police na na waandishi wa habari tanzania ni kitu kimoja policcm wauwa wandishi wanaficha mauwaji yanayofanywa ovyo na policcm
police wameuwa muembe chai wandishi kimyaaaa
wakauwa zanzibar wandishi kimyaaaa
wakauwa arusha waandishi kimyaaaa
wakauwa morogoro juzi tu hapa waandishi kimyaa
badala yake utakuta headlines za ajabu kweli
MAUWAJI TENA VURUGU ZA CHADEMA. VURUGU ZA UAMSHO .ZANZIBAR WACHOMA MAKANISA.....yaaani hawa waandishi wa tz wanautaalamu wa kupotosha ukweli huta ona VURUGU ZA POLICE ZAUWA katu.....nasikitika kusema wandishi wa habari ndio ngao kuu ya uovu wa serikali ya ccm na taasisi zake ,kwa vyovyote vile mauwaji hayakubaliki awe muandishi raiya,chadema cuf,ccm ,muislamu mkiristo hayakubaliki.
WANDISHI WA HABARI TANZANIA SIMAMENI NA WANYONGE WATANZANIA WANATESEKA KWA UVIVU WA KALAMU ZENU KUFICHUA UOVU ACHENI UNAFIKI