webondo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,713
- 382
Mhhh huyu mkuu namwaminia kwa ubishi, bravo kaka! Ngoja tubadilishe IDs zetu then tupambane hoja sasa!Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!