Anaye Tia aibu Ni aliyemshtaki Mbowe kwa kosa asilolitenda ama ni kinamama wanaodai haki yao?Halafu hao kina mama wanao garagara nje ya mahakama kweli hiyo sio vurugu?
je inaruhusiwa kufanya vitendo vya kugaragara na kupiga mayoe mahakamani?
Polisi lindeni hadhi na usalama wa mahakama usichezewe na hao wahuni.