Maandamano ya wanahabari Sept 11, 2012

Maandamano ya wanahabari Sept 11, 2012

jamani serikali ya ccm inajaribu kujikosha kupitia nchimbi lakini waandishi wamemfukuza.
Ni aibu kwa kweli.
 
Mabango yaanasema
"camera ya mwangosi ipo wapi"
"kamuhanda ni muuaji, kaua songea kaua iringa"
 
Waziri wa habari amefika Jangwani kuongea na waandishi wa habari walioandamana kwa ajili ya kifo cha Mwangosi lakini amezomewa vibaya, na walipoulizwa waandishi ni wangapi wanataka awahutubie wote wamemkataa, ikabidi aondoke kwa aibu kubwa.

Nchibi "Out"
 
nchimbi ingefaa ajipime na ajiuzuru ni aibu ! kila mwandishi anamzomea BUUU, BUUUU BUU! shame on u nchimbi, Jitafakari
 
Ni kama movie fulani vile: Hatutaki, aondoke, hatutaki, aondoke..
Jamaa wamemkomalia kaondoka kwenye eneo lao la mkutano.

Swali la kujiuliza: Hivi hawa jamaa wanao washauri wa uhakika na je, wanafuata ushauri wa washauri wao?
Ni vigumu kuamini kuwa katika kipindi ambacho watu wapo kwenye pick hasa waandishi wakiandamana kufikisha ujumbe kwa jamii kuhusu mauaji ya mwenzao Nchimbi ambaye naye ni mkuu wa wale wanaotuhumiwa kumuuua Mwangosi anataka kujumuika nao!!!!!

Ama hakika wanasiasa WALISHAKUFA MISHIPA YA AIBU HAWANA
 
Kazeni buti wenzetu la sivyo adhabu kadhaa za vifo zinawasubiri. Nyie ndiye sauti yetu dont ever keep silent
 
Rais na Waziri mkuu wake kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
du, hapo c waziri amekataliwa ni serikali, kwa kweli aibu yao, ila waandishi waangaliane maana wamesema yalitakiwa yapokelewe na jukwaa la wahariri, wanashangaa kukumta waziri wa mambo ya ndani, inaonekana wao wenyewe bado hawana umoja, kwani walikuwa hawajui waziri yupo? Na kwann mikoa mingne wamezuiliwa?wkt tamko lilitolewa.
 
Nchimbia anaondoka.. Anawabeza kutokana na walivyomzomea laivu channel 10
 
Waandishi wa habari toeni maazimo makali na myasimamie na mtanifurahisha kama mkisitisha kabisa kuhudhuria na kutoa habari zozote za Jeshi la Polisi hadi hapo watuhumiwa watakapofikishwa mahakamani na sheria kuchukua mkondo wake.
 
mkoa wa mara wamepigwa marufuku kuandamana kamanda wa mkoa apiga biti anasema wakithubutu tu watatembezewa kichapo
 
mara wamekataliwa kuandamana
Source; mabere makubi
 
Huyu Nchimbi anaongea nini sasa?
Eti anabwabwaja ya kwmb maisha ya mtanzania inaheshimika!

Jamani maisha yetu yanaheshimika jamani??
niliangalia habari juzi jumapili E-TV sikuamini macho yango lakini nimesikia habari hii ikirudiwa leo asubuhi na BBC. Kwa sasa nchi za Kusini na hasa South Africa zimeiweka Tanzania katika nchi za kigaidi na yale mashambulio waliokuwa wakifanyiwa wageni hapo awali sasa hivi yanaelekezwa kwa Waethiopia, Somalia na Watanzania ...amini usiami ndipo hapo tulipofikia!

Sasa huyo anayesema tunaheshimika anayajua hayo, na je, anajua tutakuwa tukidharaulika kiasi gani miaka miwili ijayo!!??

Ni nani ametufikisha hapa!?

 
ni waziri wa mambo ya ndani kama sijakosea(nchimbi) labda kama na waziri wa habari nae alikwenda hapo jangwani.
 
Back
Top Bottom