Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Pamoja na kwamba watanzania ni wamoja bna watulivu wapenda amani, ni usenge kuchangia gongo la mboto ilhali mwinyi na mwannyange hawajajiuzulu! ndio maana watanzania kama kina ze marcopolo na wajinga wengine wengine wanataka tuendelee kuwa mafala!

Duu, mzee naona umefura siyo mchezo. Lakini naungana na wewe! Watanzania sometimes tunakuwa wapuuzi sana.
 
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.

Ni saa 11kasoro hapa nilipo. Toka hapo mchana Zemarcopolo ametapika matapishi mengi hapa jf.
Ni mtu km mfa maji au mwindaji anayekimbizwa na nyati aliyemjeruhi na sasa he's loosing ground.
Kweli watu wanataka barabara n.k ndo maana cdm wanaandamana kushinikiza serikali to deliver.
Huyu mtu ana mawazo finyu kiasi cha kutoelewa athari kiuchumi kwa kukosa umeme! TUMPUUZE JAMANI
 
Nipo kwenye gari moja na Halima Mdee watu wanamfurahia sana.Watu waliosimamam barabarani wanapomwona wanapiga kelele.Wamefurahi sana kumuona.Kwa kifupi amekuwa kivutio machoni pa wengi.

Mwambie na mimi na mfurahia sana
 
attachment.php
 
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.

Bila Shaka wewe ni sisiem la siyo sisem basi unafungu kwenye ufisadi. hata Hosni Mubarak alisema hivyo hivyo
 
Hamjawahi kuhamasisha hata ujenzi wa shule ya kata, kazi yenu kuandaa maandamano tu. Huo ni unafiki wa kisiasa, hamna moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania.

ZeScandinavia ushabiki wako kwa CCM unakufanya ufunike hata ukweli?
1. Maendeleo ya Karatu yameletwa na nani kwa kipindi chote cha miaka 15 ya Dr. Slaa akiwa mbunge na sasa wanaenda mwaka wa 20 na Mch. Yohana naye wa CHADEMA? Ina maana Karatu hakuna shule mpya tangia mwaka 1995?
2. Mji wa Moshi unaoongoza kwa usafi Tanzania umekuwa chini ya upinzani kwa miaka 15 sasa (NCCR 5 na CHADEMA 10) na wanaendelea katika kipindi cha nne, je hakuna jipya lililofanyika Moshi? Ambulances, Computers mashuleni, etc vyote hivyo si kitu!
3. Mabilioni ya EPA yaliyorudishwa?

Yapo mengi.
 
Ebu lete taarifa za Mkutano mbona mmetua sasa!!
 
Thank youuuuuuuuuuuuuuu....More photos pleaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Waandamanaji si chadema tu bali ni wana-mageuzi wote...........watanzania tumechoka kuonewa na kuibiwa, hivyo tutaendelea kudai haki na maslahi ya nchi yetu mpaka nukta ya mwisho na Mungu atatupa ushindi kama alivyowapa Tunisia na Misri.
 
Bado nipo nipo once posted: kwa nini CHADEMA hawamnunulii Dr Viatu vingine, Dr anavaa viatu hivyo hivyo tangia ufunguzi wa campaign last year August.

endelea kuwwepo wepo, sio sera ya chadema kununua viatu vya viongozi!!!! ni kawaida kule kwenu sisiemu kufanya mambo ambayo hayako kwenye sera!
 
Dr is bored now afadhari asimamie MATEMBEZI YA AMANI...hivi ni nini kinategemewa kutokana na matembezi haya?

Kutolipa Dowans?
Gharama za maisha kushuka?

Je wakilipwa na gharama za maisha zikiendelea kwenda juu nini kitafanyika matembezi mengine mbeya?

Wakilipwa na ghrama za maisha kuendelea kupanda, kitakachofuata ni Egypt style!!!

Wewe unafikiri haya maandamano ni mzaha siyo?? Kama ni hivyo kwa nini walitaka kuyazuia ya Arusha na kuua watu?? Muulize baba yako vizuri akuelezee jinsi gani halali usingizi akisikia maandamano. Mcheck sasa hivyi kwa nini anaongea na mashushu MZ kupata update?? The utajua kuwa kinachoendelea MZ siyo mchezo.
 
Pamoja na kwamba watanzania ni wamoja bna watulivu wapenda amani, ni usenge kuchangia gongo la mboto ilhali mwinyi na mwannyange hawajajiuzulu! ndio maana watanzania kama kina ze marcopolo na wajinga wengine wengine wanataka tuendelee kuwa mafala!

Ujumbe wako ulitakiwa upewe bango huko mwanza, it makes no sense at all kuchangia uzembe na waliohusika hawawajibiki. Tutachangia hadi lini wakati wahusika wanazidi kufuja
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!

Hivi wewe unafikiri CDM watahamasisha vipi maendeleo wakati CCM imeshika madaraka ya kukusanya mapato na kupangia budget ya posho za wakubwa na ufisadi tu. Suala ni kukiondoa madarakani tu na huo ujue ni mwanzo watu wanahasira sana mpaka vijijin. Juzi nimetoka makete na Ludewa pembeni mwa nchi watu wanahasira sana na Rais huyu na chama chake.
 
Back
Top Bottom