Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
hivi Dr Slaa na Lisa Rockerfeller nani Kamanda? Naombeni jibu wana Magwanda
 
Tanzania has now become a labyrinth of all sufferings on earth because of this retarded and a big joke-president!!
 
Shule ya Sekondari kila kata, nambie ni Rais yupi aliyefanya hayo kabla yake?

Na hilo limeshapatiwa ufumbuzi, hakuna wakati tuna vyuo vya waalim wingi kama huu wa Kikwete hao wa kabla yake kuanzia kwa nyerere walikuwa wapi? wamelala? zaidi ya vyuo vya walimu, ni juzi tu amesaini mkataba wa kutufungia mtandao shule zote. mwalim mmoja tu Dar anafundisha watoto mamillioni au hujui hilo? Siku hizi kuna watu hata darasani hawaendi, wanakula vitu kwenye mtandao tu, na JK kisha liona hilo na kisha saini. Uko wapi weyee?
Hata vyuo vikuu vimekuwa vya kata sasa
 
Mimi nina picha ya nyumba yao duni kabisa kuliko zote pale mtaa wa kariakoo inaangaliana na redio uhuru, kama mnahitaji naweza kuiupload hapa.

Unanchekesha, mi skyscraper yote ya Kariakoo huioni? njoo tu unakaribishwa, nini uanpenda weyee, mandi? swawarma? zanzibar mix? sekela? Vyote hivyo Kariakoo ndio vilipo, sasa sijui hata kama unavijua hivyo, wakuja wee! una kaa goba huko halafu unajidai uko Dar! Unanchekesha!
 
FaizaFoxy ni msaidizi wa JK. Anafanya kazi na Salva. Yupo tayari kufa kwa ajili ya JK. Huyu mama ni jeuri kweli, alafu lina dharau sijui kwa sababu ya lile libwana la Symbion? Watu bwana. Sasa mbona madhambi yake tunayo kibao? Au anadhania tunaingilia uharakati kichwa kichwa. Mimi ni mwana UVCCM kwa hiyo siri za hawa watu nazifahamu. Faiza Foxy nimefanya naye kazi sana, alafu ndiye anayetegemewa na JK kwenye mambo mengi

Hawana uwezo wakuni ajiri hao, saa hizi nakula bata kwa mrija tuu! Burdan wa Sharaba.
 
Ilikuwa ni chance ya Salim Ahmed Salim, Mkwereee akaja na mipasho na ngonjera za kuuza sura haya sasa! SAS angekuwa prez sasa hivi hii nchi ingekuwa mbali sana, lakini siasa za Chalinze na Msoga ndio hizi sasa. Nchi inaendeshwa kama kile kijiwe cha Saigon.
Baada ya 2015 mwambie akimbie nchi la sivo tutamtia mahakamani huku akiwa kwenye box kama Mubarak!
 
mie nahisi hayo maandamano yatapata wachangiaji wachache.....humu mtandaoni tunapeana moyo tu,kwanza na schedule za box zilivyo tight watu watapatawapi huo muda lol
 
Lakini hawa jamaa wa DICOTA nao wanafikiria nini kuwaita viongozi wa serikali kuhudhuria kwenye mikutano yao? hawajui kuwa kila wakimleta kiongozi mmoja ni pesa nyingi sana za umma zinateketea? Kila mwaka wamekuwa wakiwaita viongozi wakubwa kama Membe na wakurugenzi kadhaa wa mawizara, je tija yake kwa taifa imekuwa ni ipi tangu wamefanya hivyo? Katika viongozi wote wa serikali, kwa nini waamue kumwita Kikwete ilhali udhaifu wake unajulikana? Nilitegemea DICOTA wawe ni watu makini zaidi kwa vile wengi wao ni watu wenye elimu ya juu sana, ila sijui labda hii ni katika kutafuta visibility. Unless Kikwete alikuwa na shughuli Nyingine hapo DC nao wakaamua kuunganisha mkutao nuo ndani ya shughuli zake, sioni umuhimu wa wao kumwita Kikwete kutoka dar kwenda DC kuhudhuria mkutano huo.


[h=2]DICOTA BOARD OF TRUSTEES[/h] Dr. Lennard M. Tenende
Mr. Abdul Majid
Mr. Frederick Mjema
Mr. Iddy Mtango
Dr. Crispin Semakula
[h=2]DICOTA OFFICERS[/h] Dr. Ndaga Mwakabuta – President
Dr. Lyungai Mbilinyi – Secretary
Mr. Joel Mburu – Dep. Secretary
Ms. Emma Kasiga – Treasurer
Ms. Jane Temu – Assist. Treasurer
DICOTA 2011:
“Tanzanians in the
Diaspora after 50 years
of independence”
[h=2]CONVENTION STEERING COMMITTEE[/h] Mr. Faraja Isingo - Chairman
Mr. Richard Mollel - Secretary
Mr. Sylvanus Msafiri
Mr. Elias Mshana
Mr. Johnson Ejalu
DJ Luke Joe
Mr. Santa Chacha
Mr. Elvis Magori
Mr. Idd Sandali
Ms. Joyce Mkande
Mr. Eric Mahai
Mr. Damatus Nambai
Ms. Rehema Mollel
Mr. Said Mateso
Mr. Aloyce Kilasara

Hakuna mbeba maboksi hapo.

