Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Dada mambo ya dini yahasiana na nini na utendaji wa Kikwete? sidhani kama udini utatufikisha popote sana sana vizazi vyetu vitaangamia kwa sumu za aina yako unazoziweka hapa.

Achana na huyo anaulimbukeni wa ajira, hajui humu wapo walikuwemo serikalini hata kabla yake na hawakubaliani na upuuzi wowote.
 
Achaneni na huyu mwehu,magamba yamemjaa hadi machoni haoni,hasikii and he doesn't even feel,he si just a corpse.
<br />
<br />
thanks very much this is a gud reply to this person who decided not to think or reason purposely,
 
I support you with all my heart and will be praying for you?but what if he wont show up or change hotel?
 
Tutasali kwa nguvu kufanikisha maandamano hayo kwani hali ya maisha ni ngumu sana.
 
Kwa nini Lisa Rockefeller anaitwa dada kipenzi cha Watanzania? Ni nani huyu dada? Anahusiana na Senator Rockefeller?
Is it not illegal kuandamana DC kumpinga JK? Hata kama kuna ufisadi Tanzania,Tanzania siyo Libya,siyo Syria,why should there be so much concern in the diaspora? Halafu ninyi ni Tanzanian citizens hata kama mko US. Ubalozi wetu huko una maoni gani?
Unasema unataka JK aondoke. Lakini JK ataondoka baada ya kumaliza muda wake. Does it mean you want him to leave sooner?
Kuhusu mafisadi,Nae ameshasma CCM inafanya jitihada kubwa kuwaondoa. Walipewa siku 90 kuondoka,mmoja tu aliondoka ,bado wawili. Nape amewapa siku 30 or so zaidi ili nao pia wajiondoe.
Tatizo la watu wanapokuwa katika diaspora they feel that they can influence the mother country,kwa sababu wako out of reach,and they can speak without fear. But this feeling is quite unfounded. Juhudi zenu za kumuaibisha JK zitakuwa ludicruos. To have any influence in this country,you have to be present,it is only your gravity presence,your physical presence in Tanzania that can enable you to influence events here.
Mimi pia nipo katika CCM. Kuna coordination gani kati ya mambo wanayotaka kufanya watu katika diaspora na watu ambao wako nyumbani?
Naomba kuwa informed about what is happenning.
+718 536 281
nyerereburito@yahoo.com



Naona kama namba moja ina mis hapo kwenye red...inaonekana ni NYC number inavyoanza weka namba sahihi basi...!!
 
Kwa nini Lisa Rockefeller anaitwa dada kipenzi cha Watanzania? Ni nani huyu dada? Anahusiana na Senator Rockefeller?
Is it not illegal kuandamana DC kumpinga JK? Hata kama kuna ufisadi Tanzania,Tanzania siyo Libya,siyo Syria,why should there be so much concern in the diaspora? Halafu ninyi ni Tanzanian citizens hata kama mko US. Ubalozi wetu huko una maoni gani?
Unasema unataka JK aondoke. Lakini JK ataondoka baada ya kumaliza muda wake. Does it mean you want him to leave sooner?
Kuhusu mafisadi,Nae ameshasma CCM inafanya jitihada kubwa kuwaondoa. Walipewa siku 90 kuondoka,mmoja tu aliondoka ,bado wawili. Nape amewapa siku 30 or so zaidi ili nao pia wajiondoe.
Tatizo la watu wanapokuwa katika diaspora they feel that they can influence the mother country,kwa sababu wako out of reach,and they can speak without fear. But this feeling is quite unfounded. Juhudi zenu za kumuaibisha JK zitakuwa ludicruos. To have any influence in this country,you have to be present,it is only your gravity presence,your physical presence in Tanzania that can enable you to influence events here.
Mimi pia nipo katika CCM. Kuna coordination gani kati ya mambo wanayotaka kufanya watu katika diaspora na watu ambao wako nyumbani?
Naomba kuwa informed about what is happenning.
+718 536 281
nyerereburito@yahoo.com


Inaonekana una mashaka mashaka sana na maamuzi mazito wanayotaka kuyafanya ndugu zetu wa kule Marekani. Na maswali yako mengi majibu yake yamo ndani ya hii post, kama umefuatilia mwanzo hadi mwisho am sure utakuwa na majibu ya kufanana na unachotaka kujua.. Kaa chini tumia muda kusoma nini wachangiaji wameandika kutokea mwanzo hadi mwisho. Ufisadi unao uongelea hapa ni 1/8 ya matatizo yote ambayo Serikali imeshindwa kuyatafutia ufumbuzi.
 

