Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
<br />
<br />
idadi ya shule kitu gan ww?umejaribu kutazama ubora wa elimu?ni kwel km amefanya meng zaid ya hao waliopita lakini kumbuka maendeleo ya nchi yetu hayalingani na rasilimali zilizopo hapa nchini mama.

Huo ubora wa elimu utaupata bila kuwa na shule? unanchekesha! Au hukuona juzi alivyosaini mkataba wa kutandandaza ma screen ili watu wasome via mtandao? Unanchekesha!
 
<br />
<br />
Siku 40 za vasco dagama kuaibika mbele ya jumuia ya kimataifa imewadia. It is too late to act kama unadhani points zako zitawavunja moyo walioamua kuandamana.

Hamna lolote mnajulika dunia nzima wana magwanda, mlilambwa risasi kule Arusha baada ya fujo zenu mliona Taifa gani la nje likiwapa japo pole? sasa jiulize kwanini? Unanchekesha!
 
Lisa Rockerfeller kalifanyia kitu gani taifa letu la Tanzania?
 
Over 2000 Secondary Schools in 5 Years, over 168 Industries in 5 Years, Over 11,000Kms of Roads signed and under construction, over 3000MW of electricity signed and under construction, fiber optic trunk, whole of Tanzania, over 18 regions, 56 districts are already enjoying it.

Haya leta ma apple kama hayo kwa marais woooote kabla yake uwachanganye pamoja.
Shule moja wanafunzi 400 walimu wawili...bora kutokuwa na shule
 
siku watu wakiingia mtaani na kuchukua chao madukani kama LONDON naomba wasije kuitwa LOOTERS
maana haya yanatengenezwa na serikali kwa kushinda majukumu
 
Mkweree nchi imemshinda, bora kama alivosema mdau mmoja kwamba kuwekwe robot ikulu iwe programmed inaweza kufanya kazi nzuri kuliko huyu foreign trips-loving president aka Vasco da Gama
 
Dada hiyo mbeleko unayombebea Mk-kwere mwisha sasa itakua nzito na kuchanika.

Wachana na mbeleko jibu hoja? ni kipi ambacho Kikwete hajakifanya zaidi ya Rais yeyote wa kabla yake? na vingine hata ukichanganya vyao woooote pamoja na vya mkoloni lakini bado havifikii alivyofanya Kikwete kwa miaka 5 tu! Anastahili kila sifa kwa wenye kufikiri, japo kidogo, na wale ambao hawaendeshwi kwa dini yake na wanaendeshwa kwa vitendo vyake.
 
Lisa Rockerfeller kalifanyia kitu gani taifa letu la Tanzania?

Mtembezi hula miguu yake Faiza. Huyu mwanamama walifuata wenyewe wakati wanatalii na kibakuli chao. Sasa wavune walichopanda. Na hakuna bifu mbaya kama wenzetu wa majuu. Hawageuki MAWE!. Hapa tununue popcorn za kutosha, movie bado haijaanza!
 
Mkweree nchi imemshinda, bora kama alivosema mdau mmoja kwamba kuwekwe robot ikulu iwe programmed inaweza kufanya kazi nzuri kuliko huyu foreign trips-loving president aka Vasco da Gama

Hizo trips ndio zinakufanya mpaka sasa hivi unakula mtandao kwa raha zako.
 
Shule moja wanafunzi 400 walimu wawili...bora kutokuwa na shule

Shule ya Sekondari kila kata, nambie ni Rais yupi aliyefanya hayo kabla yake?

Na hilo limeshapatiwa ufumbuzi, hakuna wakati tuna vyuo vya waalim wingi kama huu wa Kikwete hao wa kabla yake kuanzia kwa nyerere walikuwa wapi? wamelala? zaidi ya vyuo vya walimu, ni juzi tu amesaini mkataba wa kutufungia mtandao shule zote. mwalim mmoja tu Dar anafundisha watoto mamillioni au hujui hilo? Siku hizi kuna watu hata darasani hawaendi, wanakula vitu kwenye mtandao tu, na JK kisha liona hilo na kisha saini. Uko wapi weyee?
 
Shule ya Sekondari kila kata, nambie ni Rais yupi aliyefanya hayo kabla yake?
Walifikiria kuhusu quality na sio quantity. Huwezi hata siku moja uka-compromise na ubora wa elimu. Shule moja 400 students 2 teachers....what a joke! hayo ndio mafanikio ya kuzalisha wajinga
 
Mtembezi hula miguu yake Faiza. Huyu mwanamama walifuata wenyewe wakati wanatalii na kibakuli chao. Sasa wavune walichopanda. Na hakuna bifu mbaya kama wenzetu wa majuu. Hawageuki MAWE!. Hapa tununue popcorn za kutosha, movie bado haijaanza!


mkuu tunasoma page moja wewe ngoja movie ya hiki kitabu ikitoka, si unajua mara nyingi DVD uhuza kuliko kitabu chake
tutajua tu walikwenda kuomba nini na walipeleka wapi?

uwezi kumkimbia DOCTOR anayekupasua kisa ganzi imeisha na umeona utumbo wako huko njee CCM sera yao ni kutembeza bakuli na kutafuna harafa wanajifanya kuwaita wahisani wao wakoloni !!!!!!!!!!!!!!

matapisha kabisa hawa
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Over 2000 Secondary Schools in 5 Years, over 168 Industries in 5 Years, Over 11,000Kms of Roads signed and under construction, over 3000MW of electricity signed and under construction, fiber optic trunk, whole of Tanzania, over 18 regions, 56 districts are already enjoying it.

Haya leta ma apple kama hayo kwa marais woooote kabla yake uwachanganye pamoja.

Thats moral imbecility,
 
Wachana na mbeleko jibu hoja? ni kipi ambacho Kikwete hajakifanya zaidi ya Rais yeyote wa kabla yake? na vingine hata ukichanganya vyao woooote pamoja na vya mkoloni lakini bado havifikii alivyofanya Kikwete kwa miaka 5 tu! Anastahili kila sifa kwa wenye kufikiri, japo kidogo, na wale ambao hawaendeshwi kwa dini yake na wanaendeshwa kwa vitendo vyake.
Mwinyi ana mazuri mengi tu kuliko huyu mpuuzii
 
Bado nawategemea wakoloni wawafundishe namna ya kuishi. Mna kazi sana nyie wakimbizi wa Tanzania

Heri ya hao wakimbizi ni waungwana wanawakumbuka ndugu zao kwa kuwapa misaada ya mahitaji ya msingi na mingine mbalimbali, kuliko wewe na rafiki zako mlio makupe na wauaji kwa kuwanyonya watanzania na kukwapua kila kitu aka vikomba na kuendelea kula-bunyau Tanzania.

Lisa, thank you mama. I do appreciate your support.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom