mimi sikujua kama kraudz ina waandishi wa habari maana kuripoti matukio kama ya fiesta na khanga party taaluma yake inakuwa tofauti kidogoHiyo radio nayo inabidi wanaharakaki wote tuanze kuisusia, kwani radio hiyo na TBC, ni kama mapacha, vyombo hivyo vinaendeshwa kwa propaganda, kwa lengo la kuibeba CCM!
Nashangaa hii habari kwenye Michuzi Blog hamna wakati inamuhusu moja kwa moja........
Acha vitisho hapigwi mtu...Hongereni sana ila angalieni jamaa wapo mbele wanawasubiria. Mtakula kichapo hadi mkome ubishi.
Vp Waandishi wa habari wa Uhuru na Mzalendo wamehudhuria?
Kama ni uzembe wa mtu mmoja tu na siyo taasisi wala serikali, kwanini asiwajibishwe?. na wanalindwa na nani kufanya uovu wao?.Naunga mkono maandamano, kama haki ya msingi ya kila raia kutoa maoni yake. Siungi mkono kitendo cha kuzomea waziri, kwa kuwa tendo la mauaji, si dhamira ya serikali wala chama chochote cha siasa, bali ni utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja na wala si jeshi la polisi.
mimi sikujua kama kraudz ina waandishi wa habari maana kuripoti matukio kama ya fiesta na khanga party taaluma yake inakuwa tofauti kidogo
Naunga mkono maandamano, kama haki ya msingi ya kila raia kutoa maoni yake. Siungi mkono kitendo cha kuzomea waziri, kwa kuwa tendo la mauaji, si dhamira ya serikali wala chama chochote cha siasa, bali ni utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja na wala si jeshi la polisi.
Hata hujielewi!Walichokionyesha Leo Wanahabari wetu katika Viwanja vya Jangwani kukataa kwao kwa Kuwepo Waziri Muhusika kupokea Hoja zao ni Udhaifu, Ujinga na Akili za Kitoto, Inaelekea wamefanya Maandamano hayo bila kujua Malengo na Makusudi ya kweli ya kufanya hivyo. Kwa hiyo inayakinisha kuwa wengi wao walikuwa hapo walikuwa Bendera fuata Upe[o!
Ni kweli lakini utakubaliana na mimi kuwa miaka kadhaa iliyopita hukuwa na mawazo kama uliyonayo sasa! hivyo basi nao watafika kipindi wataelewa somo!. Kwakuwa kayumba zimetapakaa nchi nzima, waelewa nao watatapakaa nchi nzimaTatizo madhara ya maandamano yanagusa wachache, watz wengi wanayaona/chukulia kama maigizo flani ya ucheshi..