Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Kuna kila uwezekano POLISICCM na serikali ya magamba wameshindwa kuzuia maandamano haya kwa kutambua umuhimu wa waandishi wa habari.
Wanajua kabisa waandishi wana nguvu kubwa katika jamii,na wamefikiria impact yake wakaona ni mbaya kwao. Pia wameona kushindwa kuzuia maandamano ya Waislamu juzi ni doa katika kujaribu kuzuia haya ya leo!
Jambo moja nalojiuliza kama Polisi japo kwa shingo upande na mvutano wameridhia maandamano ya Waandishi wa habari kwa mauaji ya mwandishi mwenzao, Mwangosi ni kwa vipi basi walizuia maandamano ya madaktari kulaani kupigwa vibaya na kujeruhiwa kwa dokta mwenzao Stephen Ulimboka?
Au sababu ni Ulimboka hakufa? Au sababu ni ipi? Maana Mwangosi aliuawa mikononi mwa Polisi na Ulimboka Usalama wa Taifa wanatuhumiwa kwa kupigwa kwake, au kwa sababu mtuhumiwa ni kubwa lao Usalama wa Taifa?
Wanajua kabisa waandishi wana nguvu kubwa katika jamii,na wamefikiria impact yake wakaona ni mbaya kwao. Pia wameona kushindwa kuzuia maandamano ya Waislamu juzi ni doa katika kujaribu kuzuia haya ya leo!
Jambo moja nalojiuliza kama Polisi japo kwa shingo upande na mvutano wameridhia maandamano ya Waandishi wa habari kwa mauaji ya mwandishi mwenzao, Mwangosi ni kwa vipi basi walizuia maandamano ya madaktari kulaani kupigwa vibaya na kujeruhiwa kwa dokta mwenzao Stephen Ulimboka?
Au sababu ni Ulimboka hakufa? Au sababu ni ipi? Maana Mwangosi aliuawa mikononi mwa Polisi na Ulimboka Usalama wa Taifa wanatuhumiwa kwa kupigwa kwake, au kwa sababu mtuhumiwa ni kubwa lao Usalama wa Taifa?