Naunga mkono maandamano, kama haki ya msingi ya kila raia kutoa maoni yake. Siungi mkono kitendo cha kuzomea waziri, kwa kuwa tendo la mauaji, si dhamira ya serikali wala chama chochote cha siasa, bali ni utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja na wala si jeshi la polisi.
huyu bwana ana kashfa ya kujiita docta wakati hakuwa na phd
ndio ameisomea mzumbe sijui kama keshapata
mtu mwenye kashfa kama hizi za wizi wa elimu atawezaje kuongoza waziri nyeti kama hii ya mambo ya ndani?
hapo ndipo ninapohoji integrity ya JK kumchagua mtu kama huyu
Bora arudi kwenye vazi la taifa au apewe ukurugenzi wa TOT.
hajajua nguvu ya kalamu ya mwaandishi wa habari
Nchimbi haonekani sana kisiasa, angeenda JK wangempopoa na usalama wa Taifa wanajua hilo ndio maana ni ngumu kumpeleka sehemu kama hizo. Kama haamini kwamba inaweza kutokea ashawishiwe ajaribu wakati bado mambo ya moto.ninaamini kabisa hata angeenda kiongozi wa nchi yetu watu wangezomea tu
Nimefikiria sana, nimetafakari sana, kwa heshima ya Serikali yangu, Raisi wangu, Familia yangu na wananchi wa jimbo langu, kwa kitendo hiki cha kuzomewa hadharani kwani sijawahi kuzomewa hata siku moja nimeamua kuachia ngazi, kama suala lenyewe ni uwaziri sitaki tena kwani ni fedheha kubwa sana nimepata kwa kuzomewa huku na nafikiria kuchukua hatua nyingine ya kujivua ubunge ili nisionekane tena kwenye majukwaa ya siasa. ni mimi Waziri niliezomewa
Raisi Jakaya Khalfani Mrisho Kikwete; mauaji mengi (polisi kuua raia engi na kuua mwandisi mmoja wa habari) yametokea katika kipindi chake. Raisi aliyefanaya cabinet reshuffle mara nyingi zaidi kuliko raisi mwingine yeyote baada ya JK wa ukweli (Mwalimu JK Nyerere) ambaye alikaa madarakani kwa muda mrefu zaidi. Raisi wetu anayependwa na wanafiki wa CCM, ambaye hata sasa hajasema lolote kuhusiana na Kifo cha kihistoria cha Mwangosi, ndiye amaye amelifikisha taifa hapa, hasa kwa kushindwa kuwaaadibisha watu aliowateua yeye mwenyewe. Huyu naye apaswa kuondoka sasa na chama chake 2015.niliangalia habari juzi jumapili E-TV sikuamini macho yango lakini nimesikia habari hii ikirudiwa leo asubuhi na BBC. Kwa sasa nchi za Kusini na hasa South Africa zimeiweka Tanzania katika nchi za kigaidi na yale mashambulio waliokuwa wakifanyiwa wageni hapo awali sasa hivi yanaelekezwa kwa Waethiopia, Somalia na Watanzania ...amini usiami ndipo hapo tulipofikia!
Sasa huyo anayesema tunaheshimika anayajua hayo, na je, anajua tutakuwa tukidharaulika kiasi gani miaka miwili ijayo!!??
Ni nani ametufikisha hapa!?
Hicho haswa ndio ninachokishauri mimi maana tukifika 2015 michezo mibaya ni mingi sana na pesa itapotea nyingi sana.Dalili zinazidi kuwa wazi kuwa 2015 inaweza isifike CCM ikiwa madarakani...
Raisi Jakaya Khalfani Mrisho Kikwete; mauaji mengi (polisi kuua raia engi na kuua mwandisi mmoja wa habari) yametokea katika kipindi chake. Raisi aliyefanaya cabinet reshuffle mara nyingi zaidi kuliko raisi mwingine yeyote baada ya JK wa ukweli (Mwalimu JK Nyerere) ambaye alikaa madarakani kwa muda mrefu zaidi. Raisi wetu anayependwa na wanafiki wa CCM, ambaye hata sasa hajasema lolote kuhusiana na Kifo cha kihistoria cha Mwangosi, ndiye amaye amelifikisha taifa hapa, hasa kwa kushindwa kuwaaadibisha watu aliowateua yeye mwenyewe. Huyu naye apaswa kuondoka sasa na chama chake 2015.
Viva M4C