Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
Nimeziona hizo picha nikawa nasubiri kuona mabasi ya wafuasi wa CCM yakifuata nyuma. Si unaelewa tena CCM kwa kupenda usafiri wa mabasi?
I can see Nape with crocodile smile.
Nafurahi sana kuona ccm inavyokufa mikononi mwake kwani layman solutions anazozitumia zitakumbukwa siku ya mazishi na yeye pia atakumbukwa kuwa ndiye mshiriki mkubwa ktk mauaji haya ya marehemu ccm.
Watoto ndio imekuwa target ya CCM kujazia nafasi kwenye mikutano yao. Hawa ni malaika wasiojua yanayoendelea, wakishakua watakuwa na fikra nyingine dhidi yao.
Nakumbuka bado maneno aliyotoa mwandamizi Mzindakaya alipojing'atua kugombea ubunge jimboni kwake, kwamba anataka kupumzika. Aliishoshea CCM na kusema imepotea njia na hawa tunaowasomesha shule za Kata ndio watakao iondoa CCM madarakani. Maneno ya mzee huyu ni kama mwiba kwani yanayojilia sina haja ya kuyaanika hapa.
[/QUOTE]Hahahaa! KUJIDANGANYA WENYEWE NA KUJARIBU KUWADANGANYA WAFADHILI WENU NI SIFA HALISI YA VYAMA VYA WANA HARAKATI.... NA HASA BAADA YA KUONA KUWA UONGO WA MWANZO UNAKOSA MASHIKO. OOOH CCM IMEKUFA!!!NIMEINGIA SONGEA WENYEWE MMEFYATA MKIA KWA MSHANGAO JINSI WATU WALIVYOJITOKEZA MKUTANONI, HALAFU HAKUNA MATUSI SERA TU.
MKAWA MNADANGANYA WATU MNAYO NJOMBE YOTE, MKUTANO WA JANA NJOMBE UMEWAUMBUWA SANA SANA.
MMEBAKI NA DUA LA KUKU, POLENI SANA.
NARUDIA SIWASHANGAI KWANI NDIO TABIA YA VYAMA VYA WANAHARAKATI.
UOTE=Candid Scope;4001152]
Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
Nape, kwani kwa upande wa Chama sasa hivi ngome ipo wapi? Vijijini au wakulima na wafanyakazi?Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!
Hivi zile sera zako za kuwavua wenzako magamba zilizimikia wapi?? Mbona unahangaika sana wakati wenzako walikwishakwambia kuwa wewe ni kansa ndani ya chama chenu cha magamba?Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!