Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
1. Nape mbona we umeingia kwa jina lako lakini huongei hoja! Ufahamu sasa kwamba kutumia au kutokutumia ID valid au isiyo valid sio hoja, hoja ni mawazo komavu. Albert Enstein hakumbukwi kwasababu ya jina lake, la! Kwaajili ya kile alicho kifanya. Anyway ndo mentality ya CCM, Nape mtoto wa, W. Malecela mtoto wa, January mtoto wa, mnainvest zaidi kwenye jina kuliko merit!
2. Umeonesha mtizamo finyi sana, I doubt kama wewe ni Nape kweli au mtu mwingine anatumia jina lako! Unasema kama nyie ni wanaume...Hivi akili yako inakudanganya kwamba hapa Jf wote ni wanaume!!! Kuna wanawake pia hapa Jf na wanaandika vitu vyenye mashiko kukuzidi wewe.
3. Nadiriki kudoubt kwamba ni Nape kweli wewe, kwasaba Nape hana ubavu wa kuhoji uanaume wa mtu hapa kwasabanu Nape hajui essence ya kuwa mwanaume katika tamaduni za kiafrika. Nape halisi alikuwa yeye, mke na watoto wake wawili walikuwa wanakaa na Mama mkwe wake mpaka 2009 mi nimekuwa nikimuona Changanyikeni, tena chumba chake kiko karibu na jikoni. Anatoa wapi huyu Nape nguvu za kuhoji uanaume wetu???? Kwa ukweli huu ninatilia shaka unape wa mwandishi.
4. Mwisho, watu wnye akili timamu, wanawake kwa wanaume wanafanya mambo yao kwa "sababu", sensible men do things for a reason. Nape has disclosed his identity to make himself and the party a subject of reducule and article of no value, being a public figure it was worthy hiding your identity rather than...