Ndio walewael, ukiwauliza kuhusu maendeleo hawataki kuyataja.
Kafanyeni na maandamano kuonesha, mashule yaliyoongezeka, makliniki yaliyoongezeka, ma universirty yaliyoongezeka, mabarabara yaliyoongezeka, kilimo kilichoongezeka, demokrasia iliyoongezeka. Mbona hayo hamuyasemi?
WE MAMA UNATAKA KUNITAPISHA. HIVI WE UMEZALIWA WAPI? UMESOMA WAPI? UNATIBIWA WAPI? UNASAFIRI KWA KUTUMIA BARABARA ZIPI? I THINK NI MTOTO, MKE, MJOMBA, etc WA HAO MAFISADI.
LE ME ASK>..
SCHOOL BUILDINGS WITHOUT DESKS, BOOKS, TEACHERS, TOILETS AND OTHER FACILITIES?
HOSPITALS/DISPENSARY WITHOUT MEDICINES, DOCTORS,NURSES?
UNIVERSITIES LIKE UDOM IMEWASHINDA KWA KUIFANYA YA KISIASA?
KILIMOKWANZA IS APPROACHING TO FAIL KWANI IMEANZISHWA KIFISADI NA HAIMSAIDII MKULIMA WA HALI YA CHINI/
WHAT KIND OF DEMO AR U TALKING ABOUT?, POLICE KILLS AND DETAIN INNOCENT TANZANIANS IN THEIR OWN RICH LAND IN RESPECT TO FOREIGNERS.
YOU DESERVE SOMETHING AFTER
Wewe wacha kuandika kama mtu asiye na fikra, hayo unayoyasema unalinganisha na nini? kila maendeleo hulinganishwa na ulikotoka. Sasa linganisha kabla ya Kikwete tulikuwa na nini na sasa tuna nini. Wacha kulalamika hovyo.
Hebu weka data za shule za sekondari kabla na baada ya Kikwete, hebu weka data za wanafunzi wa vyuo vikuu kabla na baada ya Kikwete, hebu weka data za vituo vya afya kabla na baada ya Kikwete, hebu weka data za hospitali za rufaa kabla na baada ya Kikwete, hebu weka vifaa vya hospitali ya rufaa Muhimbili kabla na baada ya kikwete.
Miaka yote tulikuwa hata moyo hatuwezi kupasua Tanzania. Kikwete kahakikisha linawezekana na sasa maginjwa mengi ya upasuaji wa moyo ni hapa hapa. Unanini weyee?
Na za barabara, na za viwanda , na za demokrasia, na, na , na.... Utakuta zote Kikwete ni juuu, juuu, juuu zaidi tena kwa kasi ya ajabu.