Ole
JF-Expert Member
- Dec 16, 2006
- 2,157
- 979
Kwa nini Lisa Rockefeller anaitwa dada kipenzi cha Watanzania? Ni nani huyu dada? Anahusiana na Senator Rockefeller?
Is it not illegal kuandamana DC kumpinga JK? Hata kama kuna ufisadi Tanzania,Tanzania siyo Libya,siyo Syria,why should there be so much concern in the diaspora? Halafu ninyi ni Tanzanian citizens hata kama mko US. Ubalozi wetu huko una maoni gani?
Unasema unataka JK aondoke. Lakini JK ataondoka baada ya kumaliza muda wake.
Muda wake upi? Sio lazima akae miaka mitano.
Does it mean you want him to leave sooner?
Yes, Why not?
Kuhusu mafisadi,Nae ameshasma CCM inafanya jitihada kubwa kuwaondoa. Walipewa siku 90 kuondoka,mmoja tu aliondoka ,bado wawili. Nape amewapa siku 30 or so zaidi ili nao pia wajiondoe.
Kwa nini wasishitakiwe? Huu ni uonevu wezi wa kuku wanafungwa lakini mafisadi wanalelewa kama yatima.
Tatizo la watu wanapokuwa katika diaspora they feel that they can influence the mother country,kwa sababu wako out of reach,and they can speak without fear. But this feeling is quite unfounded.
So what? Let people feel what they want its a free world.
Juhudi zenu za kumuaibisha JK zitakuwa ludicruos.
Kama ni ludicruos kama ulivyoandika mbona umekuja mbogo?
To have any influence in this country,you have to be present,it is only your gravity presence,your physical presence in Tanzania that can enable you to influence events here.
Sasa kama hawana influence kwa nini unagwaya?
Mimi pia nipo katika CCM. Kuna coordination gani kati ya mambo wanayotaka kufanya watu katika diaspora na watu ambao wako nyumbani?
Naomba kuwa informed about what is happenning.
+718 536 281
nyerereburito@yahoo.com
Halafu unataka tukupigie simu wewe ili iweje? wewe tayari ni gamba na hapa umeshikwa pabaya maana una huzuni kuu.