Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Nawatakieni amani,utulivu,na mwenyenzi Mungu awatangulie katika kutimiza wajibu wenu kama raia wapenda haki katika nchi yetu.Nawaunga mkono wapendwa mlioko USA,nahitaji maeneo mengine nayo yaanze hatimaye yahitimishwe huku nchini
 
Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States , State Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe

EliakimMallya@yahoo.com

Update:
Tayari watu 450 wmesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani.

Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda
wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake

Mimi nilifiri mnashinikiza ajiuzulu!
 
Safi sana: Bango moja lisomeke... "Watanzania hatutaki kuwa na rais 'kilaza' asiyejua kwa nini Tanzania ni maskini.."
 
namshukuru Mungu kwa kuendelea kutunyanyulia wayetezi, kama ilivyokuwa judges kw kipindi cha isrel
 
Hakuna atakayeshangaa maana watanzania wapo wengi nje ya nchi kwa sababu mbali mbali za msingi! Mimi binafsi nawaunga mkono kilio cha Watanzania kitasikika duniani pote...maandamano mengi ya TZ hayatangazwi na kusikika duniani pote.
 
Wewe ulitaka ukanyimwa? hao wazunu wataibeba hiyo ardhi waende nayo kwao?

Halafu hao hao wazungu unaowasema kwa kupewa ardhi waiendeleze haohao ndi unataka kwenda kufanya maandamano kwao, haohao ndio unategemea wanunue mazao yako, haohao ndio unawategeme wakuletee madawa kwa wagonjwa wako, haohao ndio wanaokusomesha huko Merekani, haohao ndio unakwenda kwashtaki kwao wenyewe kwa maandamano? Una akili kweli hapo? au unaenda kumshtaki Kikwete kwa dini yake? Fikiria.

Wewe lazima una matatizo upstairs. Dini ya Kikwete sisi inatuhusu nini? Kamwe hamuwezi kujificha kwenye kivuli cha DINI. Watanzania kwa ujumla wao, bila kujali dini zao, wamechoshwa na ubabaishaji wa serikali hii na sasa wameamka. Saa ya ukombozi hatimaye imewadia.
 
kabla kubisha pitia bajeti ya mwaka huu iliyosomwa na magufuli utaona hilo. baadaye lete hoja


Mzee, hili swala siyo kubisha wala nini. Ni swala la kutumia logic. Serikali ya TZ haina uwezo wa kujenga kilometer 11000 za rami kwa miaka 6. Tumeona barabara ya Dodoma-Mwanza kilometer kama 700 tu ilivyotusotesha toka Mkapa. Dar-Kibiti imechukuwa karibu miaka 10 kuisha. Kilometer 11000 Sasa kama Magufuli alisema hivyo, then tunaomba hiyo bajeti ili tuuchambue ukweli. Halafu wewe unayesema hivyo si ututajie ni barabara gani zenye urefu huo zimejengwa na kuisha ndani ya miaka 6.
 
Acha kuniongopea kwani mi nawafahamu fika na nimekuwa nahudhulia hata function zao wakti wa Mh Mustafa Nyang'anyi. Hivyo nipe ni nani hao ili nikupe data zao.

Labda uniambie ni raia wa marekani walioukana uraia wa tanzania ndio wanaandamana lakini si vinginevyo.

Haya lakini all in all sie yetu subra.

Tusiandikie mate na wino upo
Kuna kitu nashindwa kuelewa kutoka kwako, wewe umesema ni mu Oman and ur very proud of that. sasa swali langu ni kwamba mambo ya Watanganyika wewe yanakuhusu nini? hakuna forum za waarabu wenzako?
sisi hapa tunajadili mustakabari wa nchi yetu kwahiyo ni busara ungetupisha wewe nenda kule jukwaa la dini ndio unafiti. narudia tena kusema siasa za Tanganyika tuachie Watanganyika wenyewe.
 
Kutokana na kuchoka na hali ngumu inayoendelea hapa Tanzania, ndugu zatu wanaoishi USA wameandaa maandamano ambayo yatakuwa ya amani kupinga utawala mbovu wa JK hasa baada ya kushindwa kuwachukulia hatua masfidi hapa nchi.<br />
<br />
Hii ni sehemu ya maandalizi hayo kama yalivyoandikwa na ELIAKIM MALLYA.<br />
<br />
Tunaandaa maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubali kushiriki kwenye maandamano hayo. Tunataka watu wengi zaidi kujitokeza. Hii ni kumshinikiza huyu fisadi papa na mzururaji kushugulikia matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatahitimishwa na kupokelewa na viongozikutoka United States Department. Tayari tumetuma maombi kupinga misaada marekani inayopa Tanzania, kwani hayasaidii Jamii bali Kikwete na genge lake la majambazi<br />
<br />
Wote mnakaribishwa karibishwa. Maandamano ya Amani yanaruhusiwa marekani ilimradi mtu hajavunja sheria nchini. Ukiwa na makaratasi yako, njoo tulikomboe taifa letu. Ukombozi wa TANZANIA upo mikononi mwetu. Mabango yanachapishwa tarehe 24, Tunaomba mawazo tofauti kuhusu ujumbe tutakaobeba kwenye mabango yetu. Tumechoka na Kikwete, dawa nikuanza maandamano.Tupo tayari kufa sasa. Tunisia iliokolewa na watu tu kama sisi, tukifa bahati mbaya vizazi vijavyo vitafaidi. Tafadhali sambaza ujumbe. Tutatoa tamko rasmi ya maandalizi tarehe 20 mwenzi huu Ukitaka kushiriki tuma barua pepe EliakimMallya@yahoo.com<br />
<br />
Raia wa kawaida anayo haki ya kumfanya Kikwete Anyimwe VISA. Kwa Kupinga Ujio wa Kikwete, au yeye kunyimwa VISA tumeni emails nyingi iwezekanavyo kwenda East African Affairs Bureau. Email Adress wiegertjr@state.gov
<br />
<br />

Sawa kabisa, huyu jamaa kwa sasa anatakiwa asipewe entry visa ya nchi yoyote, nchi ina matatizo lukuki ya kushughulikia lakini yeye kazi yake kuzurura bila tija, ziara nyingine awaachie wa chini yake, kila jambo lazima aende hata akisikia kuna semina ya kukata vitunguu ataenda tu.
 
Content ya habari ilikuwa haieleweki, na sio swala la spelling, hakuna kitu kama United States Department!

Isitoshe, U.S. State Department hawawezi kupokea maandamano binafsi ya Wabongo against Rais wao. Kebehi nyingi kumbe waongo, vilaza wakubwa.
Mshamba tu wewe huna jipya.
 
Nani wakuandamana Washington DC, wadanganye Pro-CDM wenzako hivi unadhani utufahamu mnavyoishi huku Marekani!
Kuhusu Marekani, UK, unidanganyi kitu, 85% ya Watanzania wanaokaa Marekani ni Overstay halafu ni unlegal hawana makaratasi, wengine wamefiwa na baba zao mama za Tanzania wameshindwa kuja kuzika kama wakija hawawezi kurudi tena Marekani serikali ya Marekani haiwatambui wanaishi kama kwale tu huku Marekani halafu leo unatauambia eti wajitokeze kwenye maandamano thubutu!
Halafu tuambie Washington DC ni kubwa hayo maandamano yanaanzia wapi?
 
Wacha kuishushia hadhi idara ya usalama wa Taifa, yaani unadhani TISS inaweza kuajili mambumbumbu kama FF? kwanza ungejuwa anapoishi ndio ungechoka kabisa, huyu FF anaishi katika moja ya nyumba duni kabisa pale mtaa wa kariakoo.
<br />
<br />
HAHAHAHA KUMBE WALIJUA TUNDU LAKE HUKO K.K
 
Halafu wewe Mallya Mchagga wa Kibosho unatuchanganya! Unasema maandamano yenu yatapokewa na viongozi kutoka United States, State Department!
Ueleweki Mangi..
 
<br />
<br />
HAHAHAHA KUMBE WALIJUA TUNDU LAKE HUKO K.K
Nimewaahidi wana JF leo jioni au kesho nitaupload nyumba yao anayoishi Faiza fox ili muone jinsi anavyoishi kwenye makazi duni kabisa halafu anajifanya kana kwamba ana maisha bora.
 
Nimewaahidi wana JF leo jioni au kesho nitaupload nyumba yao anayoishi Faiza fox ili muone jinsi anavyoishi kwenye makazi duni kabisa halafu anajifanya kana kwamba ana maisha bora.

Wahi mkuu, anakera sana huyu kiumbe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom