Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.

Hamjawahi kuhamasisha hata ujenzi wa shule ya kata, kazi yenu kuandaa maandamano tu. Huo ni unafiki wa kisiasa, hamna moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania.

Cha msingi sio kujua theme bali ni kujiuliza jamii itanufaika vipi na maandamano hayo na je, jitihada zinazotumika kuandaa maandamano zisingeweza kutumika kuleta manufaa zaidi? Hawa wote wanafiki tu!

Kwa hiyo unadhani baada ya maandamano hayo uchwara bajeti ya nchi itabadirishwa?
Nothing will be achieved by those maandamano other than media attention!

Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!

Jamani huyu Marco****o hana lolote la maana someni hapo juu, yeye ndio anayepoteza muda wake mwenyewe kwa kudhihirisha jinsi alivyo na mawazo mafupi kama mkia wa mbuzi, hivi kuna watu mazoba kiasi hicho looh! siamini huyu lazima ametumwa, kwa hiyo yeye anajali muda wa wote walihudhuria maandamano kuliko wao wenyewe,kwa hiyo yeye anazijua shida zao kuliko wao wenyewe, yeye ana uchungu zaidi kuliko walioamua kusimamisha shughuli zao wenyewe na kushiriki maandamano, yeye hasomi magazeti wala kuangalia tv wala kusikiliza radio, maana angefanya hivyo angeijua nguvu ya maandamano. Kwako marcopolo kama wewe unadhani maandamano ni kupoteza muda, wenzio wako matumbo joto saa hizi amini usiamini kwa hiyo endelea kusinzia. thread kama hizi hakuna hata haja ya kuzichangia tunampa umaarufu asio stahili. :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::hand:
 
Once posted ny Nyantella

Kwa kweli sijawahi kumsikia hata Dr. Slaa akihimiza watu kufanyakazi ila wajiletee maendeleo binafsi na maandamano tuuuu ndiyo yatakaitoa TZ katika giza? I doubt! na hata sisi wa pembeni tunao m adimire Dr. Slaa tunaanza kuchoshwa na hii tabia ya kitoto mtu mzima na Phd yake ambaye anaweza kuwa rais wa nchi hii anakosa busara kiasi hicho! na yeye anaendekeza sifa za kijinga! yaani CDM sasa ni Chama Cha Demokrasia na Maandamano, Maendeleo kwa mtindo huu tusahau!!! tabia ya kuiga tembo kunya itatupeleka pabaya!! walibya ni wa pili kwa Oil production duniani, na nchi zoote za kiarabu huko kaskazini (Tunisia, Misri etc.) they can afford kuishi mawiki wakiandamana na kuuana maana baada ya maandamano mafuta bei juu wata recover sisi huku tuna nini? mafuta tunaagiza pesa ya kigeni ndiyo hivyo tena inatumika ki aina sijui tufanyeje.

Libya ndiye main supplier wa mafuta kwenda Ujerumani hata wakati walipowekewa vikwazo na Bush mafuta waliuza Ujerumani kama kawa. andamaneni wala hamtasikia jamaa yenu Obama akisema kitu itakua Somalia nyingine and nobody will give a shit.
HTML:

nyantela usijifanye umewahi kumuadmire Dr Slaa!!!!! tuachie wenyewe tupambane na game la ukombozi!!
Get your facts straight kabla hujajiacha mtupu hadharani: Libya ni ya 9 kwa proven oil reserves na sio namba mbili,

https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/rankorder/2178rank.html

mnunuzi mkuu wa mafuta ya Libya ni Italia (37%) akifuatiwa na Ujerumani (10%).
Vikwazo vya Libya viliwekwa na serikali ya Reagan sio Bush.

Its a proven fact kuwa serikali nyingi duniani hazifanyi kitu mpaka ziwe confronted na njia pekee ya kuwatumia ujumbe ni maandamano.
 
Chama chenye viongozi wa wanafiki wakubwa hawaishi kwa Vitendo wanaishi kwa maneno tu! Tulitegemea Chadema wakatae zile 90 milion walizopewa wabunge! Hakuna hata Mbunge mmoja kutoka chadema aliejaribu kusema juu ya ufisadi huo! Leo wanapoteza muda kuandamanisha watu wanafiki wakubwa hao,hawana maana yeyote! Nimeanza kuichukia Chadema kwa kukubali kula rushwa ya 90m wakati watu wetu ni maskini! Tanzania hakuna chama chenye uchungu na watanzania vyote vinalengo la kujinufaisha na maslahi ya viongozi tu!

Wamepewa au ni mkopo ambao utakatwa kwenye mishahara na marupurupu yao?
 
msandoAlberto, hakuna kichwa kilichobaki ccm..vyote viko chadema...wametafuta wauza maduka eti ndio waje wapotezee attention za watu huku jamiiforum. kwanza sikia majina yenyewe..eti geniousbrain.......when does the brain become genious?
 
Kuna memba amenipa no yake ila inakatika sana. Please nipe no ya mtu alie kiwanjani nimpigie ili hadhara iwe live.

Regia come on!!!!
 
Hii avatar imenacha hoi. Kweli hiyo alama ya jembe na nyundo ibadilishwe iwe alama ya ulaji yaani kisu na uma. CDM wachape T-shirt kibao na kuwasambazia wananchi kuwaonyesha jinsi gani wanaliwa na CCM ya kina Makamba!! avatar12347_1.gif
 
Once posted ny Nyantella

Kwa kweli sijawahi kumsikia hata Dr. Slaa akihimiza watu kufanyakazi ila wajiletee maendeleo binafsi na maandamano tuuuu ndiyo yatakaitoa TZ katika giza? I doubt! na hata sisi wa pembeni tunao m adimire Dr. Slaa tunaanza kuchoshwa na hii tabia ya kitoto mtu mzima na Phd yake ambaye anaweza kuwa rais wa nchi hii anakosa busara kiasi hicho! na yeye anaendekeza sifa za kijinga! yaani CDM sasa ni Chama Cha Demokrasia na Maandamano, Maendeleo kwa mtindo huu tusahau!!! tabia ya kuiga tembo kunya itatupeleka pabaya!! walibya ni wa pili kwa Oil production duniani, na nchi zoote za kiarabu huko kaskazini (Tunisia, Misri etc.) they can afford kuishi mawiki wakiandamana na kuuana maana baada ya maandamano mafuta bei juu wata recover sisi huku tuna nini? mafuta tunaagiza pesa ya kigeni ndiyo hivyo tena inatumika ki aina sijui tufanyeje.

Libya ndiye main supplier wa mafuta kwenda Ujerumani hata wakati walipowekewa vikwazo na Bush mafuta waliuza Ujerumani kama kawa. andamaneni wala hamtasikia jamaa yenu Obama akisema kitu itakua Somalia nyingine and nobody will give a shit.
HTML:

nyantela usijifanye umewahi kumuadmire Dr Slaa!!!!! tuachie wenyewe tupambane na game la ukombozi!!

Kama uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo si vizuri kukashifu watu, nafikiri ni hizi shule za kata watu hata hawawezi kufanya simple reasoning! Unahusishaje maandamano (occasional event) na swala la kufanya kazi (kutafuta mkate wa kila siku). Ni vizuri kutumia akili yako hapa JF siyo ya kusikia au kuambiwa. Unashangaa watu wanaandamana Mwanza si kuwa wameambiwa kufanya hivyo bali wameona sababu ya kufanya hivyo. Get it Libya Egypt etc hawaandamani kwa sababu wana mafuta! Na hapa umeonyesha jinsi uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo kama unaongelea resources kwa taarifa TZ ni moja nchi zenye valuable natural resources kuliko Libya!
 
Hamjawahi kuhamasisha hata ujenzi wa shule ya kata, kazi yenu kuandaa maandamano tu. Huo ni unafiki wa kisiasa, hamna moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania.
Unaweza chukua kamba ukajinyonga, haujalazimishwa kuishi na kushuudia umma unapodai haki zao. Kapeleke pesa ya dowans bank.
 
Yupo Rebeka Mgodo, Sabrena sungura na Leticia Nyerere, Raya Ibrahimu.
 
i would expect, that all members chadema fan kuwa barabarani but funny enough all them are behind the screen, please go to the streets, see the government's power - Ndio hiko kijerumani chako feki ulioandika hapo. Tumekubamba mkuu.:A S 112:

Mkuu, Soi wote jf wanatumia desktop, sio wote wapo mwanza na sio wote wapo Bongo.
 
Ni wewe tu ndiyo unaogopa nguvu ya umma (maandamano). Unafaidika na uozo uliopo nn?

Maandamano yanadai matumizi makini zaidi ya raslimali za nchi yetu, ili kiasi kinachookolewa kikajenge hizi barabara, hospitali, shule unazozisema.

Hongera Mwanza. Huu uwe ni mwanzo tu. Inahitajika sustained pressure kuwasambaratisha hawa mafisadi.

Anayepinga jitihada hizi za CDM na wapambanaji wengine ni wafaidikaji wa uozo uliopo kama ulivyouliza... Hakuna MTANZANIA anayepinga hizi jitihada asiye na maslahi na huu uongozi mbovu wa CCM... so hawa ndo wenyewe tunaopambana nao na iko siku wataanguka tena anguko lao litakuwa la aibu mno!!! :A S 112:
 
Wakuu yale maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa ndio yameshaanza.Maandamano yameanzia Buzuruga kuelekea uwanja wa Furahisha.Watu ni wammejitokeza kwa wingi wa jinsia na rika zote.Kwabahati mbaya sijakaa kwenye position nzuri ya kurusha picha lakini nikipata fursa nzuri nitazirusha.

Aluta Continua.

From kwenye Maandamano Mwanza

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira

182093_1470892587284_1682707865_914231_1937388_n.jpg

Picture added by JF Admin

Mbona hii ni picha ya Morogoro mkuu
 
manufaa gani wewe, wakati mnatafuna pesa bila huruma, kwenda huko, hacha watu wanyooshe njia.
 
chama cha maendeleo ambacho hakijawahi kuhimiza watu wafanye kazi kwa bidii...! hureee maandamano hureeeee.....ugali bureee....maandamano hureee...! JIONI SLAA ATALALA HOTEL KUBWA...! HUREEE
 
mugumu uwe unapost mapoint anayomwaga Mh.Rais Dr.w.Slaa

fanya samare the uweke hapa mkuu
 
Slaa anasema DOWANS walipwe na JK, RA na Ngeleja si kwa hela za wananchi
 
Wakuu yale maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa ndio yameshaanza.Maandamano yameanzia Buzuruga kuelekea uwanja wa Furahisha.Watu ni wammejitokeza kwa wingi wa jinsia na rika zote.Kwabahati mbaya sijakaa kwenye position nzuri ya kurusha picha lakini nikipata fursa nzuri nitazirusha.

Aluta Continua.

From kwenye Maandamano Mwanza

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira

182093_1470892587284_1682707865_914231_1937388_n.jpg

Picture added by JF Admin

Chama chenye viongozi wa wanafiki wakubwa hawaishi kwa Vitendo wanaishi kwa maneno tu! Tulitegemea Chadema wakatae zile 90 milion walizopewa wabunge! Hakuna hata Mbunge mmoja kutoka chadema aliejaribu kusema juu ya ufisadi huo! Leo wanapoteza muda kuandamanisha watu wanafiki wakubwa hao,hawana maana yeyote! Nimeanza kuichukia Chadema kwa kukubali kula rushwa ya 90m wakati watu wetu ni maskini! Tanzania hakuna chama chenye uchungu na watanzania vyote vinalengo la kujinufaisha na maslahi ya viongozi tu!
 
Back
Top Bottom