Huyu Nchimbi anaongea nini sasa?
Eti anabwabwaja ya kwmb maisha ya mtanzania inaheshimika!
Jamani maisha yetu yanaheshimika jamani??
Hiyo radio nayo inabidi wanaharakaki wote tuanze kuisusia, kwani radio hiyo na TBC, ni kama mapacha, vyombo hivyo vinaendeshwa kwa propaganda, kwa lengo la kuibeba CCM!Kwa mujibu wa Clouds FM jana ni kuwa waandishi wa habari wamezuiwa kuhitimisha maandamano yao viwanja vya Mnazi Mmoja kwa kuwa Halmashauri ya Ilala watakuwa wanafanya shughuli zao hapo!
Hii ndiyo Bongo bwana kuhakikisha kuwa maandamano haya yanadhoofishwa!
je, waandishi wa TBCcm, Habari leo, Uhuru na Jambo leo wapo??du, hapo c waziri amekataliwa ni serikali, kwa kweli aibu yao, ila waandishi waangaliane maana wamesema yalitakiwa yapokelewe na jukwaa la wahariri, wanashangaa kukumta waziri wa mambo ya ndani, inaonekana wao wenyewe bado hawana umoja, kwani walikuwa hawajui waziri yupo? Na kwann mikoa mingne wamezuiliwa?wkt tamko lilitolewa.