Is it not illegal kuandamana DC kumpinga JK? Hata kama kuna ufisadi Tanzania,Tanzania siyo Libya,siyo Syria,why should there be so much concern in the diaspora? Halafu ninyi ni Tanzanian citizens hata kama mko US. Ubalozi wetu huko una maoni gani? But this feeling is quite unfounded. Juhudi zenu za kumuaibisha JK zitakuwa ludicruos. To have any influence in this country,you have to be present,it is only your gravity presence,your physical presence in Tanzania that can enable you to influence events here.

nyerereburito@yahoo.com

Mkuu maelezo yako sidhani kama yanaweza ku-influence mtu aliyeko Marekani au nje ya nchi akakuelewa. Kwanza kuandamana kwa amani Marekani ni freedom of expression so sio kinyume na sheria, however naamini unatakaiwa tu utoe taarifa kwa wahusika. Pili: hapo kwenye red are you serious? Yaani unamaanisha kama mtu anampinga Kikwete anatakiwa awe Tz ndio itakuwa na influence???? Kwahiyo serikali inahitaji more people kuwapiga mabomu ya machozi etc. I have a feeling wewe ni usalama wataifa au kiongozi fulani ambaye, ume-panick kwavile you have no control of the people in states. If all the arguments are unfounded si uwaache waandamane ukweli utajulikana tu pale dunia itakapoamua kufuatilia ukweli. Why worry? Nikupe tu taarifa zaidi ni watu wachache sana wana imani na balozi zetu za nje hasa when it comes to CCM. Hakuna balozi ambaye atakubali Serikali ya CCM iwe criticized, trust me. Niukweli usiopingika Watanzania wa nje wana- perception nyingine tofauti kabisa na sisi tulioko nyumbani. Tanzania democracy ni kitu tu kilichoko kwenye vitabu lakini practically there is no democracy. Nje ya Tanzania huwezi kuvunja haki za raia kama wanavyofanya Tanzania. Nasema hivi, kama hamna valid arguments za maandamano let us step back and watch afterall sio wewe unayeandamana so you have nothing to loose.
 
Dada mambo ya dini yahasiana na nini na utendaji wa Kikwete? sidhani kama udini utatufikisha popote sana sana vizazi vyetu vitaangamia kwa sumu za aina yako unazoziweka hapa.

Nioneshe kimoja ambacho JK hajakifanya zaidi ya Rais yeyote wa kabla yake, kama huna ujue huu ni udini.
 
Nioneshe kimoja ambacho JK hajakifanya zaidi ya Rais yeyote wa kabla yake, kama huna ujue huu ni udini.
Udini mnauleta wenyewe ambao kila kitu mnakitizama kwa misingi ya kidini. Nyerere alikuwa mbaya kwenu kwa sababu za udini. Mwinyi alikuwa mzuri kwa sababu za udini na sasa mnamtetea Kikwete licha ya kwamba nchi imemshinda, kwa sababu za udini.
 

Achana na huyo anaulimbukeni wa ajira, hajui humu wapo walikuwemo serikalini hata kabla yake na hawakubaliani na upuuzi wowote.

Hasira za kulipishwa kodi wakwepa kodi hakafu mnajidai mnaipenda nchi. Mnanshangaza!
 
Usiyemkubali ni wewe na Magwanda wenzako. Tena nna uhakika isiyokubalika ni dini yake lakini si utendaji wake, kwani mpaka sasa ameshawapita wote waliomtangulia kwa maendeleo ya kutolewa mfano.
<br />
<br />
we una maslahi binafsi na familia ya jk nini?
 
Udini mnauleta wenyewe ambao kila kitu mnakitizama kwa misingi ya kidini. Nyerere alikuwa mbaya kwenu kwa sababu za udini. Mwinyi alikuwa mzuri kwa sababu za udini na sasa mnamtetea Kikwete licha ya kwamba nchi imemshinda, kwa sababu za udini.

Sasa Nyerere kama sio mdini kwanini anapigiwa debe awe mtakatifu? ana utakatifu upi? mtu aliyetesa watu bila mfano.
 
Kama wanajuana na January why can't they meet to resolve their differences? Especially for January's sake if he would like to succeed politically

This is the CLOBAL POLITICS no more Room POLITIKING...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom