Maandamano ya wanahabari Sept 11, 2012

Walichokionyesha Leo Wanahabari wetu katika Viwanja vya Jangwani kukataa kwao kwa Kuwepo Waziri Muhusika kupokea Hoja zao ni Udhaifu, Ujinga na Akili za Kitoto, Inaelekea wamefanya Maandamano hayo bila kujua Malengo na Makusudi ya kweli ya kufanya hivyo. Kwa hiyo inayakinisha kuwa wengi wao walikuwa hapo walikuwa Bendera fuata Upe[o!

Shuka sukari kwamba then sema point yako.What is your point ?Maana unaongea kama una kinyesi mdomoni.You are an agent of them ila si hao walio fikwa na tukio .What did you expect Nchimbi to be respected for ? Alikuwa na kitu gani special ?"Nani kakamatwa so far ? Kamuhanda yuko wapi sasa na Mwangosi yuko wapi ? You are full of shit in your heart and head .MODs mnisamehe but this guy is just a waste can't even be used as a fertilizer
 
Naunga mkono maandamano, kama haki ya msingi ya kila raia kutoa maoni yake. Siungi mkono kitendo cha kuzomea waziri, kwa kuwa tendo la mauaji, si dhamira ya serikali wala chama chochote cha siasa, bali ni utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja na wala si jeshi la polisi.

Utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja? Huyo mmoja kwa nini aendelee kuwepo kazini?. Hakuna wengine wenye utendaji kazi mzuri wakachukua nafasi yake?
 
Naunga mkono maandamano, kama haki ya msingi ya kila raia kutoa maoni yake. Siungi mkono kitendo cha kuzomea waziri, kwa kuwa tendo la mauaji, si dhamira ya serikali wala chama chochote cha siasa, bali ni utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja na wala si jeshi la polisi.

huyo mtu mmoja mbona hakuchukuliwa hatua baada ya kuua? pia tume sijui kamati ni ya nini? viongozi wako wanasema mwandishi amepigwa na kitu kizito.
 
Nmefurahishwa kwa namna walivyomvurumisha Nchimbi kwa kweli kwa sababu sio mwalikwa hata kidogo
 
Naunga mkono maandamano, kama haki ya msingi ya kila raia kutoa maoni yake. Siungi mkono kitendo cha kuzomea waziri, kwa kuwa tendo la mauaji, si dhamira ya serikali wala chama chochote cha siasa, bali ni utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja na wala si jeshi la polisi.

Utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja? Huyo mmoja kwa nini aendelee kuwepo kazini?. Hakuna wengine wenye utendaji kazi mzuri wakachukua nafasi yake?
 
hapa nilipo matangazo yote yamekata startime hainyonyeshi channel hata moja sijui wenzangu vp, imekata wakati Mwi. Lwaitama alikuwa anaongea
 
Serikali ya CCM ina mgogoro na madaktari, mgogoro na walimu na sasa imejinyakulia mgogoro mwingine na waandishi wa habari! Wale ma-consultants wa CCM wameenda wapi? au ndio re-branding yenyewe?

Hapo kwenye red - sio hao tu INA MGOGORO na Wanafunzi wanaokaa chini na kutumia mapaja yao kuandikia kama meza; ina mgogoro na Wagonjwa wote mahospitalini wanaolala chini mawodini - Watoto wadogo; Wamama wajawazito na wengineo; ina mgogoro na Watanzania wanaotembea maili nyingi kutafuta maji safi ya kunywa; ina mgogoro na wafungwa waliofungwa magerezeani na kesi kucheleweshwa kwa uzembe; INA MGOGORO NA WATANZANIA WOTE WASIO MAFISADI - WAKIONA JASHO LAO LINALIWA BILA HURUMA - MAHELA YAKILIMBIKIZWA KWENYE MABENKI USWIZI ...........................

Ila WENGI wanashindwa pa kusemea .............na SASA HATA WAANDISHI WANAOJARIBU KUSEMA WANAFUNGIWA

Mungu TUTETEE WATANZANIA - WAKATI UMEFIKA - AMEN:painkiller:
 
Hongereni sana ila angalieni jamaa wapo mbele wanawasubiria. Mtakula kichapo hadi mkome ubishi.

Huyu "Radhia Sweety" ameshaanza kuichanganya jamii na taarabu zake, eti mtakoma ubishi! kweli ni THINKER HUYU? watu 2napeana habari za maandamano ya waandihi yeye ana-discourage
 
"ukiona waandishi wanauliwa na askari, basi ujue kuwa askari hawataki mtu wa kushuhudia na kuripoti mauaji ya raiya yanayofanywa na askari kwa maagizo ya serikali". by Dr. Azavaeli Lwaitama.
 
Waziri aliyejiita mzuri kazomewa!!!??? Hata hivyo 2015 waandishi hawahawa ndo watakuwa wa kwanza kumkampenia katika mbio zake za kuusaka urais!
 
Back
Top Bottom