Fox,

Sielewi ulikuwa unanijibu kitu gani hapo, kwa sababu sidhani kama jibu lako linaendenana na post yangu. Jitahidi kuwa unasoma vizuri post kabla hujazivamia. Usidhani kuwa wote tunaompinga Kikwete ni wabeba maboksi, kwa taarifa yako zaidi ni kuwa wanaomkumbatia Kikwete na CCM ndio wabeba maboksi zaidi kwa vile tuna ushahidi wa kutoka UK walikoibiana pesa za mgao. Vile vile katika hiyo list uliyoweka je una uhakika kuwa hakuna waganga njaa hapo hata kama siyo wabeba maboksi? Mimi nawajua wote kwa vile hata mimi pia ni mwanachama wa hiyo DICOTA, na nina uhakika kuwa waliopendekeza kumleta Kikwete ni waganga njaa sana ndani ya DICOTA.
 
Ilikuwa ni chance ya Salim Ahmed Salim, Mkwereee akaja na mipasho na ngonjera za kuuza sura haya sasa! SAS angekuwa prez sasa hivi hii nchi ingekuwa mbali sana, lakini siasa za Chalinze na Msoga ndio hizi sasa. Nchi inaendeshwa kama kile kijiwe cha Saigon.
Baada ya 2015 mwambie akimbie nchi la sivo tutamtia mahakamani huku akiwa kwenye box kama Mubarak!

Alikuwa ni "chaguo la Mungu" au umesahau?
 
mie nahisi hayo maandamano yatapata wachangiaji wachache.....humu mtandaoni tunapeana moyo tu,kwanza na schedule za box zilivyo tight watu watapatawapi huo muda lol
wewe husiandikia mate msisitize kikwete aende marekani fanya hiyo kazi
kisha subilia jibu la wasiwasi wako.

bora kuhacha box siku moja au ku swap shift lakini huyu mporaji na genge lake wapate kuumbuka
na mimi ninakuambia viongozi wetu wamejaa dharau kama unavyoongea lakini watu wamechoka i mean it
 
Fox,

Sielewi ulikuwa unanijibu kitu gani hapo, kwa sababu sidhani kama jibu lako linaendenana na post yangu. Jitahidi kuwa unasoma vizuri post kabla hujazivamia. Usidhani kuwa wote tunaompinga Kikwete ni wabeba maboksi, kwa taarifa yako zaidi ni kuwa wanaomkumbatia Kikwete na CCM ndio wabeba maboksi zaidi kwa vile tuna ushahidi wa kutoka UK walikoibiana pesa za mgao. Vile vile katika hiyo list uliyoweka je una uhakika kuwa hakuna waganga njaa hapo hata kama siyo wabeba maboksi? Mimi nawajua wote kwa vile hata mimi pia ni mwanachama wa hiyo DICOTA, na nina uhakika kuwa waliopendekeza kumleta Kikwete ni waganga njaa sana ndani ya DICOTA.


Kwani wewe hugangi njaa? hayo ya UK kama kuna mwizi nna imani kubwa sana na Scotland Yard watafanya kazi yao na ukweli utajulikana na kama kuna mwizi atachukuliwa hatua. Hayo wala sio issie mbona hata hapa nyumbani tumeona magwanda wakiibia serikali kodi zao kwa miaka na juzi wamekamatwa na wapigwa faini na wametakiwa waache wizi wa kodi. unafikiri fedha ya kodi ni ya nani? ya hao wanaofanya maandamano Washington au yetu sisi tuliopo hapa nyumbani? wacha weweee.

Soma vizuri wewe post yako "Nilitegemea DICOTA wawe ni watu makini zaidi", ulipoyaandika hayo ndio nimekuwekea list kamili ya hao "watu makini zaidi" na nikakujuza kuwa hamna mbeba maboksi hapo. Jee, hukuyapenda? Unanchekesha!
 
Mimi ninachojua ughaibuni kuna matawi mengi ya Magamba, sasa nyie mnaoandamana mmetumwa na nani? Chadema??? Kwani USA lipo tawi la Chadema?

WE UNAFIKIRI KUANDAMANA HADI UTUMWE NA CHAMA, HIYO NI HAKI YAKO YA MSINGI KAMA RAIA. HATA WEWE WAWEZA ANDAMANA. USIFIKIRI CHINI YA UWEZO BANDUGU.
 
Faiza Fox wewe ni kama dada kwangu, lakini kwa hili Mkweree wako tunae tu najua deep down sometimes unaona hata aibu kumbeba na mbeleko inakuwa nzito, lakini kama kampuni yake ya MEREMETA MKWEREE ATAMEREMETA MaHAKAMANI 2016 AKIWA NDANI YA BOX kama Mubarak
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom