, as a country we are in difficult position as we don't know who really run the country at the moment.

I certainly believe the deep state is currently stir the country towards 2025 elections.

These current issues are closely monitored by them.
 
Wajinga wengi huandika kama uloandika hapo juu.

Tulia chini na jadili kwa kutumia akili.
 
Wajinga wengi huandika kama uloandika hapo juu.

Tulia chini na jadili kwa kutumia akili.
Ficha ujinga wako na wew kibwetele Wa pili, kada mwenzenu Masaburi alisema ninyi wanachama wenzake mnafikiri kwa kutumia makalio huko Lumumba. Na uchunguzi makini Wa kisayansi Wa shirika Huru la Twaweza ulibainisha kuwa wanachama wengi wa Lumumba buku7 ni vihiyo Wa kutupwa au ukipenda tuwaite mamburula.
 
Sikiliza wewe kibwetere na mburura usieleweka, mimi si mwanachama wa CCM.

Na wala si buku 7 na pia si mwanasiasa.

Mimi ni mtanzania huru nitoae maoni kwa kutumia uhuru wangu wa kikatiba.

Pia natumia elimu yangu , ujuzi na maarifa niwapo hapa JF.
 
Sikiliza wewe kibwetere na mburura usieleweka, mimi si mwanachama wa CCM.

Na wala si buku 7 na pia si mwanasiasa.

Mimi ni mtanzania huru nitoae maoni kwa kutumia uhuru wangu wa kikatiba.

Pia natumia elimu yangu , ujuzi na maarifa niwapo hapa JF.
Hiyo elimu ulionayo ni ya vihiyo huwezi MPA MTU mwenye Akili wape Buku7 wenzio wew kibwetele mmoja.Hapa sisi hatuna mda Wa kuchekea upuuzi Wa watu wenye fikra mfu kama hizo.
 
Hiyo elimu ulionayo ni ya vihiyo huwezi MPA MTU mwenye Akili wape Buku7 wenzio wew kibwetele mmoja.Hapa sisi hatuna mda Wa kuchekea upuuzi Wa watu wenye fikra mfu kama hizo.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…